Upinzani tuitishe maandamano nchi nzima kupinga Ufisadi aliohamasisha Rais Samia. Wanaokwenda kuibiwa ni watanzania wote

Upinzani tuitishe maandamano nchi nzima kupinga Ufisadi aliohamasisha Rais Samia. Wanaokwenda kuibiwa ni watanzania wote

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.

Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.

Pia soma > Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Si kweli kama hampati kwenye maeneo yenu. Jipimieni...
 
Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.

Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Kwani wapinzani ndiyo wanao umia sana na ufisadi kuliko wana ccm kama wewe?
 
Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.

Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Kwa kweli kauli iliyotolewa na Rais Samia ni ya aibu Sana!

Hebu fikiria Katika nchi ambayo Rais anahesabika kuwa hakosei kwa lolote, anatoa kauli ya aina hiyo!

Dawa ni kuandika Katiba mpya ya nchi, ambayo itamuwekea mipaka Rais tutakayekuwa naye.

Hebu fikiria hao wateule wake wanalipwa mamilioni ya shilingi Kila mwezi, bado anatoa baraka waibe wakiwa maofisini kwao!

Hivi watanzania mamilioni ambao wanamaliza vyuo kila mwaka, lakini wanakosa hizo ajira watajisikiaje kusikia Rais amebariki wateule wake waweze kujitafunia tu keki ya Taifa bila kubughuziwa?🥺
 
YAANI KTK VITU VYOTE HICHO NDIO KILICHOBAKIA KUTEKELEZWA NA WATANZANIA HAKUNA TAIFA AMBALO WANANCHI WALIKAA TU KAMA MAZOBA ALAFU WAKAUONA UONGOZI WA KUTUKUKA HAIPO TULIPOFIKIA SULUHISHO NI MAANDAMANO TU.
Hayo maandamano yakifanyika na watanzania woote bila kuwasakizia wapinzani itakuwa na logic.

Lkn wapinzani waandamane wakati wana ccm wao wapo wanacheza bao huo ni upumbaf.

Wacha woote tuisome namba maana tupo kwenye mtumbwi mmoja.
 
Hayo maandamano yakifanyika na watanzania woote bila kuwasakizia wapinzani itakuwa na logic.

Lkn wapinzani waandamane wakati wana ccm wao wapo wanacheza bao huo ni upumbaf.

Wacha woote tuisome namba maana tupo kwenye mtumbwi mmoja.
Kwani upinzani hauwezi kumobilise maandamano ya watanzania wote?
 
Kwa kweli kauli iliyotolewa na Rais Samia ni ya Hatari Sana!

Hebu fikiria hao wateule wake wanalipwa mamilioni ya shilingi Kila mwezi, bado anatoa baraka waibe wakiwa maofisini kwao!

Hivi watanzania mamilioni ambao wanaomaliza vyuo kila mwaka, lakini wanakosa hizo ajira watajisijlkiaje kufikia Rais amebariki wateule wake waweze kujitafutia tu keki ya Taifa bila kubughuziwa?[emoji3064]
Wapinzani tulishasema kitambo kuwa tatizo tulilo nalo kwa sasa ni mfumo mbovu ulio asisiwa na ccm.

Tukitaka kutoka hapa tulipo ni kuiondoa ccm madarakani naamini kwa umoja wetu watanzania wote ccm wana kimbizwa.
 
WaTz gani Unaowazungumzia?
Hawa hawa Ambao Wana Tabia ya Kuandamana wakiwa nyuma Ya Keyboard?
Hawa ni Sikio La Kufa, huwa halisikiagi dawa...!
Mange Kimambi alijaribu kuanzisha maandamano akashindwa...Akaja Uncle Lisu Akagonga Mwamba...! Hawa washazoea Kuandamana kwa Kutumia Keyboard Lakini mabarabarani Hawaji ng'o...!!
 
WaTz gani Unaowazungumzia?
Hawa hawa Ambao Wana Tabia ya Kuandamana wakiwa nyuma Ya Keyboard?
Hawa ni Sikio La Kufa, huwa halisikiagi dawa...!
Mange Kimambi alijaribu kuanzisha maandamano akashindwa...Akaja Uncle Lisu Akagonga Mwamba...! Hawa washazoea Kuandamana kwa Kutumia Keyboard Lakini mabarabarani Hawaji ng'o...!!
Kwa maana yako hao wanao andaa maandamano kudai haki huwa ndiyo wahitaji wa hizo haki?

Kwenu nyinyi mnaojikalia majumbani mwenu hamnaga haja ya kudai haki?

Basi na hili hamna haja ya kuandamana ili wote tuisome namba.
 
Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.

Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Itisheni wenyewe huko CCM, msitake kuwaangushia wapinzani zigo lisilowahusu.
 
Back
Top Bottom