Acha kutukana watu wewe. Andamana wewe na kijani wenzio.Pumbavu we shoga, kwani upinzani hauwezi kumobilise maandamano ya watanzania wote? Pumbavu kabisa. Mbwa shenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutukana watu wewe. Andamana wewe na kijani wenzio.Pumbavu we shoga, kwani upinzani hauwezi kumobilise maandamano ya watanzania wote? Pumbavu kabisa. Mbwa shenzi.
Naomba ujiheshimu mamaMatusi ndiyo lugha yenu Lumumba.
Matusi yote hayo ya nn tena??Pumbavu we shoga, kwani upinzani hauwezi kumobilise maandamano ya watanzania wote? Pumbavu kabisa. Mbwa shenzi.
Wewe unaeita fisadi kuwa ni Mama ndiye unaekosea.Jina 'Mama' lina heshima yake.Siyo kila mwanamke anaweza kuitwa Mama.Katika hili kakosea mama
Maandamano ya kuumunga mkono PRESIDA yanaweza fana saana kuliko Maandamano ya kukataa dhurumaWaTz gani Unaowazungumzia?
Hawa hawa Ambao Wana Tabia ya Kuandamana wakiwa nyuma Ya Keyboard?
Hawa ni Sikio La Kufa, huwa halisikiagi dawa...!
Mange Kimambi alijaribu kuanzisha maandamano akashindwa...Akaja Uncle Lisu Akagonga Mwamba...! Hawa washazoea Kuandamana kwa Kutumia Keyboard Lakini mabarabarani Hawaji ng'o...!!
Wewe unatukana watu hovyo. Bila shaka inatokana na hasira yakujulikana jinsi ulivyo mnafiki kwa kujiita CDM wakati wewe ni kijani pure. Inakusaidia nini kuzuga watu hapa huku ukijua kuwa wanajua wewe si mwenzao?Naomba ujiheshimu mama
Mimi sio Ccm dogo, wapuuze hawa wapuuziWewe unatukana watu hovyo. Bila shaka inatokana na hasira yakujulikana jinsi ulivyo mnafiki kwa kujiita CDM wakati wewe ni kijani pure. Inakusaidia nini kuzuga watu hapa huku ukijua kuwa wanajua wewe si mwenzao?
Ana watoto mkuuWewe unaeita fisadi kuwa ni Mama ndiye unaekosea.Jina 'Mama' lina heshima yake.Siyo kila mwanamke anaweza kuitwa Mama.
Watoto siyo kigezo kinachotumika kumwita mwanamke kuwa ni Mama.Mama ni zaidi ya kuwa na watoto.Ana watoto mkuu
Ufisadi gani??....Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.
Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Siamini kama ni wewe kamanda mwenzangu. Hii busara umeitoa wapi?Watoto siyo kigezo kinachotumika kumwita mwanamke kuwa ni Mama.Mama ni zaidi ya kuwa na watoto.
Hapa mtaani kwetu kuna mwanamke ambae ana miaka 55 ambae hana mtoto hata mmoja lakini kila mtu huwa anamwita kuwa ni Mama.
Samia ambae ameamua kuitoa nchi sadaka kwa watu wachache hana sifa ya kuitwa Mama.Samia kama Rais mwanamke alipaswa alilee Taifa vizuri ili kuitwa Mama.Samia ni fisadi ambalo kila mwenye pumzi anatakiwa alikatae na kulichukia.
Ukiangalia ile video pale mwanzo anasema kuwa ile ni mara ya pili ametoa msimamo/kauli ile.Hii maana yake ni kwamba alichoongea juzi hajaongea kwa kukosea au kwa bahati mbaya bali ndiyo msimamo wa Serikali yake.Sasa mwanamke kama huyu ndiye unataka kumpa sifa ya kumwita kuwa ni Mama?
FoolLet them eat, for their time shall come to pass and they wont live forever. Let them eat