Upinzani tuitishe maandamano nchi nzima kupinga Ufisadi aliohamasisha Rais Samia. Wanaokwenda kuibiwa ni watanzania wote

JF imekuwa na wapumbavu wengi sana siku hizi, mmojawapo wewe mleta mada, kazi kudandia visentensi kwenye hotuba ya dakika zaidi ya 30 na kuvitafsiri kwa brain cells zenu zilizojaa makande
Mpumbavu mama yako.
 
Pamoja na kwamba ukiambiwa ukweli unaishia kutukana, lakini hatutaacha kukupa makavu live. Huu ushauri peleka kwa wanaccm wenzako huko lumumba. Maana wakati mnaiba kura za wapinzani mlijua kuwa ugumu wa maisha utakuwa kwa wapinzani tu.
Upo sahihi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…