Upinzani tuitishe maandamano nchi nzima kupinga Ufisadi aliohamasisha Rais Samia. Wanaokwenda kuibiwa ni watanzania wote

Anahangaika bure kwa kuleta propaganda chafu hapa jf kujifanya ni mwana cdm.

Tunao mfahamu kamwe hatuwezi kumpa nafasi ya kuuchafua upinzani.
Unajua maana ya propaganda? Mtu wa Ccm niwe hivi?
 

Ni wazo zuri, lakini CHADEMA wasishirikishwe. Hao hawana track record ya kuisimamia hii agenda.

Sote tunajua kwamba agenda ya vita dhidi ya ufisadi imewahi kuwa mwana mpendwa wa CHADEMA up until 2015 walipoamua kumtelekeza very irresponsibly. Who the hell in this world would want to have a baby with an irresponsible partner such as this?
 
Mzee wa kitovuni..
Ila nyiee nchii hii😄😄😳
 
Akili zako ni ujazo wa kisoda
 
Wewe uko upinzani upi? Usilete ukhanisi.
 
Anahangaika bure kwa kuleta propaganda chafu hapa jf kujifanya ni mwana cdm.

Tunao mfahamu kamwe hatuwezi kumpa nafasi ya kuuchafua upinzani.
Mjinga sana, anajizungusha mwisho wa siku anaonesha chuki zake, ambazo ni juu ya Mbowe, fala sana hili jamaa
 
Mjinga sana, anajizungusha mwisho wa siku anaonesha chuki zake, ambazo ni juu ya Mbowe, fala sana hili jamaa
Umeonaeeeee?
Huyu ni zaidi ya kirusi lkn tutadeal naye wala hatafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…