Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Huyu Rostam hastahili kutuchagulia Watanzania Rais hata siku moja. Yeye anaenjoy huko keki ya taifa anajuaje tunayopitia sisi wanyoge?! Asome alama za nyakati. Wanyonge tumechoka mno kunyanyasika na utawala huu. Tunaweka mtu mwingine magogoni. Kodi zetu ndio zimlishe huyo Jiwe, zimvishe, bado yeye na kundi lake waibe kwa maslahi yao binafsi hapo hapo watunyanyase nazo?? Huku mtu mfupi kule Dodoma (bungeni), huku Naibu Rais (RC), huku Jiwe — hatupumui kwa kweli. Mkombozi kapatikana sasa. Benard Membe for presidency.
 

Hatutaki.. hamtuelezi kitu aisee. Tumewachoka.
 
Hivi kwani katiba ya ccm haisemi mtu akipitishwa na chama kugombea urais miaka mitano ni lazima asubiriwe hadi ahudumu kwa season zote mbili kabla ya kuitisha uchaguzi mwingine ndani ya chama kupata mgombea mwingine?

Mitano ndugu. Ili kuwatoa wazinguaji kama huyu. Sio kunyanyasa watu ukifikiri utakaa milele. CCM sasa tunaionyesha dunia kuwa sisi ni mama wa demokrasia barani Afrika. Tunafanya kweli.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Chochote kile cha kijani chenye thamani ni mboga na majani zingine haramu
 
Sasa mtaelewa sababu za Ikramu Aziz kufutiwa makosa yote na Lowasa kuunga mkono juhudi na kurudi CCM.

Kumbe ndio hivyo? Na huyu mtu alishapata kutajwa kuwa ni "kingmaker" hapa bongoland! A formidable combined force of RA and EL. Membe should really watch out!
 
Ndo binaadam tulivyo ndgu, watu wameanza kumuona mwokozi baada ya kupondwapondwa na lile tingatinga

Watu wangapi walimtukana Membe? To my knowledge ni wale mashabiki wa mshindani wake mkuu. Hilo ni jambo la kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…