Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
endelea kujitumainisha ,UTALIA SANA MACHOZI UWANJA WA TAIFA WHEN HE WILL BE TAKING OATH AS 6th of TZSijui nitukaneee au nini? Membe kuwa Rais ni sawa na kusema shetani awe Popo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kujitumainisha ,UTALIA SANA MACHOZI UWANJA WA TAIFA WHEN HE WILL BE TAKING OATH AS 6th of TZSijui nitukaneee au nini? Membe kuwa Rais ni sawa na kusema shetani awe Popo
Anatamani kazi nyingi mno; IGP, ubunge wa Arumeru Mashariki, u padre, u waziri wa michezo, u malaika mkuu.
Ninaona umenitupa, mimi niliheshimu mwezi mtukufu.Haaa haaa.Sky tuwasiliane inbox please. si kwa ulichoandika,la hasha! Ni suala jingine
Hahaha labda ni sababu waliekua wanamuona mwokozi wao amegeuka mchohozi hivyo huyo aliekua anatukanwa anaonekana anafaa labdaNikikumbuka Membe alivyokuwa anatukanwa humu nashangaa leo amekuwa mwokozi!
Kwanza si alijiuzuru nyadhifa zote?Mbona anaangalia chini kama mtu ambaye hajiamini au aliyelazimishwa kusema hayo anayoyasema
ANAJIKOMBA BAADA YA MDOGO WAKE JANGILI WA MENO YA TEMBO Ikram Azizi kuachiwa na jiwe baada ya KUNYEA NDOO LUPANGO kwa miezi kadhaaKwanza si alijiuzuru nyadhifa zote?
Nashangaa amekuwa lini msemaji wa chamaKwanza si alijiuzuru nyadhifa zote?
UBAYA WAPIGA KURA WENGI HAWAJUI HATA JF NI NINI
so what??UBAYA WAPIGA KURA WENGI HAWAJUI HATA JF NI NINI
Kwa hiyo Lissu hamumtaki tena?Membe usirudi nyuma kugombea ni haki yako ya kikatiba, hata sisi tumemchoka tutakuunga mkono
Bushstars lzm wapigwe 3 BilaSasa mtaelewa sababu za Ikramu Aziz kufutiwa makosa yote na Lowasa kuunga mkono juhudi na kurudi CCM.
Tumeshaiona style yao ya mchezoBushstars lzm wapigwe 3 Bila
hapo umepuyangaSijui nitukaneee au nini? Membe kuwa Rais ni sawa na kusema shetani awe Popo
Bushstars lzm wapigwe 3 Bila
Anatamani kazi nyingi mno; IGP, ubunge wa Arumeru Mashariki, u padre, u waziri wa michezo, u malaika mkuu.