Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Yule Jamaa huwa anajiona ni MKubwa kuliko Tz na wote ni wajinga ye ndo mwenye akili,kumbe watu wametulia wanamchora tu atachexewa mchezo atoamini,ogopa sana watu wakimya.
 
PREPARE PHYSCHOGICALY ! WATU WANASUBIRI 2020 WAFANYE YAO !

NAAM MEMBE FOR PRESIDENTIAL 2020
Unaongelea Mahaba.
kambi ya "Mshua"
inatafuta Backups.
wakipata Backup
Membe anakuwa President
coz Kuna kila dalili "Jw"
akazimishwa "Kf"
Kabla ya 20
 
Unaongelea Mahaba.
kambi ya "Mshua"
inatafuta Backups.
wakipata Backup
Membe anakuwa President
coz Kuna kila dalili "Jw"
akazimishwa "Kf"
Kabla ya 20
unaota wewe unafikili ni kazi rahisi kama unavyo kata gogo
 
Nimejitahidi kusoma comment za watu ni nami naheshimu mawazo ya wenzangu. Ila swala la watu kuanza kumpigia compaini Mr Membe naona si Sawa. Bado tunaye Rais yako madarakani, alafu harakati zinaanza hii kwangu si Sawa. Tuache Mh Rais aliyeko madarakani atekeleze Majukumu yake.
 
unaota wewe unafikili ni kazi rahisi kama unavyo kata gogo
Ni Ngumu Lakini Ni opt iliyosalia.
lakini c "kf" unachofikiri Ni "Spirtuality"
Mwisho anaachia.

Kwan "Mshua" Round ya pili alifanyaje?

hahaha Mengi hamyafahamu
 
Team tangatanga bado ipo kazini,imeacha kujenga Chama chao wenyewe sasa kusikia CCM nani agombee.Kibaya hata wale waliokuwa wanawatukana sasa kwao ni lulu.
Nyie hamkuwahi kuwatukana kina Waitara, Kitila, Lowasa.......? Kinachofurahisha ni kuona jiwe akitikiswa mana anajiona mungu mtu!
 
Team tangatanga bado ipo kazini,imeacha kujenga Chama chao wenyewe sasa kusikia CCM nani agombee.Kibaya hata wale waliokuwa wanawatukana sasa kwao ni lulu.
unatafuta kuwa DED huku mahakama imezuia kusimamia uchaguzi na kigezo cha ukada kimefutwa rasmi !
 
Kuna ripoti ilishawahi kutoka ikionesha kuwa TANZANIA watu wake ni vinara wa UNAFIKI duniani, sitaki kuamini hili moja kwa moja
Hatarrrr
IMG_20190516_120549.jpeg
 
Back
Top Bottom