Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI NDOTO MEMBER URAIS LABDA WA FAMILIA YAKO. MEMBER WILL NEVER EVER BE A PRESIDENT OF THIS COUNTRY.
Ntahamia south sudan member akiwa rais wa Tz.
Umeacha kumuunga mkono lisuMembe usirudi nyuma kugombea ni haki yako ya kikatiba, hata sisi tumemchoka tutakuunga mkono
No one knows tomorrowSijui nitukaneee au nini? Membe kuwa Rais ni sawa na kusema shetani awe Popo
hakuna kisichowezekana kama wakiruhusu kugombea japo LUMUMBA hii kitu katika demokrasia imewashinda kabisaaa inapofikia mchezo huu huwa hawakubali kabisaa kushindanisha wanaogopa aibu ya kushindwa. lakini kama mnaakili bora muwashindanishe MEMBE NA JIWE ili mpate kuokolewaLakini si tunachujio letu la ndani ?
Je nani atampitisha membe
Na itawezekana vipi ccm kuwa na wagombea wawili at once
Yaani mnamaanisha magu wamteme kwenye kura za maoni? Siyo rahisi kihivyo!!
I understand the panic among ccmagufuli lunatics.NI NDOTO MEMBER URAIS LABDA WA FAMILIA YAKO. MEMBER WILL NEVER EVER BE A PRESIDENT OF THIS COUNTRY.
Ondoa neno hawezi kwa kuwa chini ya jua hakuna linaloshindana Mungu akiamuaAhh HAKUNA Cha kudadavua..Akili Kubwa na ukiweza kuunganisha dots UTAELEWA.
Nikidadavua,itakuwa rahisi kujulikana na kudakwa.
Ila Membe HAWEZI kuwa Rais coz Ile Nguvu na "Backups" Hawana Na Hata Yye na kambi Yake wanajua Hilo na ndiyo maana Wana pambana wapate Backup na Mara ya mwisho ilikuwa juzi na jana ambapo walikuwa wanapanga mkakati..
Kama unakumbuka "Mshua" majuzi alikuwa sauz unadhani alienda kufata Nini?
Na wewe tutolee umbumbumbu wako, Kama wazungu hawana faida na Tanzania fungeni Balozi zao zote mbakie na Balozi za weusi tupu.Unafikiri hayo mataifa makubwa wanakupenda sana wewe "black people" kuliko raia wake? unadhani watakuja tu bila return yoyote? waafrika wamalize matatizo yao wenyewe.
Unaongea kitu ambacho "HUKIFAHAMU"UMEAHAWAHI KUJIULIZA KWANINI MUSIBA ALIKUWA ANAMCHAFUA MEMBE???
JIBU KATUMWA. MEMBE BADO HAJATANGAZA NIA KUCHUKUA FOMU YA KUOMBA KUGOMBEA URAIS lakini mmeanza kuweweseka.
SIKU MEMBE AKITANGAZA NIA ITAKUWAJE??
ANZENI KUVAA PAMPASI KABISA MAANA SIKU AKITANGAZA LAZIMA MTAJINYEA KABISA.
MEMBE KAMWE USIRUDI NYUMA
Bado miaka 6Membe usirudi nyuma kugombea ni haki yako ya kikatiba, hata sisi tumemchoka tutakuunga mkono
sasa anapendwa mkuu?Nikikumbuka Membe alivyokuwa anatukanwa humu nashangaa leo amekuwa mwokozi!
ok vema mkuu wewe ndiye uko nje unashindwa kuelewa.Unaongea kitu ambacho "HUKIFAHAMU"
Membe Ni kweli anautaka urais LAKINI Kuna kitu Ame Miss na hicho ndicho anachopambania kukipata.
akikipata Membe Ni Rais.
Sasa Nyie mpo nje hamuwezi kuelewa kitu.
Nani mkweli kati yenu wawili??ok vema mkuu wewe ndiye uko nje unashindwa kuelewa.
Mimi nipo ndani siwezi kumwaga mchele zaidi.
2020 MEMBE njia nyeupe jumba jeupe !