Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Huyu mtu ana support ya viongozi wote wastaafu!
Hawezi kukatwa.
Hivi unadhani viongozi wastaafu watamsupport JPM ili nini kipya kitokee?
exactly, lkn CCM watamkata! What next? CDM..NO; ACT?????
 
Membe ni asset au liability?Upinzani usikubali kufanywa CCM B Tundu Lissu anatosha kabisa.Binafsi naona Membe mnamu overrate Sana.Lissu for President!
Membe nilikuwa namfuatilia akiwa anajinadi kuwa jimboni kwake 2015. Akawa anaishia kutoa kauli za vitisho tu badala ya kuuza sera zake.
 
Huyu mtu ana support ya viongozi wote wastaafu!
Hawezi kukatwa.
Hivi unadhani viongozi wastaafu watamsupport JPM ili nini kipya kitokee?
Hao viongozi wastaafu wakikutana na Magufuli wanaishia kucheka cheka tu. Hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa mbele yake. Unategemea watatenda kinyume na mwenyekiti wao ?
 
Hao viongozi wastaafu wakikutana na Magufuli wanaishia kucheka cheka tu. Hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa mbele yake. Unategemea watatenda kinyume na mwenyekiti wao ?
Kwenye kura itakuwa tofauti trust me.
Hawa watu ni wajanja, wanajua kwa sasa huyu jamaa amekamata mpini wa kisu ambacho wanayajua makali yake.
Ila make no mistake watakapokikamata wao wakati wa kura!
 
Back
Top Bottom