Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Huu Uzi haujafungwa kutokana na mleta mada hii kuanza kwa kuandika kwa lugha ilioletwa kwa Meli[emoji1321]‍♂️
 
I thank that you appreciate that his attitude is wrong. The law says if your attitude is low your altitude will be low.
It means that you won't be able to climb a high altitude with a low attitude
Membe will be another wasted opportunity, upigaji kama kawa kama enzi za mkwere. magu is still the the right guy to keep on for the next 5 year term, he only needs to refine his attitude towards leadership style and hence better management of the economy
 
Kwa hiyo mtawashawishi wajumbe wa Kamati Kuu, Halmashauri kuu na Mkutano Mkuu was CCM kumpitisha Membe? Akihamà Chama sheria mpyà ya Vyama vya Siasa inamhusu. Sioni urahisi katika hill zoezi ila kujaribu ruksa.
 
Hata kama best...aliaminiwa na roho ngap...ametuuza kiwepesi mno..hv ni kweli roho yake haina huruma basi...tumedeki barabara[emoji28]..mbwembwe zote...binafs naumia sana
Mi nilinunua na TV mpya kabisa nione mzee wetu antakavyoapishwa cleaaar.
 
Mimi namtaka tu kama ana uwezo wa kupindua meza akatudondoshea huu utawala wa Ottoman Empire nitamuunga mkono nipo tayari kumfwata alipo amwondoe huyu Subiani anayetutesa kiasi hiki
 
Sijui watu wanafail wapi. Kwa Tanzania yetu tatizo sio nani asimamishwe kupeperusha bendera ya Upinzani. Tatizo ni mfumo mzima wa Tume hii ya Uchaguzi. Huwezi kushinda Uchaguzi kwa ngazi ya Urais kwa Tume hii iliyojaa maafisa wa TISS. It will NEVER HAPPEN. Tume ukishatangaza matokeo, huwezi kuyapinga popote pale ulimwenguni. I believe Wapinzani wanalijua hili fika ila kwa sababu wanazozijua wenyewe (ruzuku etc.) wataendelea kuwadanganya tu.
 
Mimi namtaka tu kama ana uwezo wa kupindua meza akatudondoshea huu utawala wa Ottoman Empire nitamuunga mkono nipo tayari kumfwata alipo amwondoe huyu Subiani anayetutesa kiasi hiki

Na Watanzania wengi tunaangukia kundi hili..
 
Mimi namtaka tu kama ana uwezo wa kupindua meza akatudondoshea huu utawala wa Ottoman Empire nitamuunga mkono nipo tayari kumfwata alipo amwondoe huyu Subiani anayetutesa kiasi hiki

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sio suala la mtu wa kugombea ila ni suala la mtu atakayepitishwa na mfumo uliopo!
Mfumo gani unaouongelea hapa?
Probably wewe ni mpinzani au kama ni CCM basi ni yule level ya vijiwe vya gahawa

Ukisikia mtu fulani ni mwenyekiti wa CCM jua yeye ndio hiyo system unayoisema hapo, Lowassa alikua ndio CCM 2015 lakini hakuwa "system", mwenyekiti wa CCM ana zaidi ya kura ya vetal {siongelei kuhusu 2020 sababu is not even debatable qualified} naongelea kuhusu 2025.
 
Back
Top Bottom