Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu ataongoza kwa mfumo upi?Sio suala la mtu wa kugombea ila ni suala la mtu atakayepitishwa na mfumo uliopo!
Mfumo gani unaouongelea hapa?
Probably wewe ni mpinzani au kama ni CCM basi ni yule level ya vijiwe vya gahawa
Ukisikia mtu fulani ni mwenyekiti wa CCM jua yeye ndio hiyo system unayoisema hapo, Lowassa alikua ndio CCM 2015 lakini hakuwa "system", mwenyekiti wa CCM ana zaidi ya kura ya vetal {siongelei kuhusu 2020 sababu is not even debatable qualified} naongelea kuhusu 2025.
Jionee mkuu kwamba elimu yetu ina tatizo mahala!Duh...
Who are you by the way?Napendaga watu wanaonionyesha dharau!
Let's see
Alafu hivi Ukimuondoa Magufuli ukamweka Membe ndio umeiondoa ccm ama?
Magufuli anaongoza kwa kufuata mfumo ambao Membe nae akiwa rais ataufuata.
Mbona wapinzani ni vilaza kiasi hiki?
umenikumbusha, imesainiwa hivyo hawzi. na watakachokifanya ni kuwa watamfukuza, then hatagombea popote!Mkuu kwani ile sheria inayomtaka mwanachama ili agombee awe kwenye chama kwa miaka miwili haijasainiwa?.
Kwishiney. Chezeya utundulisu wewe 😏😏😫Membe ni asset au liability?Upinzani usikubali kufanywa CCM B Tundu Lissu anatosha kabisa.Binafsi naona Membe mnamu overrate Sana.Lissu for President!
Kwa hiyo Membe ndio anajua?JPM anaondolewa kwasababu hajui anachotaka kufanya!
Chasema hovyo ndio wapigie debe. Benado wa Nini, si Kama yule wa 2005/15. Kusafiri tu na ufisadi wakutupwaTumeshasahu yale ya Lowasaa yaliyotokea? Bora yule wa singida kaendelea kubaki japo hasikiki kivile!!
Membe tunamuunga mkono huko huko CCM kwake sisi na Lissu mpaka mkoloni mweusi ang'oke.Membe ni asset au liability?Upinzani usikubali kufanywa CCM B Tundu Lissu anatosha kabisa.Binafsi naona Membe mnamu overrate Sana.Lissu for President!
umenikumbusha, imesainiwa hivyo hawzi. na watakachokifanya ni kuwa watamfukuza, then hatagombea popote!
CCM hawatarudia kosa tena 2020Kabisa aisee mkuu Membe ndiye alitakiwa kushika hatamu na kulisongesha taifa mbele kimaendeleo sio kama huyu mbaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app