Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Sweeping generation duh tunakumbushana mbaliFallacy of generalization.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sweeping generation duh tunakumbushana mbaliFallacy of generalization.
Nani kakuandikiaVita huwa watu wanaangalia silaha hata kumbi la mnazi litachukuliwa ili mradi tu kumtisha adui!
Kama ilivo sasa ndivo itakavokuwa 2025 na kuendelea.Mwenye chama siku akichoka atampa amtakae atakaemlinda.Acha ujinga Membe hawezi kwenda upinzani hata kama amefukuzwa na akienda hawezi kugombea uraisi huko, Membe atakuja kugombea uraisi kupitia ccm 2025.
Membe ni mtego huo umetegwa na ccm ili aje avuruge upinzani kwani washakubaliana 2025 agombanie yy kwani hii miaka mitano amuachie magufuli kwahiyo wameamua wamfukuze ili iwe chambo na ukitizama kwa undani membe hawawezi kumfukuza chama kwani membe ndio ccm kuliko hao waliomfukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
2015 lowasa alishinda uchaguzi PERIOD.3) Ukilinganisha kati ya Lowasa vs Membe utaona Lowasa alikuwa na political base kubwa na imara kumzidi Membe. Lakini bado alishindwa na baada ya kushindwa alinyong'onyea na hatimaye kurudi zizini (CCM).
October Magufuli again, lazima mshike adabu
Vyovyote unavyoweza kusema, ukweli ni kwamba Magufuli ataendelea kuwa Rais wetu kwa muhula mwingine.Ni kweli ili ni kwa kunajisi box la kura.