Uchaguzi 2020 Upinzani wakisusia Ubunge/Udiwani, nini kitatokea? Hasara au faida?

Uchaguzi 2020 Upinzani wakisusia Ubunge/Udiwani, nini kitatokea? Hasara au faida?

Akitokea mtu akawashauri Wapinzani waliochaguliwa wasuse, huyo atakuwa sio mzima, ni kichaa!. Na kama kuna mpinzani amechaguliwa na wananchi, halafu akatokea kichaa mmoja kumshawishi agomee, huyo mpinzani pia atakuwa sio mzima!.

Kwenye uchaguzi kazi ya chama ni kukudhamini tuu, lakini unachaguliwa na wananchi. Ukiisha chaguliwa wewe unakuwa ni mtumishi wa watu na sio wa chama.

Kama watu wamekuamini wakakuchagua, chama kikikuzuia ni kuwasaliti hao watu na ukikubali na wewe ni msaliti!.
P
Mkuu ni haki yao kikatiba, waingie bungeni kuwawakilisha wapiga kura wao lakini hawatakuwa na impact yoyote katika maamuzi yatakayofikiwa bungeni. Ndiyo maana waliowengi hawaoni umuhimu wa uwepo wao hapo. Honestly wabunge 2 wa majimbo kati ya 265 km sijakosea idadi , ni dhihaka kwa Watanzania. Ni bora libakie kuwa Bunge la chama kimoja 100%
 
Akitokea mtu akawashauri Wapinzani waliochaguliwa wasuse, huyo atakuwa sio mzima, ni kichaa!. Na kama kuna mpinzani amechaguliwa na wananchi, halafu akatokea kichaa mmoja kumshawishi agomee, huyo mpinzani pia atakuwa sio mzima!.

Kwenye uchaguzi kazi ya chama ni kukudhamini tuu, lakini unachaguliwa na wananchi. Ukiisha chaguliwa wewe unakuwa ni mtumishi wa watu na sio wa chama.

Kama watu wamekuamini wakakuchagua, chama kikikuzuia ni kuwasaliti hao watu na ukikubali na wewe ni msaliti!.
P
Wabakiee wao tuuu
 
Kuleni tu kwani shida iko wapi?
Mnashupaza mishipa ya shingo eti wasuse, wakishasusa then what!? Kuna chochote kitabadilika?
Ni tabia ya kitoto sana eti kujinunisha ila mzazi akuoneaa huruma. Hakuna atakae kuoneeni huruma kwa kususa huko, jadilianeni mfikie mwafaka wenye kuleta tija ila sio upuuzi wa kususa
 
Wabakiee wao tuuu
Hata waliposusia bunge mijadala ilijadiliwa na kupitishwa, sheria zilipitishwa. Labda kwa kususa saiv kuna jambo litabadilika. Waliochaguliwa wakafanye kazi walizotumwa na wananchi
 
Akitokea mtu akawashauri Wapinzani waliochaguliwa wasuse, huyo atakuwa sio mzima, ni kichaa!. Na kama kuna mpinzani amechaguliwa na wananchi, halafu akatokea kichaa mmoja kumshawishi agomee, huyo mpinzani pia atakuwa sio mzima!.

Kwenye uchaguzi kazi ya chama ni kukudhamini tuu, lakini unachaguliwa na wananchi. Ukiisha chaguliwa wewe unakuwa ni mtumishi wa watu na sio wa chama.

Kama watu wamekuamini wakakuchagua, chama kikikuzuia ni kuwasaliti hao watu na ukikubali na wewe ni msaliti!.
P
Ukichaa wa mtu unaupimaje ? Wakati huna elimu au sio mtaalamu wa magonjwa ya akili ?

Je? ushawahi ona viongozi wa serikali wenye hali ya ukichaa
 
Mnashupaza mishipa ya shingo eti wasuse, wakishasusa then what!? Kuna chochote kitabadilika?
Ni tabia ya kitoto sana eti kujinunisha ila mzazi akuoneaa huruma. Hakuna atakae kuoneeni huruma kwa kususa huko, jadilianeni mfikie mwafaka wenye kuleta tija ila sio upuuzi wa kususa
Msitulazimishe kushirikisha na watu kama nyie mlio kama makaburu
 
Sasa mkuu hasara na faida zake ni zipi? ebu wajuvi wa mambo watudadavulie.
Habari wana JF,

Ni swali la kujiuliza.

Endapo ikatokea wapinzani wote nchini wakashauriana katika kikao chao kinachosadikikia kuwepo leo kuwa, wabunge na madiwani wao wote waliopata nafasi katika uchaguzi huu kususia na kutoingia sehemu zao za kazi Je, nini kiatokea?

Nini faida na Hasara za uamuzi wa aina io kwa Taifa kama taifa na watanzania kwa ujumla.

Je, kuna hasara gani au faida watazipata upinzani?

Je, faida au hasara zipi kwa chama tawala?

Nawasilisha kwa utiiiifu🙏
Faida ni kua Tanzania itakua kama Marekani kwa sababu hakuna atakaepinga "maendereo"
 
Msitulazimishe kushirikisha na watu kama nyie mlio kama makaburu
Bahati mbaya we unajadili kishabiki, cna upande nnaoshabikia. Pia hamlazimishwi kuungana nao. Kwenda bungeni mbunge alochaguliwa sio kuungana na wanaccm labda kma akiunga juhudi. Ila anaingia bungeni kutimiza wajibu wake. Licha ya hayo yote, wakisusa, wakienda bungeni hatma itabaki kuwa ni ile ile
 
Habari wana JF,

Ni swali la kujiuliza.

Endapo ikatokea wapinzani wote nchini wakashauriana katika kikao chao kinachosadikikia kuwepo leo kuwa, wabunge na madiwani wao wote waliopata nafasi katika uchaguzi huu kususia na kutoingia sehemu zao za kazi Je, nini kiatokea?

Nini faida na Hasara za uamuzi wa aina io kwa Taifa kama taifa na watanzania kwa ujumla.

Je, kuna hasara gani au faida watazipata upinzani?

Je, faida au hasara zipi kwa chama tawala?

Nawasilisha kwa utiiiifu[emoji120]
Nawashauri wasisuse bali waingie kazini kama moja ya chanzo cha mapato yao ili kuendelea kukusanya nguvu kwaajili ya kujiimarisha.
 
Akitokea mtu akawashauri Wapinzani waliochaguliwa wasuse, huyo atakuwa sio mzima, ni kichaa!. Na kama kuna mpinzani amechaguliwa na wananchi, halafu akatokea kichaa mmoja kumshawishi agomee, huyo mpinzani pia atakuwa sio mzima!.

Kwenye uchaguzi kazi ya chama ni kukudhamini tuu, lakini unachaguliwa na wananchi. Ukiisha chaguliwa wewe unakuwa ni mtumishi wa watu na sio wa chama.

Kama watu wamekuamini wakakuchagua, chama kikikuzuia ni kuwasaliti hao watu na ukikubali na wewe ni msaliti!.
P
Mbona mnateseka sana na wapinzani kujitoa? Wakati mnafanya kampeni CCM lengo lenu si ilikuwa kupata 100% ya viti bungeni? Sasa imagine lengo lile linatimia. You should be happy.
 
Natamani wagome hao wabunge na madiwani harafu iwe hadi bungeni ni ccm tupu. Kisha kama ikivurunda hatusemi serikali ya ccm tunasema chama cha ccm. Yaani tuone miaka mitano hii ccm tupu wamefanya nini ili kutoa kale kakujidai kikwazo walikuwepo kikwazo wapinga maendeleo.
 
Ukichaa wa mtu unaupimaje ? Wakati huna elimu au sio mtaalamu wa magonjwa ya akili ?

Je? ushawahi ona viongozi wa serikali wenye hali ya ukichaa
P
 
Nadhani utakua Ni mda muafaka kwako kutafuta jimbo mojawapo litakaloachwa na hao wapinzani ili ukawe mtumishi wa wananchi
 
Akitokea mtu akawashauri Wapinzani waliochaguliwa wasuse, huyo atakuwa sio mzima, ni kichaa!. Na kama kuna mpinzani amechaguliwa na wananchi, halafu akatokea kichaa mmoja kumshawishi agomee, huyo mpinzani pia atakuwa sio mzima!.

Kwenye uchaguzi kazi ya chama ni kukudhamini tuu, lakini unachaguliwa na wananchi. Ukiisha chaguliwa wewe unakuwa ni mtumishi wa watu na sio wa chama.

Kama watu wamekuamini wakakuchagua, chama kikikuzuia ni kuwasaliti hao watu na ukikubali na wewe ni msaliti!.
P

Binadamu wana Utashi ni waelewa wanazo Akili zao sio ma'Robot ,kwa yaliyo tokea hata hao wawili wa Upinzani walio teuliwa na Tume ya CCM wanazo Akili zao na sio ma'Robot wata chagua na wao njia Sahihi ya kupita.Hauwezi kuua Watu wako kwa Sababu ya Madaraka ambayo tayari unayo na ukatarajia uungwaji Mkono.

Wasaliti ni wale walio unga juhudi Mkono na kututia Hasara kama Taifa kwa kurudia Uchaguzi ulio Sababisha Mauaji (R.I.P.Akwilina) ,na wakarudishwa ktk Jimbo lile lile kuwatumikia wale wale ambao walimchagua awali kupitia Chama A.
 
Wakikubali hizo nafasi za ubunge wamekwisha. Ni sawa na kubariki uovu uliofanyika. Na itakapofika 2025 yatafanyika madudu yale yale sababu walishayabariki tayari. Solution ni kuchukua hatua sasa japo itawagharimu.
 
Back
Top Bottom