barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wasusie kwani wapo bungeni au udiwanini? Wanasusaje kitu hawana?Habari wana JF,
Ni swali la kujiuliza.
Endapo ikatokea wapinzani wote nchini wakashauriana katika kikao chao kinachosadikikia kuwepo leo kuwa, wabunge na madiwani wao wote waliopata nafasi katika uchaguzi huu kususia na kutoingia sehemu zao za kazi Je, nini kiatokea?
Nini faida na Hasara za uamuzi wa aina io kwa Taifa kama taifa na watanzania kwa ujumla.
Je, kuna hasara gani au faida watazipata upinzani?
Je, faida au hasara zipi kwa chama tawala?
Nawasilisha kwa utiiiifu🙏