Pre GE2025 Upinzani wanaweza sana kulalamika lakini hawana mipango mbadala kabisa

Pre GE2025 Upinzani wanaweza sana kulalamika lakini hawana mipango mbadala kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kama malalamiko wanayoyatoa upinzani nchini, yangekua na mbadala, au yangeambatana na mbadala wa sera, mipango na mikakati bora zaidi, dhidi ya iliyopo sasa, basi ingeleta maana na changamoto halisi ya upinzani wa kisiasa, tena wenye tija, na kwakweli kama taasisi ya upinzani ingeheshimika sana, na kuchochea maendeleo, mabadiliko na mageuzi makubwa sana kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini...

Kulalamika, kunung'unika, kukosoa na kubeza pekeyake, hakuna tija wala manufaa yoyote, ni sawa na bora liende tu.

Nadhani ni lazima pawepo principles na standards za kuongoza taasisi yenye malengo mahususi. Ni Lazima pawepo sera, maono, mipango na mikakati mbadala, itakayotoa changamoto dhidi ya ile ya serikali iliyopo madarakani na kuchochea pafanyike bidii na jitihada zaidi zitakazo fanya wanainchi kunufaika na maendeleo endelevu.

Hii habari ya kusifiana uhodari wa kulalamika na kunung'unuka tu, ni kujichelewesha kupiga hatua za kimaendeleo.

Kupeana matumaini eti aise, fulani analalamika vizuri sana kwa hoja, oohh kwekweli amewakomesha akina fulani na hawana majibu. halafu eti kwahiyo huo ndio uongozi bora uaminiwe na kupewa ridhaa ya wanainchi kuongoza? thubutu..... :pedroP:

vibrant opposition is the engine to foster development...
 
Upinzani haujawahi kuwa tatizo kwetu sisi wananchi , matatzo yetu sisi wananchi ni.

Mfumuko wa bei
Rushwa
Miundo mbinu mibovu
Ahadi za uwongo kutoka kwa watu tulio wapa dhamana.
Ukosefu wa ajira
Mishaara mibovu kwa watumishi wa umma,na nk.

Changamoto zote hizi zilipaswa kutatuliwa na chama tawala toka miaka 60 ya uhuru.
 
Upinzani haujawahi kuwa tatizo kwetu sisi wananchi , matatzo yetu sisi wananchi ni.

Mfumuko wa bei
Rushwa
Miundo mbinu mibovu
Ahadi za uwongo kutoka kwa watu tulio wapa dhamana.
Ukosefu wa ajira
Mishaara mibovu kwa watumishi wa umma,na nk.

Changamoto zote hizi zilipaswa kutatuliwa na chama tawala toka miaka 60 ya uhuru.
Well said
 
Uko sawa kabisa, oppositional parties za bongo hazi sell alternatives policy, solutions, regulations, visions and missions zao at all. Wao wapo bize na kuchangishana, kulalamika, kusutana na mambo mengine ambayo sio positive kwenye kuleta changes. Mbaya zaidi malalamishi haya yameanza kuzoeleka kwa jamii maana kulalamika pekee hakutoshi ila wangekuwa wakiita press kuleta solutions regarding matatizo ya jamii kwa kusema ushauri wao kama opposition parties wangefanikiwa sana. Mfano waende kenya, Opposition Parties hazilalamiki tu, wanakuja na demands ya how as a country, the Gvt needs to do for the citizens kupata changes. Bongo hata hayo maandamano yao yalikuwa ni full of malalamishi, zaidi zaidi walijitahidi kuleta solution ya how we can achieve fair and equal elections ila vingine pumba kabisa.
 
CHADEMA kwa sasa imepoteza muelekeo na Dira yake.kwa sababu hata kiongozi smmkuu wake amekaa muda mrefu sana uongozini .mpaka sasa ameishiwa mawazo mapya na kubakia akiongoza chama kwa mbinu za kuvizia vimatukio vya mpito kama mvuke. Huku chama kikiendelea kudhoofika na kupoteza ushawishi wake kwa wananchi kila uchwao. Maana kwa sasa chama hakina sera wala hoja wala ajenda za kumshawishi mwananchi kukiunga mkono chama. Nani mwenye akili Timamu aanze kuunga mkono kauli za kibaguzi na chuki zinazotolewa na akina Lissu? Mwananchi anataka kusikia habari zinazogusa maisha yake na ustawi wake na siyo habari za huyu ni wa kule na sisi ni wa huku.
 
Upinzani haujawahi kuwa tatizo kwetu sisi wananchi , matatzo yetu sisi wananchi ni.

Mfumuko wa bei
Rushwa
Miundo mbinu mibovu
Ahadi za uwongo kutoka kwa watu tulio wapa dhamana.
Ukosefu wa ajira
Mishaara mibovu kwa watumishi wa umma,na nk.

Changamoto zote hizi zilipaswa kutatuliwa na chama tawala toka miaka 60 ya uhuru.
ili chama tawala kionekane kimeshindwa, wanaoweza wanapaswa kuonesha ni kwa mbinu gani wataweza kutatua chabgamoto hiyo na kuvutia wanainchi kuwaamini na kuwaunga mkono.....

but kulalamika tu eti ndio itoshe chama tawala kionekane kimeshundwa, thubutu, mtasubiri sana aisee>>> :pedroP:
 
CHADEMA kwa sasa imepoteza muelekeo na Dira yake.kwa sababu hata kiongozi smmkuu wake amekaa muda mrefu sana uongozini .mpaka sasa ameishiwa mawazo mapya na kubakia akiongoza chama kwa mbinu za kuvizia vimatukio vya mpito kama mvuke. Huku chama kikiendelea kudhoofika na kupoteza ushawishi wake kwa wananchi kila uchwao. Maana kwa sasa chama hakina sera wala hoja wala ajenda za kumshawishi mwananchi kukiunga mkono chama. Nani mwenye akili Timamu aanze kuunga mkono kauli za kibaguzi na chuki zinazotolewa na akina Lissu? Mwananchi anataka kusikia habari zinazogusa maisha yake na ustawi wake na siyo habari za huyu ni wa kule na sisi ni wa huku.
yaani hawa majamaa ni watu wa ajabu sana, hawana ushawisha lakini hakuna wanachokubali kiwe kizuri au kibaya wao wanashupaza shingo tu licha ya kwamba ni kwa manufaa yao wenyewe na taasisi yao dhaifu sana :pedroP:
 
ili chama tawala kionekane kimeshindwa, wanaoweza wanapaswa kuonesha ni kwa mbinu gani wataweza kutatua chabgamoto hiyo na kuvutia wanainchi kuwaamini na kuwaunga mkono.....

but kulalamika tu eti ndio itoshe chama tawala kionekane kimeshundwa, thubutu, mtasubiri sana aisee>>> :pedroP:
Unafikiri kwa nini upinzani wanalalamika badala ya kupinga na kuchukua hatua ?
 
Sema kuna baadhi ya Wapinzani wenzetu humu JF ni mabingwa wa kupinga aisee!!
 
Mlitaka watu wanyamaze wasiongee ama kulalamika

Ova
 
kama malalamiko wanayoyatoa upinzani nchini, yangekua na mbadala, au yangeambatana na mbadala wa sera, mipango na mikakati bora zaidi, dhidi ya iliyopo sasa, basi ingeleta maana na changamoto halisi ya upinzani wa kisiasa, tena wenye tija, na kwakweli kama taasisi ya upinzani ingeheshimika sana, na kuchochea maendeleo, mabadiliko na mageuzi makubwa sana kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini...

kulalamika, kunung'unika, kukosoa na kubeza pekeyake, hakuna tija wala manufaa yoyote, ni sawa na bora liende tu.

Nadhani ni lazima pawepo principles na standards za kuongoza taasisi yenye malengo mahususi. Ni Lazima pawepo sera, maono, mipango na mikakati mbadala, itakayotoa changamoto dhidi ya ile ya serikali iliyopo madarakani na kuchochea pafanyike bidii na jitihada zaidi zitakazo fanya wanainchi kunufaika na maendeleo endelevu..

hii habari ya kusifiana uhodari wa kulalamika na kunung'unuka tu, ni kujichelewesha kupiga hatua za kimaendeleo.

kupeana matumaini eti aise, fulani analalamika vizuri sana kwa hoja, oohh kwekweli amewakomesha akina fulani na hawana majibu. halafu eti kwahiyo huo ndio uongozi bora uaminiwe na kupewa ridhaa ya wanainchi kuongoza? thubutu..... :pedroP:

vibrant opposition is the engine to foster development...
Screenshot_2024-05-20-19-47-08-1.png
 
Tanzania hakuna wapinzani.

Nchi zenye upinzani ni Kenya, Malawi, Ghana na Senegal.

Huko kwingine, ikiwemo Tanzania, hakuna upinzani.
 
Unafikiri kwa nini upinzani wanalalamika badala ya kupinga na kuchukua hatua ?
hawana principles, hawana mipango, hawana nia wala dhamira ya kweli kuongoza na kuleta mabadiliko na maendeleo, hawana maono hawana uwezo, hawana ubunufu, hawana dira na wamepoteza uelekeo, hawashauriki, wabinafsi, wamesahau au hawajui wajibu na kazi zao kama upinzani, kwa uchache n.k :BillyApprove:
 
Back
Top Bottom