Uchaguzi 2020 Upinzani wasizuie wabunge wao kwenda kuapa na kuhudhuria Bunge

Uchaguzi 2020 Upinzani wasizuie wabunge wao kwenda kuapa na kuhudhuria Bunge

Mabadiliko yoyote yale hayaletwi na viongozi pekee. Sisi wananchi wa kawaida tuna nafasi pia. Tujiulize (ukiwemo wewe mtoa hoja), tumefanya nini katika kuchochea mabadiliko zaidi ya kupiga kura na kulalamikia viongozi wa upinzani? Hata hivyo, napendekeza wabunge hawa wa upinzani waende bungeni wakale hela hizo na ikiwezekana wasichangie chochote ili wasionekane wakwamishaji wa maendeleo.
Haramu yageukaje kuwa halali?
 
Unaongelea bunge lipi ?? au hili lilowekwa na Jeshi la Mabeyo na Security wa Diwani pamoja na Polisi ya Sirro wakisaidiwa na majeshi ya kukodi kutoka BURUNDI ???
Wacha utani wako Tanzania inaweza kukodi majeshi kutoka Burudi, ili iweje?
 
Unafikiri hawa mlowaleta wanaoongea kiswahili cha kiburundi hatuwajui ??? kiswahili na maneno ya kifaransa
Inawezekana umekutana na askari wetu waliokuwa DRC kwa muda mrefu kwenye operations za UN
 
Inawezekana umekutana na askari wetu waliokuwa DRC kwa muda mrefu kwenye operations za UN

kama vile hatujafika Bujumbura wala kuishi na waburundi ?? wala kama vile hakuna watu wetu jeshini . Kwa taarifa yako tuna mtoto wetu hapa kaolewa na Mburundi na huyo mume wake kiswahili chake tumekizowea
 
Inawezekana umekutana na askari wetu waliokuwa DRC kwa muda mrefu kwenye operations za UN

kijana wetu alikuwa huko miaka mingi jeshini wala kiswahili chake hakijabadilika
 
Zitto kafaidi ubunge kwa miaka 15 kwa kutumia tume hiihii, leo kwakuwa hayumo basi uchaguzi ni batili na waliochaguliwa wasiende bungeni, jamani tuache usanii. Ninamuomba Mh. Spika ajae awalinde hawa mbuzi wa kafara kwenye ubunge wao ili nao wafaidi matunda ya Tume, jitihada zao na rasilimali zao walizopoteza wakati wa kampeni.
Hata mfalme mbowe amechaguliwa miaka nenda rudi anakuja safari hii anawaambia wananchi hata akiweka ile miwani yake uhakika wa kushinda ni 200%
 
Zitto kafaidi ubunge kwa miaka 15 kwa kutumia tume hiihii, leo kwakuwa hayumo basi uchaguzi ni batili na waliochaguliwa wasiende bungeni, jamani tuache usanii. Ninamuomba Mh. Spika ajae awalinde hawa mbuzi wa kafara kwenye ubunge wao ili nao wafaidi matunda ya Tume, jitihada zao na rasilimali zao walizopoteza wakati wa kampeni.
Hata
 
Hata mfalme mbowe amechaguliwa miaka nenda rudi anakuja safari hii anawaambia wananchi hata akiweka ile miwani yake uhakika wa kushinda ni 200%
na miaka yote hiyo wimbo ndio huohuo wa kuibiwa kura lakini wanatangazwa kushinda na kwenda bungeni. Hawakuwahi kususa, ila sasa Aida anatakiwa asuse. Walahi kama viti maalumu vingeruhusu wanaume kuteuliwa cdm ingeshawapeleka bungeni Lema, Mbowe, Sugu, Msigwa, Heche, Mnyika, Pro Jay na kujalizia idadi na akina Mdee, Bulaya, na kwenda bungeni moja kwa moja.
 
Kilichomkuta Lissu au Ben saanane haina haja ya kuhangaika na jeshi hili la kipuuz!
Halima Mdee anaenda kituo cha polisi kureport wahalifu wanaomfuatilia,anakatwa yeye na kuwekwa ndani,wala hahojiwi juu ya kile alichoenda kureport!Kuna polisi hapo wa kuwaamini?
Lakini itakuwa hatari sana na kazi ngumu kama kila mtu anayepigiwa simu na asiyemjua anavuka mpaka kukimbia kufa.

Jana nilipigiwa simu na mtu nisiyemfahamu akitaka niachane na mke wake la sivyo nitakiona, nilivyomhoji vizuri akaomba samahani kuwa alikosea namba. Ningekuwa bwege na mimi ningekimbilia ubalozi wa Ethiopia kuepusha maisha yangu. Maana wakati napigiwa nilikuwa hatua chache tu kutoka ulipo mgahawa wa Addis
 
Wacha wabunge wa wapinzani washiriki vikao vya bunge lijalo, na ikiwezekana wapeleke majina ya watu wa ubunge wa viti maalumu. Maana kuhudhuria au kutokuhudhuria hakusaidii kuimarisha demokrasia wala vyama vya upinzani wala kubadilisha siasa za Tanzania.

CUF walifanya hivyo mara nyingi bila kuzaa matunda yoyote. Wabunge wa upinzani wamekuwa wakisusia vikao vya bunge mara kadhaa lakini sikuona walichofanikisha sanasana kujinufaisha wao wenyewe kiuchumi.

Itakuwa ni kuwanyima fursa wabunge wa upinzani waliochaguliwa kama tutasema wasihuhudhurie pia bunge. Hata wakisusia hawana uzito wowote wa kubalidisha mambo zaidi ya kuwakosesha fursa yao ya kiuchumi, kisiana na kijamii.

Vyama vijipange upya kwa 2025 kwa kufanya yafuatayo:
1. Kueneza vyama vyao hadi vitongojini.

2. Kuhakikisha kuwa wanachama wao na wapenzi wanajiandikisha kwa wingi kwenye daftari la kupiga kura wakati utakapowadia.

3. Kuhakikisha kuwa wanachama wao na wapenzi wanakwenda kupiga kura wote siku ya kupiga kura.

4. Wahakikishe kuwa wakati wa kujaza fomu za kugombea kuna watu maalumu wanaohakiki ujazaji na urudishwaji wa fomu hizo kwa usahihi.

5. Hakikisheni kuwa kuanzia sasa na kabla ya 2025 mnapata muafaka kuhusu Tume Huru ya uchaguzi na wasimamizi wake. Kama mkishindwa kuipata Tume huru ya uchaguzi tafadhali sana msiwasumbue na kuwarubuni wananchi kwa kuwapa matumaini ya uongo. Tunafahamu kuwa wanasiasa wanawatumia wananchi kama mtaji wao wa kuichumi wa kuwafikisha kwenye posho, mshahara, magari makubwa na kiinua mgongo bungeni na wapenzi wao wa viti maalum na kujipatia ruzuku. Na hii ndiyo maana walikuwa wakishiriki chaguzi za vyama vingi bila kujali Tume imekaakaaje.

Wanasema Tume ni mbaya kila siku lakini Tume hiyohiyo ilikuwa ikiwatangaza kushinda Ubunge. Naishukuru sana Tume safari hii kwa kuacha kuwatangaza hawa jamaa ili waufahamu ukubwa wa shughuli.

Tuwaache waliotangazwa kushinda nao wakafaidi kama vile nyie mlivyofaidi kwa miaka 10 kwa kutumia Tume ya aina hiihii.

Nitawashangaa wale walioshinda kama watasikiliza porojo za kuwaambia wasiende kupata mpunga bungeni, hata 2015 malalamiko yalikuwa hayohayo kwa Tume lakini walikwenda bunge kilafi pamoja na malalamiko ya Lowassa kuibiwa kura.

Kwakuwa wao safari hii wametemwa basi wanataka walioshinda wasiende bungeni. Huu ni utoto.
Acha hivi wewe, mtu anapiga kura yeye na familia yake lakini anapata zero?
 
Kilichomkuta Lissu au Ben saanane haina haja ya kuhangaika na jeshi hili la kipuuz!
Halima Mdee anaenda kituo cha polisi kureport wahalifu wanaomfuatilia,anakatwa yeye na kuwekwa ndani,wala hahojiwi juu ya kile alichoenda kureport!Kuna polisi hapo wa kuwaamini?
Ajabu na kweli
 
Lakini itakuwa hatari sana na kazi ngumu kama kila mtu anayepigiwa simu na asiyemjua anavuka mpaka kukimbia kufa.

Jana nilipigiwa simu na mtu nisiyemfahamu akitaka niachane na mke wake la sivyo nitakiona, nilivyomhoji vizuri akaomba samahani kuwa alikosea namba. Ningekuwa bwege na mimi ningekimbilia ubalozi wa Ethiopia kuepusha maisha yangu. Maana wakati napigiwa nilikuwa hatua chache tu kutoka ulipo mgahawa wa Addis
Kama sio mwanasiasa wa upinzani ukipigiwa simu za hivyo nenda polisi,utapewa ushirikiano!Ila kama wewe ni mpinzani ukitishwa basi kimbia tu!Ben saanane aliweka hadi namba za simu za waliomtisha lakini hakuna anayejihangaisha na kupotea kwake!
Aibu kwa hili jeshi la kipuuzi!
 
Wanaogopa damu zisizo hatia za watz wenzetu ni heri kujieupusha na unajisi wa damu za watu.
Bunge la kijani limelowa damu za watz wenzetu waliouliwa Zanzibar tarime rorya tunduma nk ili kufurahisha matumbo yao.
 
Kilichomkuta Lissu au Ben saanane haina haja ya kuhangaika na jeshi hili la kipuuz!
Halima Mdee anaenda kituo cha polisi kureport wahalifu wanaomfuatilia,anakatwa yeye na kuwekwa ndani,wala hahojiwi juu ya kile alichoenda kureport!Kuna polisi hapo wa kuwaamini?
Kama sio mwanaccm ni heri usalimishe roho yako haraka ubalozini wasije kukusaanane Hawa majahili,maana wasiojulikana watarudi kwa Kasi Sana toka likizo ya muda mafichoni.
 
Usichanganye kati ya Waha wa Kibondo na Warundi

Kila mtu anawajua warundi au wametoka sayari nyengine. Mumeleta majeshi ya Burundi na tunajua na kila mtu anajua hapa visiwani usilete ubishi usio mashiko. Hata hao wanajeshi wenu wanatuambia
 
Wacha wabunge wa wapinzani washiriki vikao vya bunge lijalo, na ikiwezekana wapeleke majina ya watu wa ubunge wa viti maalumu. Maana kuhudhuria au kutokuhudhuria hakusaidii kuimarisha demokrasia wala vyama vya upinzani wala kubadilisha siasa za Tanzania.

CUF walifanya hivyo mara nyingi bila kuzaa matunda yoyote. Wabunge wa upinzani wamekuwa wakisusia vikao vya bunge mara kadhaa lakini sikuona walichofanikisha sanasana kujinufaisha wao wenyewe kiuchumi.

Itakuwa ni kuwanyima fursa wabunge wa upinzani waliochaguliwa kama tutasema wasihuhudhurie pia bunge. Hata wakisusia hawana uzito wowote wa kubalidisha mambo zaidi ya kuwakosesha fursa yao ya kiuchumi, kisiana na kijamii.

Vyama vijipange upya kwa 2025 kwa kufanya yafuatayo:
1. Kueneza vyama vyao hadi vitongojini.

2. Kuhakikisha kuwa wanachama wao na wapenzi wanajiandikisha kwa wingi kwenye daftari la kupiga kura wakati utakapowadia.

3. Kuhakikisha kuwa wanachama wao na wapenzi wanakwenda kupiga kura wote siku ya kupiga kura.

4. Wahakikishe kuwa wakati wa kujaza fomu za kugombea kuna watu maalumu wanaohakiki ujazaji na urudishwaji wa fomu hizo kwa usahihi.

5. Hakikisheni kuwa kuanzia sasa na kabla ya 2025 mnapata muafaka kuhusu Tume Huru ya uchaguzi na wasimamizi wake. Kama mkishindwa kuipata Tume huru ya uchaguzi tafadhali sana msiwasumbue na kuwarubuni wananchi kwa kuwapa matumaini ya uongo. Tunafahamu kuwa wanasiasa wanawatumia wananchi kama mtaji wao wa kuichumi wa kuwafikisha kwenye posho, mshahara, magari makubwa na kiinua mgongo bungeni na wapenzi wao wa viti maalum na kujipatia ruzuku. Na hii ndiyo maana walikuwa wakishiriki chaguzi za vyama vingi bila kujali Tume imekaakaaje.

Wanasema Tume ni mbaya kila siku lakini Tume hiyohiyo ilikuwa ikiwatangaza kushinda Ubunge. Naishukuru sana Tume safari hii kwa kuacha kuwatangaza hawa jamaa ili waufahamu ukubwa wa shughuli.

Tuwaache waliotangazwa kushinda nao wakafaidi kama vile nyie mlivyofaidi kwa miaka 10 kwa kutumia Tume ya aina hiihii.

Nitawashangaa wale walioshinda kama watasikiliza porojo za kuwaambia wasiende kupata mpunga bungeni, hata 2015 malalamiko yalikuwa hayohayo kwa Tume lakini walikwenda bunge kilafi pamoja na malalamiko ya Lowassa kuibiwa kura.

Kwakuwa wao safari hii wametemwa basi wanataka walioshinda wasiende bungeni. Huu ni utoto.
Wenyewe ndio hao wanakimbia hayo atayafanya nani, hiyo namba moja itabaki kuwa nguvu ya ccm miaka100.
Wakirudi 2025 lazima wafurushwe na wananchi
 
Back
Top Bottom