Uchaguzi 2020 Upinzani watoe Ilani zao za Uchaguzi yaani “Election Manifesto" acheni porojo hazina Tija

Hahahaaa.
Ahsante kwa maelezo nilitaka uone tu hakuna jipya.
 
Watakuelewa kweli gawa wakereketwa wa vyama?
 
Kwani Polepole amekuambia kuwa Chadema hawana Ilani ya uchaguzi? Ngojeni kipenga kipulizwe,
 
Upinzani ni makanjanja, wanasubiri CCM watoe yao ili wakopi
 
Zipigiwe chapuo zaidi maana wananchi hawajazisikia.
 
Unadhani tangu tupate Uhuru mwaka 1961 zimepita ilani ngapi za uchaguzi? Na zimesaidia nini?

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Pengine hufahamu kuwa maendeleo yalipofikiwa ni matokeo ya ilani tofauti zilizowekwa.
Umeme Kidatu 200 MW
Barabara kusinu na daraja la Mkapa
Ujenzi wa Shule za Kata
Ujenzi wa Zahanati kila kata kulingana na population iliyopo
Kuendeleza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa proffessional
nk, nk, nk
Hayo yote ni matokeo ya ilani tofauti.
 
Ukijaribu kutafuta mwenye akili kubwa miongoni mwa hawa makamanda humpati. Hakuna wa kufikiria hayo. Wanadhani Lisu ni full package.
 

Nimefuatilia toka mwanzo wa mjadala ili nione hoja zako. Baada ya zito junior kuja na hoja za msingi, naona umeishia kuongea utoto mtupu.
 
Devolution mmecopy Kenya sio mawazo yenu.so hakuna mpya, hata hizo zingine am sure mmecopy hahaa.

Hata siasa ya ujamaa na kujitegemea tulicopy China, sasa sijui hoja yako ni nini hapa.
 
Ilani za uchaguzi ni utaratibu upo duniani kote.

Sio ilani za duniani... Huyo ameuliza ilani za CCM tokea tumepata Uhuru Hadi leo zimesaidia Nini wananchi...

Alafu kabla ya kudai ilani za wapinzani dai ilani ya CCM....
 
Hata siasa ya ujamaa na kujitegemea tulicopy China, sasa sijui hoja yako ni nini hapa.
Kucopy na kujidai ni kitu kipya.
Acknowledge mnacopy toka sehemu flani, kila kitu kina muasisi wake.
 

Safi sana mgosi ngoja nami nigosoe.

1. Huwezi kufanya devolution kwa ajili ya kuruhusu serikali za mitaa kujiendesha.

hata hivyo serikali za mitaa kwa mfano zinajikusanyia mapato yake binafsi mbali ya ile nyongeza kutoka serikali kuu.

Kutokana na hivyo tumeona serikali nyingi za miataa zikijenga masuala kama masoko makuu na vituo vya mabasi.

Hiyo ni fedha inayokusanywa na serikali za miataa.

nafikiri wakumbuka Dodoma iliidizi kimapato Dar-es-salaam wakati fulani hata makonda akashangaa sana.

2. Uko sawa tunahitaji balance na nafikiri hiyo iko katika azma ya serikali pale ilipoamua kuwapatia wajasirimali kitambulisho na pia kuwasamehe kulipa kodi endapo mapato yao hayazidi milioni 4 kwa mwaka.

3. Ukisema "Market economy" wamaanisha kwamba kuwe na "unrestricted competition" kwenye uzalishaji na bei ya bidhaa masokoni na madukani.

Ukifanya hivyo utarudi kulekule kwenye wale wanaotaka kuingiza bidhaa zao nchini ambapo bidhaa zingine ni fake na hazikidhi ubira na zingine ni sumu.

4. tatizo la ajira lipo duniani kote hata huko USA na Ulaya hili tatizo ni kubwa sana maana vijana wa miaka 24 pia wanashia mitaani na kwa kuwa nchi hizi ni kubwa kiuchumi wana uwezo wa kuwaoat handouts hawa vijana.

hapa tatizo ni sekta binafsi kuwa tayari kuchangia uchumi wa nchi ukue kwa kbuni miradi, makampuni, viwanda na hta small workshops ili ajira au apprentiships ziweze kwasaidia hao graduates kupata uzoefu wa kazi na skills zinazohitajika.

Tatizo jingine ni kwamba vijana wanapotaka kuingia chuo kikuu wanapaswa kuangalia manufaa ya degree anayosomea sio kwa mfano mtu anaingia chuo anasomea uandishi wa habari wakati sekta hiyo ina high competetion.

Eneo kubwa ambalo bado lipo "untapped" ni kilimo, ugavi na uboharia au warehousing.

Serikali yoyote iwe CCM au Chadema ina budi kuwawezesha wakulima na hao graduates kuendesha sekta hiyo kisasa.

Lakini CCM inaye kijana Hussein Bashe ambae akiwa naibu wizara ya kilimo amejaribu sana kutengeneza mazingira ya kukiweka kilimo kiwe cha kisasa.

Tatizo kubwa sana la vijana wengi na ile "mentality" yetu waafrika ni kusoma ili uajiriwe au ujitegemee.

Huwezi kukaa tu utafuniwe kila kitu ni lazima uwe mjanja usome kozi ya kukusaidia kujitegemea na hata ukiomba mkopo benki kinaeleweka.

5. You are wrong, mimi wakati nikiwa ughaibuni nilikuwa nakatwa asilimia 20 ya mshahara wangu na baada ya hapo kuna VAT ya madukani, kuna makato ya kulipa pango, kuna kodi ya maendeleo yaani kodi ya manispaaa na ukimaliza makato hayo tusema wabakia na kiasi cha kufanya shopping, vinguo kidogo na "other miscellaneous".

Hata hivyo "purchasing power" sifahamu wazungumzia kwa wananchi wa aina gani kwani hata mradi wa umeme vijijini unakusudia kupunguza ukali wa maisha kwa kulipa elfu 27,000 tu .
 

Kama ni gradual process basi hakuna haja ya kusema ukishindwa utaingiza watu barabarani.

Maana unakuwa wajongea taratibu kuelekea kukubalika na electorate.

Pili, kama ni gradual process Chadema iko tangia 1992, hivyo hiyo point ni irrelevant.

Sasa hivi ungesema Chadema watapiga kampeni kumaliza nchi nzima khasa huko vijijini ningekuwelewa maana ndio eneo lililobakia kujitanua mabawa yake.
 
Nimefuatilia toka mwanzo wa mjadala ili nione hoja zako. Baada ya zito junior kuja na hoja za msingi, naona umeishia kuongea utoto mtupu.

I reserve my comment.

For you.

For now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…