EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
Chimbo langu kitamboooo saana enzi naishi.ubungo maziwa [emoji2956]Micasa[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chimbo langu kitamboooo saana enzi naishi.ubungo maziwa [emoji2956]Micasa[emoji39]
Ya wapi maana zipo nyingiSamaki samaki napiga one for the......
nisogee karibu na hme
Nipo bia 30 boss ananisifia kinyamaMkuu upo bia ya ngapi naona mambo yameshaanza kuwa mengi[emoji23]
Mkuu bia ya 30 manake umeshamaliza kreti?Nipo bia 30 boss ananisifia kinyama
Mkuu pumzika mpaka upone israeli atakuita tungalitunakupendaDaah mafua yamenilaza kitandani, homa moja ya hatari kila kiungo kinauma.... Ila nasikilizia. Nimepiga senge lite mbili nikaona nataka kufa.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushalewa mkuu wahi home unaTOBOKANipo bia 30 boss ananisifia kinyama
Nawe ni mkorofi kiasi chake etNgoja niweke funguo ya geto juu ya Meza nipige picha na mimi nijumuike hapa kwa picha
Mkuu kalale kesho nayo ni sikuDaah mafua yamenilaza kitandani, homa moja ya hatari kila kiungo kinauma.... Ila nasikilizia. Nimepiga senge lite mbili nikaona nataka kufa.....
Yan hapa nahisi kama dunia nimeibeba ila m happy mnoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushalewa mkuu wahi home unaTOBOKA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635]Anasema angekua na elimu angekua mbali hajui watu tuna maelimu yetu hata pesa ya bia tunaunga maisha haya mwingine anataka kujiua mwingine anataka uahai aishi
Au ni jana la pub[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Mkuu bia ya 30 manake umeshamaliza kreti?
Usimtishe!!!Mkuu pumzika mpaka upone israeli atakuita tungalitunakupenda
Mkuu najifunza mengi kwa maisha yan ila nimejifunza bar ni sehemu nzuri ya kupata connection na watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635]
Nisharudi home mkuu nipo kitandani tangu saa 2.....Mkuu kalale kesho nayo ni siku
Umemuona eeeh halafu mi mjomba ake[emoji41]Nawe ni mkorofi kiasi chake et
Pana.happen [emoji1783][emoji1783][emoji1783]Wa g/mboto TNT tukutane hapa