EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #61
Saaaana ila mkumbuke sana MunguMkuu najifunza mengi kwa maisha yan ila nimejifunza bar ni sehemu nzuri ya kupata connection na watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saaaana ila mkumbuke sana MunguMkuu najifunza mengi kwa maisha yan ila nimejifunza bar ni sehemu nzuri ya kupata connection na watu
Hapna mi hua nakula vant mwili wangu mnene ila kitonga cha lite natembea kilometa nyingiiiiAu ni jana la pub[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Pata nasaha za DIVA [emoji41][emoji41]Nisharudi home mkuu nipo kitandani tangu saa 2.....
NamkumbushaaaUsimtishe!!!
Kunywa maji usipate hasara [emoji3165][emoji3165]Hapna mi hua nakula vant mwili wangu mnene ila kitonga cha lite natembea kilometa nyingiiii
Jumapili napiga goti ijumaa sisujudu sana mkuuSaaaana ila mkumbuke sana Mungu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Namkumbushaaa
Mmh maisha siyo mazaga tu mkuu, inabidi ukae na familia hata weekend tu inatosha kaa na watoto wakwambie chochote mfurahi.Home unaacha mazaga then mwanaume unaenda kutafuta connections za michongo mapenzi hayaliwi
Kuna mlevi alisema huo ufunguo utakuwa either wa Vits, au Opa au Raum au Sienta.Duh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.
Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,
Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kazi mabaharia na Queens
Uzi tayariView attachment 1816282
Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwaji.hapa JC HALL Africana
View attachment 1816593
Watoto mda wao ni asubuhi hadi "jua kupunga" baada ya hapi unatoka na mwenza mtu bee alone[emoji127]Mmh maisha siyo mazaga tu mkuu, inabidi ukae na familia hata weekend tu inatosha kaa na watoto wakwambie chochote mfurahi.
Vitz mkuu hata usipate taabu namba BEVKuna mlevi alisema huo ufunguo utakuwa either wa Vits, au Opa au Raum au Sienta.
Nani yupo maeneo ya kijazi interchange/bridge tuungane tujue tunadondokea upande upi..Duh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.
Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,
Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kazi mabaharia na Queens
Uzi tayariView attachment 1816282
Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwaji.hapa JC HALL Africana
View attachment 1816593
Nilikuwa najaza comments tu kiranja mkuu.. Piga vyombo!!Vitz mkuu hata usipate taabu namba BEV
Sawa pia ila kubaki home tu sometimes ni nzuri unapata muda wa kutosha zaidiWatoto mda wao ni asubuhi hadi "jua kupunga" baada ya hapi unatoka na mwenza mtu bee alone[emoji127]
Nilikuwa Mlimani CityYa wapi maana zipo nyingi
Totoz za KIU zpo hapaPana.happen [emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Duh wapo kibao wasikilizie ila tuambie upo KINYAIA uaNani yupo maeneo ya kijazi interchange/bridge tuungane tujue tunadondokea upande upi..