Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #381
Na zote ukanipiga chini🤣😂😂, nihurumie nijibu kidogo😂🤣Wewe kama sio una Id kumi basi tano hukosi😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zote ukanipiga chini🤣😂😂, nihurumie nijibu kidogo😂🤣Wewe kama sio una Id kumi basi tano hukosi😁😁
Alivuka ndioo, sema nilicheka Sana siku hiyoo🤣😂😂Mimi huyo wa kutukana ilikuwaje nadhani jamaa alivuka mpaka kwangu sina kawaida ya kutukana😬
Mimi binafsi mazungumzo ya jukwaani kwangu ni bora kuliko huko pm yaani sikawii kuboreka niliwahi jaribu nilishindwa aisee 😁😁Na zote ukanipiga chini🤣😂😂, nihurumie nijibu kidogo😂🤣
Haya tujaribu, Naionaga sura yako, Nikiwa nakula ukwaju😍😜😜Mimi binafsi mazungumzo ya jukwaani kwangu ni bora kuliko huko pm yaani sikawii kuboreka niliwahi jaribu nilishindwa aisee 😁😁
😁😁Afu nigga acha kujifanya uko 70, akati wazee tuna jijua😂🤣🤣
Tatizo huo mda pm tuwaachie vijana na uzee huo tunachat kitu gani huko zaidi ya ujinga🤷🏼♀️Haya tujaribu, Naionaga sura yako, Nikiwa nakula ukwaju😍😜😜
Mna renew mkataba wa uzeeni🤣😂Tatizo huo mda pm tuwaachie vijana na uzee huo tunachat kitu gani huko zaidi ya ujinga🤷🏼♀️
Mazee tume fika 72😂🤣
Naogopa Ukimwi na utiii suguu na uzee huu ataniuguza nani😁😁Mna renew mkataba wa uzeeni🤣😂
Kumbe nimekupita miaka 6, mimi inasoma miaka 78🤪Mazee tume fika 72😂🤣
Watu wananuna eti hawataki uniponyeAisee 😃😃
Achana nao usiwazingatie😃Watu wananuna eti hawataki uniponye
Masikio nmeweka gundiAchana nao usiwazingatie😃
kumbe uko hapa jaman. kweli nilikuweka moyoni sana tena ukajaa but nilikosa ujasiri wa kukuingia ila mungu mwema aisee dah maana niliumia haswaa. kuna siku nilitaka kuvunja ukimya nikaja pm ikagoma. dah bora leo roho yangu imesuzikaaID ya zamani please Amanikwanza