Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Yeah, safi🤗🤗Masikio nmeweka gundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, safi🤗🤗Masikio nmeweka gundi
Tutaenda kwa mwamposa😁😁Naogopa Ukimwi na utiii suguu na uzee huu ataniuguza nani😁😁
Pole sana, niko hapa sema yotekumbe uko hapa jaman. kweli nilikuweka moyoni sana tena ukajaa but nilikosa ujasiri wa kukuingia ila mungu mwema aisee dah maana niliumia haswaa. kuna siku nilitaka kuvunja ukimya nikaja pm ikagoma. dah bora leo roho yangu imesuzikaa
😬Kuonana ili iweje
Nyuki wa mashineni 😁😁😂Kumbe nimekupita miaka 6, mimi inasoma miaka 78🤪
Tunakuelewa vizuri kabisaMimi nilitoswa mpaka roho ya umauti ikanivaa..
Sahivi sitaki kuwa real tena.
Moyo sukuma damu siyo mapenzi
Unampenda demu jf kumbe naye ana mpenzi wake ,alafu mpenzi wake naye ana mpenzi wake ,na mpenzi wake ana mchepuko ambapo mchepuko wake ni mpenzi wangu..
Sijui mmenielewa lakini..
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] naona unatafuta ban kwa nguvuModerator nyie hamjawahi kuka taliwa[emoji1787][emoji23][emoji23]
Nashea upendo tu😂😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787] naona unatafuta ban kwa nguvu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
sa kwanini, haupikagi??😂mshamba_hachekwi nilisahau Kama Kuna kula😂😂, Nika kalia kula karanga mbichi 😂😂
Ndo napika hapa mzee😂😂😂sa kwanini, haupikagi??😂
Umekula saa ngapi??Niko hapa, leo nimejaribu kutafuta usingizi saa nne lakini hamna kitu aisee
Saa mojaUmekula saa ngapi??
Hivi nikikuambia huelewi???🤔, Una taka kuniudhi😪Saa moja
Hii ID Intelligent businessman haitendewi haki
ID imekaa kiumakini kinyama ila tabu ipo kwa anayeimiliki...nyuzi za hii ID ni bure kabisa
Sasa niwe nakula saa ngapi jamani😞Hivi nikikuambia huelewi???🤔, Una taka kuniudhi😪
pika aisee😂 jobless ukila nje utafilisikaNdo napika hapa mzee😂😂😂
AiseeeUnampigaje mtu sound;
Haujawahi kumuona,
Sura yake hauijui,
Sauti yake haijui,
Jina lake haulijui,
Kwake haupajui,
Jinsia yake hauijui
Tabia yake hauijui,
Hata ndugu zake hauwajui,
Huko PM unamuambiaje?? Nakupenda?? haya unampendea nini?
Anakukataa, unaumia?? Haya Unaumia kwa kukosa nini?
Hii zaidi ya kubeti kwa kweli,