Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
kugharamika sana alafu unaambulia hugs tu, tena usiombe ajue unamuelewa ndio gharama zinazidiKwanini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kugharamika sana alafu unaambulia hugs tu, tena usiombe ajue unamuelewa ndio gharama zinazidiKwanini
Dah mpaka nilihisi kuumwa🤣😂, nikaanza English training 🤣😂Sijawahi kukuangusha😂
Play smart mkuu, mtu akikuweka kwenye urafiki mfanye rafiki, don't force!sema friends zone kuna muda ni mbaya sana mwanaume unamenyeka sana
Lete hints ili kuwaje??Online sijawahi jaribu iwe insta, fb au jf
Offline: heka heka zilikuwa nyingi sana
Enhee ili uwe una Lia kwa machungu😂Play smart mkuu, mtu akikuweka kwenye urafiki mfanye rafiki, don't force!
Nakubaliana nawe, friend zone na utumwa hamna tofauti.kugharamika sana alafu unaambulia hugs tu, tena usiombe ajue unamuelewa ndio gharama zinazidi
Sio lazima uingilie mlangoninimeyaribu kuya mara moya nimekutana na kofuli
mwishowe ni nini?Play smart mkuu, mtu akikuweka kwenye urafiki mfanye rafiki, don't force!
basi nakuja
kuna mda unaona kabisa unatumika, unakaa huna hili wala lile inaingia text au apiga anasema rafiki nmemiss hiki mara twende kule na kwakuwa una interest nae unamsikiliza na kutimiza.Nakubaliana nawe, friend zone na utumwa hamna tofauti.
Mwishowe ni marafiki mkuu, au wewe ulitaka mwisho wake uwe nini?mwishowe ni nini?
lengo litimie mkuuMwishowe ni marafiki mkuu, au wewe ulitaka mwisho wake uwe nini?
Lete hints ili kuwaje??
We zijaze tu🤣😂😂, huenda uta punguza Maumivu 🤣😂Offline zipo nyingi sana za kukataliwa, za kukubaliwa
Za kukubaliwa then nikanyimwa utamu
Za kukataliwa then nikawa blessed utamu
Za kukubaliwa na kupewa utamu
Za kukataliwa na kukataliwa jumla jumla
Offline na mengi sana ntajaza server bureeee
Karibu chai😂Dah mpaka nilihisi kuumwa🤣😂, nikaanza English training 🤣😂
Mi nakula ugali😁😁Karibu chai😂