Uponye moyo. Hivi ni nani aliwahi kukukataa humu JF?

Uponye moyo. Hivi ni nani aliwahi kukukataa humu JF?

Offline zipo nyingi sana za kukataliwa, za kukubaliwa

Za kukubaliwa then nikanyimwa utamu
Za kukataliwa then nikawa blessed utamu
Za kukubaliwa na kupewa utamu
Za kukataliwa na kukataliwa jumla jumla

Offline na mengi sana ntajaza server bureeee
We zijaze tu🤣😂😂, huenda uta punguza Maumivu 🤣😂
 
Back
Top Bottom