jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Kwahiyo wewe ni mzungu thioKama wanaijeria Yani..
[emoji23][emoji23]Mimi Sina jina la asili Bibi zangu wanayo ya asili na kizungu lakini bado wanaitwa hayo ya kizungu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe ni mzungu thioKama wanaijeria Yani..
[emoji23][emoji23]Mimi Sina jina la asili Bibi zangu wanayo ya asili na kizungu lakini bado wanaitwa hayo ya kizungu..
😂😂 Naelekea elekea kwenye udhunguKwahiyo wewe ni mzungu thio
Hilo jina la Kati😀Kuna haja kama taifa kuliangalia hili swala kwa ssa mpaka mtu ataje mpaka jina la 3 ndipo utagundua ni mtu wa sehemu gani mfano mimi ...NOEL ANTHONY KIMWERY kupitia jina langu la 3 ndipo utagundua ...aaahh kumbe [emoji12]
Jpili nlikuona mahali any way tuyache hayo[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23] Naelekea elekea kwenye udhungu
😂😂Wacha ulongo..Bora tuyaache maana jpili siku nzima nilikua ndani..Jpili nlikuona mahali any way tuyache hayo[emoji12][emoji12]
Sio lazima umuite mwanao Kinjekitile, kuna majina mengi Sana ya kiasili kwenye kabila ulilotokea na yenye maana nzuri Sana. Tafuta jina zuri lenye maana nzuri, ukiwa mtu wa kutamani hivyo utayapata tu majina mazuri.
Mzigo wa nini vile.... sauti naona ipo chini [emoji12][emoji12]Mzigowapumbu Msulupwete
Kwahiyo hayo majina ya wazungu wenye nayo wapo hawajafa si ndio? Hawakuwahi kugombana na koo zao si ndio? Walikuwa wako karibu sana na familia zao si ndio?Tunaogopa kuwapa watoto majina ya asili kwa sababu wenye majina hawapo, wamekufa wengine tushagombana n koo z afamilia kwa kushikana uchawi, wengine tangu tuondoke uko vijijini tangu tuondoke hatujarudi tunaogopa kulogwa sasa nani atawafanyia mambo ya asili endapo jambo likitokea usicheze na mambo ya asili kama ujui utajuta
Mnasema watoto wenu hawana akili darasani, mabinti mnalalamika hamzai wengine hamuolewi unazani shida inaanzia wapi shida ni hayo majina hayo mtoto unamwita kinjekitile, mkwawa, kashindye ujui mila na matambiko
mwanaume mtongozaju akiniita kwa jina hilo nakuwa makini kumsikiliza, nalegea sana pia nikiitwa hivyo na mwanaume wangu,
Kila mtu anacho chenye thamani na Mimi Ni Hilo jina, una lingine?Acha kulegea kizembe mkuu,, Jina tu unalegea
Umepotea, labda ungeniambia majina ya kurithi ningekuelewa,Mambo mengi ya asili yanaendana na uchawi.Majina ya asili yapo connected na mizimu na matambiko. Mizimu na matambiko ndo chanzo jinsi waafrika tulivyo, matatizo, umasikini, magonjwa chanzo ni mizimu. Mizimu haitaki maendeleo, hofu watu wakiwa na maendeleo wataelimika wataacha kutambika mizimu.
KILA jina la asili linamaana yake kirohoUmepotea, labda ungeniambia majina ya kurithi ningekuelewa,
Hata hayo ya kizungu yana maana zake mkuuKILA jina la asili linamaana yake kiroho
Wazungu hawana mambo ya mizimu na walliua wachawi wote thus majina hayana madhara kwaoHata hayo ya kizungu yana maana zake mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazungu hawana mambo ya mizimu na walliua wachawi wote thus majina hayana madhara kwao