Upotoshaji mkubwa kuhusu udakaji wa penati wa jana wa Ally Salim, naleta uthibitisho

Upotoshaji mkubwa kuhusu udakaji wa penati wa jana wa Ally Salim, naleta uthibitisho

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kutokana na shutuma ambazo zimekuwa zinasambaa kuhusu udakaji wa penati wa jana wa Ally Salim, nimefanya uchunguzi binafsi kuangalia ukweli kuhusu tuhuma hizi na nimejiaminisha kuwa penati alizodaka na hata ile ambayo Aziz Ki alifunga, at least mguu mmoja wa Ally Salim bado ulikuwa umekanyaga mstari wakati mpira unapigwa. Nawaletea na uthibitisho wa picha wa penati hizo.

Penati ya kwanza ya Aziz Ki
Screen Shot 2023-08-14 at 2.15.10 PM.png

Screen Shot 2023-08-14 at 2.16.31 PM.png


Penati ya pili ya Aucho
Screen Shot 2023-08-14 at 2.18.10 PM.png


Penati ya nne ya Yao

Screen Shot 2023-08-14 at 2.23.58 PM.png

Screen Shot 2023-08-14 at 2.38.20 PM.png


Screen Shot 2023-08-14 at 2.24.50 PM.png


Tusitafute kichaka cha kutokea, tumpeni maua yake huyu dogo.
 

Attachments

  • Screen Shot 2023-08-14 at 2.22.29 PM.png
    Screen Shot 2023-08-14 at 2.22.29 PM.png
    150.7 KB · Views: 1
Unapata tabu ya nn kuwaelezea watu. Takwimu zinaonesha lwamba ssc ni bingwa wa ngao ya hisani msimu huu. Kwishey
Na pia rekodi zinaonyesha Simba inaongoza kuwa na makipa bora, wakali wa kuficha penati, tangu enzi za (au hata kabla ya) Idi Pazi, Athumani Mambosasa, Moses Mkandawile, Mohammed Mwameja, Juma Kaseja, Aishi Manura, na sasa dogo anayesumbua mjini Ally Salim.
 
Kutokana na shutuma ambazo zimekuwa zinasambaa kuhusu udakaji wa penati wa jana wa Ally Salim, nimefanya uchunguzi binafsi kuangalia ukweli kuhusu tuhuma hizi na nimejiaminisha kuwa penati alizodaka na hata ile ambayo Aziz Ki alifunga, at least mguu mmoja wa Ally Salim bado ulikuwa umekanyaga mstari wakati mpira unapigwa. Nawaletea na u
View attachment 2717137

View attachment 2717132

Tusitafute kichaka cha kutokea, tumpeni maua yake huyu dogo.
Ni kazi bure...Hujaleta uthibitisho wowote hapo....Ila kila mtu aliona kilichotokea, na hata lile goli linalodaiwa kuwa off-side lilivofunga. lakini yote kwa yote ndiyo yameshatokea...
tugange yajayo
 
Ni kazi bure...Hujaleta uthibitisho wowote hapo....Ila kila mtu aliona kilichotokea, na hata lile goli linalodaiwa kuwa off-side lilivofunga. lakini yote kwa yote ndiyo yameshatokea...
tugange yajayo
Unatumia hisia na macho wakati nimekuletea uthibitisho usio na shaka wa picha mnato? Na goli la offside lipi hilo, hili la Moloko?

Screen Shot 2023-08-14 at 4.01.34 PM.png
 
sio hili ni lile la pili leta uthibitisho
Bahati mbaya Azam hawakutoa replay za angle ya pembeni kwa hiyo ni ngumu kuona ingawa Mzize anaweza kuwa amechomoza kumzidi Kennedy kwa kama hatua moja. Ni zile offside ambazo ziko tight sana

Screen Shot 2023-08-14 at 5.14.35 PM.png
 
Bahati mbaya Azam hawakutoa replay za angle ya pembeni kwa hiyo ni ngumu kuona ingawa Mzize anaweza kuwa amechomoza kumzidi Kennedy kwa kama hatua moja. Ni zile offside ambazo ziko tight sana

View attachment 2717242
hahahahaha ko hud
Bahati mbaya Azam hawakutoa replay za angle ya pembeni kwa hiyo ni ngumu kuona ingawa Mzize anaweza kuwa amechomoza kumzidi Kennedy kwa kama hatua moja. Ni zile offside ambazo ziko tight sana

View attachment 2717242
ko hapa kaotea na huu ni uthibitisho
 
Back
Top Bottom