zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Hapa mpira ulikuwa haujapigwa mkuu usitudanganyeKuhusu goli la Singida, nalo naliweka kama kifungashio kwa wale wanaodai ni goli halali
View attachment 2717263
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mpira ulikuwa haujapigwa mkuu usitudanganyeKuhusu goli la Singida, nalo naliweka kama kifungashio kwa wale wanaodai ni goli halali
View attachment 2717263
Tatizo mnapenda kubishana tu. Angalia vizuri hapo mpira umeshatoka mguuni mwa mchezaji wa Singida unampita mchezaji wa Simba aliyeinua mguu.hapa mpira ulikuwa haujapigwa mkuu usitudanganye
Shabiki mandazi wewe.Ni kazi bure...Hujaleta uthibitisho wowote hapo....Ila kila mtu aliona kilichotokea, na hata lile goli linalodaiwa kuwa off-side lilivofunga. lakini yote kwa yote ndiyo yameshatokea...
tugange yajayo
omar mahadhi bin jabbir, steven nemes, issa manofuNa pia rekodi zinaonyesha Simba inaongoza kuwa na makipa bora, wakali wa kuficha penati, tangu enzi za (au hata kabla ya) Idi Pazi, Athumani Mambosasa, Moses Mkandawile, Mohammed Mwameja, Juma Kaseja, Aishi Manura, na sasa dogo anayesumbua mjini Ally Salim.
Penalty ya kwanza kipa katoka mapema hawajalalamika, ya pili, ya tatu.... Bench zima la ufundi na wachezaji wanaangalia tu.Ni kazi bure...Hujaleta uthibitisho wowote hapo....Ila kila mtu aliona kilichotokea, na hata lile goli linalodaiwa kuwa off-side lilivofunga. lakini yote kwa yote ndiyo yameshatokea...
tugange yajayo
Ukiangalia picha yako ya pili ambayo imechukuliwa kwa camera nyingine utaona kipa yupo nje ya mstari. Nakuongezea na picha nyingine iliyochukuliwa kwa angle ya namna hiyo. Japo siwezi kusema kuwa sababu ya kukosa penati ni kipa kutokea ila sheria za upigaji penati haukuzingatiwaKutokana na shutuma ambazo zimekuwa zinasambaa kuhusu udakaji wa penati wa jana wa Ally Salim, nimefanya uchunguzi binafsi kuangalia ukweli kuhusu tuhuma hizi na nimejiaminisha kuwa penati alizodaka na hata ile ambayo Aziz Ki alifunga, at least mguu mmoja wa Ally Salim bado ulikuwa umekanyaga mstari wakati mpira unapigwa. Nawaletea na uthibitisho wa picha wa penati hizo.
Penati ya kwanza ya Aziz Ki
View attachment 2717128
View attachment 2717129
Penati ya pili ya Aucho
View attachment 2717130
Penati ya nne ya Yao
View attachment 2717131
View attachment 2717137
View attachment 2717132
Tusitafute kichaka cha kutokea, tumpeni maua yake huyu dogo.
Mlikuwa mnadai penati zote alitoka kwenye mstari, sasa hivi mnaanza kuchagua. Picha mbili za kwanza nilizoweka ni za Aziz Ki, ukiangalia mguu wa kushoto wa Salim uko kwenye mstari. Hiyo uliyoweka wewe ni ya Pacome, tena huyo Pacome ndiyo alimnyooshea kidole kabisa anapoipeleka, sijui ndiyo alitaka kumpoteza kipa au vipi.Ukiangalia picha yako ya pili ambayo imechukuliwa kwa camera nyingine utaona kipa yupo nje ya mstari. Nakuongezea na picha nyingine iliyochukuliwa kwa angle ya namna hiyo. Japo siwezi kusema kuwa sababu ya kukosa penati ni kipa kutokea ila sheria za upigaji penati haukuzingatiwa
Mpe pole tu.Unapata tabu ya nn kuwaelezea watu. Takwimu zinaonesha lwamba ssc ni bingwa wa ngao ya hisani msimu huu. Kwishey
Mwacheni apooze machungu jamani, ngao ndiyo ipo Msimbazi.Wanataka kipa akae golini kama goigoi au aruke mpira ukishaingia wavuni
Huwa nasema Yanga wana nguvu kubwa kwenye masuala ya propaganda wakiwa na jambo lao, kila mtu ataliamini hata kama ni uongo. Haya maneno watasema msimu mzima, na hata ukiwaletea uthibitisho unaopingana na kile wanachosema, wataupuuza kama wanavyofanya hapa. Yaani nawasikia wachambuzi nao wanasema goli la Singida ni halali wakati marudio tu ya Youtube yanakuonyesha ile ni offside, unajiuliza wameangalia kweli marudio kama wanavyodai au wana ajenda zao?Sawa vzur,sitaendeleza kubwabwaja maana ushahid upo waz
Picha nilizoweka ni wakati mpira unapigwa na ndiyo hapo inabidi tumhukumu Salim kama hakuwa na mguu kwenye mstari au la. Nimeweka hizo offsides mnazodai ni magoli halali, nimeweka na hizo penati, siwalazimishi kukubali ila ukweli unajidhihirishaKaangalie tena vizuri weka ushabiki pembeni. Sio una tukeletea picha mtu Yuko kwenye move una capture your point of interest
Nani kafungwa na Simba!?.. simba Hana goli hata mojaSimba akifungwa husikii kelele ila hawa jamaa wakifungwa wanaanza lawama subiria wakose league uone watakavyokuwa na malalamishi.
Akikujibu hii,nishtueUkiangalia picha yako ya pili ambayo imechukuliwa kwa camera nyingine utaona kipa yupo nje ya mstari. Nakuongezea na picha nyingine iliyochukuliwa kwa angle ya namna hiyo. Japo siwezi kusema kuwa sababu ya kukosa penati ni kipa kutokea ila sheria za upigaji penati haukuzingatiwa