Kwahio implication / adhabu ni kumfungia daktari na ikibidi kufungia na hospitali husika ?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.
Wizara ta afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Hiyo hela wanaosomeshwa chuo si wanalipa?? Kwani wanasomeshwa bure??
Tatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!Hebu ficha uzoba bwashee
Kuna kauli nyingine inabidi kujitoa ufahamu na kujifanya chizi ili kuzitetea.Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.
Wizara ta afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Tatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Katibu umemsahau??Tatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Yule mtaalamu wa Nusu Kaputi!!Katibu umemsahau??
Mashinji ni daktari kama Manyaunyau au Ngwizikululu Jilala!!?Tatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Bada ya usajili mbona hata huyo na wengine mnataka waishi kama shetani.Tatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Pumbavu kabisa, hiyo umeipata katika sheria au kanuni gani?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.
Wizara ta afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Nimeongelea wanaopata secondment, kama umejisomesha huna mkataba na mtu.Ila kuu sio wote wamesoma masters under gov sponsorship
Ipandishe hapa,hatutaki maneno matupuKuna sheria ipo kuhusu hilo
huyohuyoYule mtaalamu wa Nusu Kaputi!!
Kwanini mnawapingia?Hiyo hela wanaosomeshwa chuo si wanalipa?? Kwani wanasomeshwa bure??
NashangaaKwanini mnawapingia?
Huyo wa Tabora amejisomesha?Nimeongelea wanaopata secondment, kama umejisomesha huna mkataba na mtu.