Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Naunga mkono hoja,

Yaan hapa nchini wataalamu wote wanependa kujimilikisha majukum kwa ajil ya ulaji, Japo wafasia wamezidi

Hata MD na Co kuna majukum mmekua mkiyaingilia na SI kaz zenu kisheria,, MD wamekua wakijimilikisha kila kitu Cha afya wao ndio wahusika waku,

Tafadhal naomb wataalamu tukae chini tugawe migawanyo ya KAZI kwa kila kada ya afya, kwani nishakuta MD na CO wanapima wagonjwa vipimo yinavyopaswa kupimwa na Lab technician, Baraza la madaktari msijimilikishe kila kitu vingine hamvijuii,

MD Mnanga'nga'ana na mashirika na mnaunganishana humo so msilalamike mfamasia nae akiingilia kaz amboyo si yake mana kila mtanzania hata awe msomi vp anachoangalia yeye ni pesa inaingia,

Mwsho niseme kila mmoja ajue majukum yake Ili kuifikisha sectar ya afya mbali na ikubalike kijamii
MDs wapumbavu sana time for slavery is over
 
P
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Prof ni wahuni tu waliokujibu, upo sawa kabisa Waziri fuata ushauri huu itakusaidia,
 
Mtoa mada yupo kwa ajili ya kuongea mambo ambayo hayajui..
Nani kakwambia mfamasia haruhusiwi kufanya drug administration?
Nenda nchi za Uganda / SA hata nje la bara letu..
Nani kakwambia Mfamasia hajui diagnosis..?
Ndio maana unaweza ukakutana na kituko cha daktari wa watoto wanaandika dose za ajabu kwa watoto na kuleta uharibifu kwenye figo.. Wao ni kuandika tuu dawa mchanganyiko zisizo endana..
Hivi wewe unajiita prof sijui kokoto..
Unaweza kumuandikia mtoto mchanga IV Gentamycin 80mg ...? Tena masiku ya kutosha?
Hao ni madaktari tena specialist?
Hivi hamuoni mnaaribu figo za watoto?
Mnakazana kuzunguka nchi nzima / Wizara ya Afya mnasema hakuna Malaria...
Juzi hapa Mtoto kaletwa Muhimbili kutoka Temeke Hospital na ambulance.. Just mnakazana na kusema hii sio malaria.. Ni degedege...
Hivi nyie mnataka kuuwa watu?
Mtoto temp ipo 38 haishuki.. Akila anatapika.. Anatetemeka.. Mnakazana na Carbamazepine na Paracetamol kisha mnamwambia mama yake akatafute huko nje dawa ya kuzuia kutapika...
Mnakimbilia kupima mRDT badala ya field stain kuprove parasite wa malaria...
...mRDT haiwezi kuonyesha malaria.. Na ikionyesha hiyo ni severe tena inaweza ikawa cerebral malaria. ...
Wewe prof.... Waambie wenzako.. Mtakuja kuendelea kuuwa watu kwa poor management.... Na kujidai nyie mnajua mambo wakati.. Au basi
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Profesa upo sahihi Kabisa.

Endelea kupaza sauti
 
Professor nchi zingine wanafanyaje? eg Marekani, U.k n.k?
Tatizo la Tanzania linakwenda deep na ni very complicated! Huu mgangano umetokea kwa sababu ya hali mbaya ya uchumi kwa madaktari na mafamasia. Ni kwamba daktari kazi yake tu haiwezi kukidhi mahitaji yake ya maisha. Na mfamasia hivyo hivyo. Matokeo yake wanagongana kwenye kutafuta namna ya kutosheleza kipato. Chanzo cha haya ni nini? Uongozi wa nchi mbovu! Listen, suala la mfumo mbovu wa uongozi wa nchi yetu lina athari nyingi sana katika maisha yetu. Hata wafanye nini kujaribu kurekebisha, ukweli ni kwamba bila ku-deal na kiini cha tatizo i.e. mfumo na uongozi mbovu, ni bure.
 
Ujinga mtupu umeandika.


Wewe badala ya kujikita katika hoja, unatanguliza porojo ??.

Yaan Mtu kafanya, MD, MMED, alafu unainua pua yako , Et 'Hawana interaction na wagonjwa ?".


Hilo Bichwa lako, kafugie minyoo .
Anatomy
 
Naunga mkono hoja,

Yaan hapa nchini wataalamu wote wanependa kujimilikisha majukum kwa ajil ya ulaji, Japo wafasia wamezidi

Hata MD na Co kuna majukum mmekua mkiyaingilia na SI kaz zenu kisheria,, MD wamekua wakijimilikisha kila kitu Cha afya wao ndio wahusika waku,

Tafadhal naomb wataalamu tukae chini tugawe migawanyo ya KAZI kwa kila kada ya afya, kwani nishakuta MD na CO wanapima wagonjwa vipimo yinavyopaswa kupimwa na Lab technician, Baraza la madaktari msijimilikishe kila kitu vingine hamvijuii,

MD Mnanga'nga'ana na mashirika na mnaunganishana humo so msilalamike mfamasia nae akiingilia kaz amboyo si yake mana kila mtanzania hata awe msomi vp anachoangalia yeye ni pesa inaingia,

Mwsho niseme kila mmoja ajue majukum yake Ili kuifikisha sectar ya afya mbali na ikubalike kijamii

Sasa Kama MD alisoma kozi ya Microbialogy na namna ya kutumia Vifaa Kama Microscope ulitaka asiangalie vipimo Kama kuna uhaba wa lab Technician?

Unafikiri miaka mitano wanasomea vitu gani?
Yaan wasome vitu vingi Kwa miaka mingi alafu wasitumie maarifa waliyoyapotezea muda na pesa kisa kuna watu wengine wanaingiliana majukumu.

Muhimu; Tanzania kwenye sekta ya Afya bado kuna uhaba WA watenda kazi, kugawana majukumu ingefaa watendakazi wakishakuwa wengi
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. [emoji116][emoji116]

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Huyu Jamaa atakuwa ni Daktari wa Mchongo na niabu kuwa na wasomi kama hawa na anachopigana nacho ni kitu ambacho hakiwezi kuja kutokea, sio kwa Tanzania tu, duniani kote.

Daktari anajua Dawa au anakariri Dawa ya kutibu ugonjwa?

Yaani nesi ndio atoe Dawa ? Huyu jamaa ipo shida kwenye akili yake. Usimamizi wa dawa duniani kote ni Mfamasia, mpaka kwenye Pharmacy na kuna nchi za watu Pharmacy inasomwa na Magenius, kama Mfamasia anaweza aka omit hicho kilichoandikwa kwenye cheti cha mgonjwa na kumshauri huyo unayemuita Dr dawa sahihi ya kumpatia mgonjwa.

Shida kubwa ya huyu Dr wa mchongo hajui majukumu ya Pharmacist ; Hivyo aelimishwe.

Ikija prescription kwanza inatakiwa ikaguliwe na pharmacist ndio iende despensing bay , Kama Pharmacist hajaridhika.... inarudi kwa huyo Dr with recommendations nini cha kuandika au kufanya....,dawa sio maembe kwamba utatoa kama roboti.

Ni aibu kubwa Dr kama huyu kuandika kitu kama hichi. Yaani katika maisha yake yote hajawahi kujua majukumu ya Pharmacist , Nesi na Dr .... ni aibu sana .Hawa ndio wanaoua wagonjwa maospitalini kwa kukosa weledi.

Hakuna Dr au Nesi anaejua dawa zaidi ya famasia; famasia anaanza kukutengenezea wewe Dr dawa na kukuwekea magonjwa yatakayotibu na kuja kukuelekeza namna ya kutumia.... Wewe kazi yako ni final .... baada ya kujua mgonjwa anaumwa nini , chungulia dawa ya kumpa na wafamasia ndio wanaweka miongozo na dose za hizo dawa kuanzia tangu kiwandani. Yaani ni aibu kusoma andiko la huyu Dr wa mchongo.

Addo ni upuuzi , na haya mambo ya ADDO huyakuti kwenye developed country. Matumizi ya hovyo ya Dawa bila ya Ushauri wa famasia ikiwemo na hizo Addo yamesababisha nchi yetu kuwa na wagonjwa wengi mno wa figo, ini na kansa.

Kama ulikuwa hujui, ajali zinazotokea kwenye matumizi ya Dawa kwa Tanzania kwa kukosa ushauri wa famasia ni nyingi kuliko ajali za barabarani.


Kama unadhani kwamba mfamasia kazi yake ni kutoa dawa kwa mujibu wa cheti Kama vile unatoa biskuti, unatakiwa kurudi shule upya maana hujaelewa majukumu yako ya msingi na hii ndio tatizo la kuongezeka vyuo vya afya vingi ambavyo havina vigezo na vipo kibiashara matokeo yake ni kuzalisha jamii ya huyu dokta wa mchongo
 
Mambo mawili ni hakika kuhusu wewe..

1. Una maslahi binafsi na ADDO(Mnufaika au mmiliki)

2. Una chuki binafsi na Wafamasia(unaona wanafaidi saaana)

ADDO ndio ishafutwa hivyo.. kama daktari naye anataka aingie biashara ya dawa basi aende shule ya Famasi..

View attachment 2230163
Unachekesha sana.yani daktari aende kusoma addo? Hahahaa!! Siku moja nilimfelisha interview mtu mmoja kwa kishindwa kujibu swali langu.Tena hawa wauza madawa wanaumiza watanzania kwa kutoa wrong dose kwa wateja wao.eg : azithromycin kwa magonjwa ya kawaida ni only for three days!! Siku mmoja nilibishana na hawa wanaojiita dispensors bila kujua kuwa Mimi ni daktari
 
Muwe mnajitahidi kuficha ujinga wenu.


Kwa Maisha ya Watanzania walio wengi, ambao huishia kujitibia wenyewe Kwa kwenda kununua sawa bila kujua wanachoumwa.


Kumtoa Daktari , na kumwacha Mfamasia ,ni UJINGA ULIOPITILIZA.


Mimi hapa Kila siku lazima nipate SIMU za wafamasia wakinipa maelezo ya wateja wao na wakihitaji kujua Nidawa gani wawepe.


Mfamasia anajua Dawa, lkn Daktari anajua ni Dawa gan amwambie Mfamasia ampe Mgonjwa .
 
Professor kama upo serious anza na ushauri wa katiba mpya maana hii nchi imeoza sababu ya mifumo mibov

Sasa Kama MD alisoma kozi ya Microbialogy na namna ya kutumia Vifaa Kama Microscope ulitaka asiangalie vipimo Kama kuna uhaba wa lab Technician?

Unafikiri miaka mitano wanasomea vitu gani?
Yaan wasome vitu vingi Kwa miaka mingi alafu wasitumie maarifa waliyoyapotezea muda na pesa kisa kuna watu wengine wanaingiliana majukumu.

Muhimu; Tanzania kwenye sekta ya Afya bado kuna uhaba WA watenda kazi, kugawana majukumu ingefaa watendakazi wakishakuwa wengi
Wapo wengi mno wataalamu lakini MD wamekua wakiona kua wao ni muhim sana na wanaweza kila jambo.

KIKUBWA kaz zigawanywe kwa kila mwenye mamlaka husika na sio kujitoa ubeparii kwenye sector hii

Watu wa afya ttzo kubwa hatuelewani kabisaa,

Imani yangu wataalamu ni wengi ila ubepari ni mkubwa sana.
 
Wapo wengi mno wataalamu lakini MD wamekua wakiona kua wao ni muhim sana na wanaweza kila jambo.

KIKUBWA kaz zigawanywe kwa kila mwenye mamlaka husika na sio kujitoa ubeparii kwenye sector hii

Watu wa afya ttzo kubwa hatuelewani kabisaa,

Imani yangu wataalamu ni wengi ila ubepari ni mkubwa sana.

Tatizo Lenu watu wa Afya ni kujiona Bora mkidhani mnaakili kuliko Kada zingine kumbe sio kweli.

Siku zote watu wanaojiona Bora na wabaguzi hubaguana wao Kwa wao.

MD anamdharao CO
MD anamdhaeau Nesi
CO anamdharau Nesi
MD anamdharau Mfamasia

Kusoma yote sio kufanya majukumu yote,

Wanabaguana Kwa sababu ya akili ndogo ya kutotambua kila mmoja ananafasi yake
 
Mtoa mada yupo kwa ajili ya kuongea mambo ambayo hayajui..
Nani kakwambia mfamasia haruhusiwi kufanya drug administration?
Nenda nchi za Uganda / SA hata nje la bara letu..
Nani kakwambia Mfamasia hajui diagnosis..?
Ndio maana unaweza ukakutana na kituko cha daktari wa watoto wanaandika dose za ajabu kwa watoto na kuleta uharibifu kwenye figo.. Wao ni kuandika tuu dawa mchanganyiko zisizo endana..
Hivi wewe unajiita prof sijui kokoto..
Unaweza kumuandikia mtoto mchanga IV Gentamycin 80mg ...? Tena masiku ya kutosha?
Hao ni madaktari tena specialist?
Hivi hamuoni mnaaribu figo za watoto?
Mnakazana kuzunguka nchi nzima / Wizara ya Afya mnasema hakuna Malaria...
Juzi hapa Mtoto kaletwa Muhimbili kutoka Temeke Hospital na ambulance.. Just mnakazana na kusema hii sio malaria.. Ni degedege...
Hivi nyie mnataka kuuwa watu?
Mtoto temp ipo 38 haishuki.. Akila anatapika.. Anatetemeka.. Mnakazana na Carbamazepine na Paracetamol kisha mnamwambia mama yake akatafute huko nje dawa ya kuzuia kutapika...
Mnakimbilia kupima mRDT badala ya field stain kuprove parasite wa malaria...
...mRDT haiwezi kuonyesha malaria.. Na ikionyesha hiyo ni severe tena inaweza ikawa cerebral malaria. ...
Wewe prof.... Waambie wenzako.. Mtakuja kuendelea kuuwa watu kwa poor management.... Na kujidai nyie mnajua mambo wakati.. Au basi
Mkishakuaga na na vielimu uchwara ,mnavimba sana.


Sasa hiyo IV Gentamicin 80mg, na Mtoa mada wapi na wapi???.


Ulivyo Mpuuzi,Et 'Tena specialist ?!!.


KIHALISIA, KATIKA AFYA, DAKTARI ni Mfamasia, ni mtu wa Labo .


DAKTARI HAMHITAJI MFAMASIA...MFAMASIA LAZIMA AMUHITAJI DAKTARI.
 
Huyu Jamaa atakuwa ni Daktari wa Mchongo na niabu kuwa na wasomi kama hawa na anachopigana nacho ni kitu ambacho hakiwezi kuja kutokea, sio kwa Tanzania tu, duniani kote.

Daktari anajua Dawa au anakariri Dawa ya kutibu ugonjwa?

Yaani nesi ndio atoe Dawa ? Huyu jamaa ipo shida kwenye akili yake. Usimamizi wa dawa duniani kote ni Mfamasia, mpaka kwenye Pharmacy na kuna nchi za watu Pharmacy inasomwa na Magenius, kama Mfamasia anaweza aka omit hicho kilichoandikwa kwenye cheti cha mgonjwa na kumshauri huyo unayemuita Dr dawa sahihi ya kumpatia mgonjwa.

Shida kubwa ya huyu Dr wa mchongo hajui majukumu ya Pharmacist ; Hivyo aelimishwe.

Ikija prescription kwanza inatakiwa ikaguliwe na pharmacist ndio iende despensing bay , Kama Pharmacist hajaridhika.... inarudi kwa huyo Dr with recommendations nini cha kuandika au kufanya....,dawa sio maembe kwamba utatoa kama roboti.

Ni aibu kubwa Dr kama huyu kuandika kitu kama hichi. Yaani katika maisha yake yote hajawahi kujua majukumu ya Pharmacist , Nesi na Dr .... ni aibu sana .Hawa ndio wanaoua wagonjwa maospitalini kwa kukosa weledi.

Hakuna Dr au Nesi anaejua dawa zaidi ya famasia; famasia anaanza kukutengenezea wewe Dr dawa na kukuwekea magonjwa yatakayotibu na kuja kukuelekeza namna ya kutumia.... Wewe kazi yako ni final .... baada ya kujua mgonjwa anaumwa nini , chungulia dawa ya kumpa na wafamasia ndio wanaweka miongozo na dose za hizo dawa kuanzia tangu kiwandani. Yaani ni aibu kusoma andiko la huyu Dr wa mchongo.

Addo ni upuuzi , na haya mambo ya ADDO huyakuti kwenye developed country. Matumizi ya hovyo ya Dawa bila ya Ushauri wa famasia ikiwemo na hizo Addo yamesababisha nchi yetu kuwa na wagonjwa wengi mno wa figo, ini na kansa.

Kama ulikuwa hujui, ajali zinazotokea kwenye matumizi ya Dawa kwa Tanzania kwa kukosa ushauri wa famasia ni nyingi kuliko ajali za barabarani.


Kama unadhani kwamba mfamasia kazi yake ni kutoa dawa kwa mujibu wa cheti Kama vile unatoa biskuti, unatakiwa kurudi shule upya maana hujaelewa majukumu yako ya msingi na hii ndio tatizo la kuongezeka vyuo vya afya vingi ambavyo havina vigezo na vipo kibiashara matokeo yake ni kuzalisha jamii ya huyu dokta wa mchongo
Nafikiri wewe ndiye huna akili kabisaaa.yani mfalmacia atoe dawa kwa mgonjwa? How? Amesomea wapi anatomy? My dear friend ,dawa siyo maharage aisee!! lini mfamacia amesomea ABCD ? Yani airway, breathing, circulation and drug! Unaweza kutoa dawa kwa mgonjwa akakuzimikia !sasa unajua utamsaidiaje? Nurse na dakatari wanajua namna ya kumsaidia mgonjwa after any side effect from the admistered drug!! Addo na mfamacia wanavijulia wapi? Kitu ambacho daktari hawezi ni kutengeneza dawa na siyo kutoa dawa!! Full stop.so daktari haitaji kusoma Ado au au full pharmacy. Madakatari na manesi wanasoma pharmacology
 
Mtoa mada yupo kwa ajili ya kuongea mambo ambayo hayajui..
Nani kakwambia mfamasia haruhusiwi kufanya drug administration?
Nenda nchi za Uganda / SA hata nje la bara letu..
Nani kakwambia Mfamasia hajui diagnosis..?
Ndio maana unaweza ukakutana na kituko cha daktari wa watoto wanaandika dose za ajabu kwa watoto na kuleta uharibifu kwenye figo.. Wao ni kuandika tuu dawa mchanganyiko zisizo endana..
Hivi wewe unajiita prof sijui kokoto..
Unaweza kumuandikia mtoto mchanga IV Gentamycin 80mg ...? Tena masiku ya kutosha?
Hao ni madaktari tena specialist?
Hivi hamuoni mnaaribu figo za watoto?
Mnakazana kuzunguka nchi nzima / Wizara ya Afya mnasema hakuna Malaria...
Juzi hapa Mtoto kaletwa Muhimbili kutoka Temeke Hospital na ambulance.. Just mnakazana na kusema hii sio malaria.. Ni degedege...
Hivi nyie mnataka kuuwa watu?
Mtoto temp ipo 38 haishuki.. Akila anatapika.. Anatetemeka.. Mnakazana na Carbamazepine na Paracetamol kisha mnamwambia mama yake akatafute huko nje dawa ya kuzuia kutapika...
Mnakimbilia kupima mRDT badala ya field stain kuprove parasite wa malaria...
...mRDT haiwezi kuonyesha malaria.. Na ikionyesha hiyo ni severe tena inaweza ikawa cerebral malaria. ...
Wewe prof.... Waambie wenzako.. Mtakuja kuendelea kuuwa watu kwa poor management.... Na kujidai nyie mnajua mambo wakati.. Au basi
Broo Hawa Baraza la madaktari wajitathmini sana , hawaheshimu kaz za wenzao wengine HASa wafamasia .
 
MAJIBU KWA MTU ANAYEJIITA JOSHUA GUYAHAMBI ANAVYOPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA KUHUSU ADDO NA USIMAMIZI WA MADUKA YA DAWA NCHINI

Na Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)

Wasalaam!

Kwa kawaida hua sipendi kabisa kujibishana na wajinga wachache wanaopotosha umma ima kwa makusudi ili kukidhi tamaa na haja zake binafsi au kikundi fulani au ni ujinga unaotokana na yeye kutoelewa kwa sababu huenda hajui chochote au kuna tatizo mahali.

Kwanza amejiita Darasa la saba B, hii inadhihirisha ni jinsi gani alivyo na uelewa finyu kuhuhusu kozi ya famasia na utabibu au Uuguzi pamoja na huduma ya utoaji dawa nchini. Huwezi kua Darasa la saba halafu ukapata Moral authority ya kufanya simple analysis kumjibu profesa na mwalimu wa chuo kikuu. Kama wewe ni darasa la saba B ndio useme darasa la saba wanasomea wapi Famasia. Huu ni ujinga mtupu kutaka kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua tunahangaika na afya zao. Unaleta porojo badala ya kuja na Details na majibu sahihi?

UKWELI NI HUU KUHUSU KOZI YA UDAKTARI, FAMASI NA UUGUZI NA NI NANI ANASTAHILI KUTOA DAWA?
Naomba kusema kwamba silengi kutweza taaluma za watu, ninaziheshimu sana lakini propaganda na upotoshaji unapozidi unatakiwa kujibiwa kwa hoja na ukweli kwani mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.

Kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Famasia chanzo chake ilikua ni sehemu au tawi la kozi Mama ya udaktari baada ya kuona kwamba daktari atakua na kazi nyingi za kutafiti, kutengeza dawa na kutibu, ulitolewa uamuzi baadaye kua masuala ya dawa yajitegemee ndio likaibuka somo la Pharmacology as a branch of Medicine ambaye mwanzilishi wake alikua Mjerumani Oswald Schmiedeberg. Huyu alikua ni daktari wa binadamu na ndiye mwanzilishi wa kwanza wa kozi ya Famasia karne ya 18. Unapokuja na kujitutumua kutaka kupotosha umma wa watanzania na bila kujali unamjibu nani ni utovu wa nidhamu.

Mwanzilishi na mgunduzi wa dawa Duniani Hippocrates, alikua daktari wa binadamu. He was the father of medicine. Ndiye aliyesababisha leo kuwepo na kozi ya Famasia, ndiye aliyekuja kuwazalisha kina Dr Oswald Shmiedeberg. Huwezi kupotosha umma wa watanzania bila kujali kua ushauri wangu ulijikita zaidi katika kuishauri Serikali ispotoshwe na kikundi cha watu wachache wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi bila kujali unyeti wa eneo hili.

ANAYETAKIWA KUTOA DAWA KWA MGONJWA NI NANI?
Ninarudia tena, kuna kitu kinaitwa drugs Administration na dispensing. Hapa ndiko hawa wanaojiita wafamasia wanajichanganya huenda ndio matatizo haya .

Hivi mtu anaposema Mfamasia anafanya drugs Administration ana akili sawa sawa? Katika routes zote za drugs Administration ukitoa oral, ni route gani ambayo wafamaia wanafundishwa darasani na kufanya practises?

Wanafundishwa kutoa sindano kwa I.V au I.M? Mimi ninataka nijue pamoja na kua hizi njia huwezi kutolea kwenye pharmacy. Ukweli ni routes zote zinafanywa na madaktari au manesi.

Miaka 6 mtu anahangaika na magonjwa na dawa leo unasema hana uhalali wa kutoa dawa kwa mgonjwa kweli?

Mfamasia anachoweza kufanya ni ni dispensing kwa maelekezo au maagizo ya daktari. Drugs Administration is not Dispensing! Wafamasia muelewe, hii ndiyo ilikua maana yangu. 👇👇

Dispensing includes all of the steps necessary to translate a medication order (prescription) into an individualized medication supply that is both safe and appropriate.

SWALI: Kama wewe ni Mfamasia upo kwenye duka la dawa, amekuja mgonjwa hana cheti cha daktari utatoaje dawa wakati wewe siyo daktari? Ni nani aliyetufundisha kufanya History taking na kutoa Diagnosisi?

Ni Pharmacy ngapi Tanzania zinauzwa dawa kwa maelekezo ya Prescriptions za madaktari?

Unafikiri ni kwanini dawa kali zote zinatakiwa kuuzwa kwa vyeti vya madaktari na wakati huo huo unasema ili daktari huyo huyo auze dawa lazima awe na ADDO? Hii ni akili ya wapi?

Yaaani Daktari huyu huyu ambaye ndiye mwanzilishi na mwasisi wa kozi ya Famasia unasema awe na ADDO ndio afanye Dispensing?

Kwahiyo narudia maelezo yangu pale pale kwamba serikali kuondoa kozi ya ADDO ilifanya vizuri kuondoa ulaji wa kikundi cha watu wachache lakini ni KOSA KUBWA sana kuwaacha wafanasi wauze na kutoa dawa wao wenyewe, ni kosa la kitaalam. Ni lazima awepo na daktari au nesi ambaye ana utaalam wa kubaini magonjwa kama alivyofundishwa.

NI KOSA KUBWA SANA kusema huyu daktari ambaye ndiye mwasisi na mwanzilishi wa kozi ya famasia eti ili auze dawa kwa mgonjwa ni lazima awe na ADDO au si ruhusa yeye kuuza dawa. Ni kosa gani la kiufundi analoweza kufanya daktari ikiwa atatoa dawa aliyoandika yeye bila uwepo wa Mfamasia kama si ukiritimba na ukuaji wa baadhi ya watu kutaka kujipa uhalali na mamlaka ya kumiliki maduka ya madawa na kutaka kufanya kila kitu nje ya uwezo wao?

Hata viwandani kwenye zile karatasi wanazoweka maelezo mwisho hua wanaandika...as directed by Physician, who is physician? Why not Pharmacist?

NI UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRI KUA MFAMASIA ANASOMA ILI BAADAYE CHETI CHAKE KITUMIKE KUSIMSMIA PHARMACY.
Wakati
wenzetu wanasoma Pharmacy ili kwenda kufanya tafiti na kutengeneza dawa mbalibali viwandani, Tanzania kijana anayesoma Pharmacy anawaza amalize ili cheti chake kikazimamie Pharmacy. Huu ni mfumo mbovu wa elimu na ndio unaozalisha hii migongano inayotokea mara ADDO leo usikie imesitishwa.Yote haya ni kwa sababu ya uvivu wa watu kujishughulisha kutaka akae akunje nne aweke cheti chake dukani alipwe milion moja kwa mwezi maisha yaendelee. Tuendelee kuhamasishwa serikali ilete na ivujitie wawekezaji wa viwanda vya kutengeneza dawa ili kelele na njaa hizi ziishe.

HITIMISHO: Mfamasia atengeneze dawa kiwandani, ahifadhi dawa,atoe na kusambaza dawa. Si kazi yake kuchukua history na kubaini ugonjwa kisha atoe dawa. Atoe dawa kwa maelekezo ya daktari kama taratibu zinavyosema, Pharmacies ziuze dawa kwa vyeti vya madaktari. Awepo daktari au nesi katika Pharmacy yeyote ile ili wasaidie kutoa dawa moja kwa moja kwa wagonjwa, huu ndio wajibu wao. Hakuna tatizo lolote nesi au daktari kuuza dawa maana hakuna hoja ya msingi ya kuzuia hili. Hata mahospitali za Wilaya nyingi tu na vituo vya Afya nchini Tanzania Nurse assistants ndio dispensers na hawana mafunzo ya ADDO.

Prof Patrick Kobono (MD, MMED, MPH, MBA, PhD in Human Anatomy)
Mimi taaluma yangu tofauti pamoja na hivyo nimeelewa kiasi... ila jambo moja nakuomba profesa.
Kule umeshindwa kueleza kwa kiswahili hadi umetumia kingereza rudi jielimishe lugha kisha ututolee kwa kiswahili. Ni ombi tu ukipenda. Ukipotezea pia sitakulaumu.
 
Mkishakuaga na na vielimu uchwara ,mnavimba sana.


Sasa hiyo IV Gentamicin 80mg, na Mtoa mada wapi na wapi???.


Ulivyo Mpuuzi,Et 'Tena specialist ?!!.


KIHALISIA, KATIKA AFYA, DAKTARI ni Mfamasia, ni mtu wa Labo .


DAKTARI HAMHITAJI MFAMASIA...MFAMASIA LAZIMA AMUHITAJI DAKTARI.
Mkishajiona sijui MD kazi kudharau fani nyingine....
Kama daktari hahitaji mfamasia basi awe anakaa na dawa chumbani kwake...
 
Back
Top Bottom