Sundi Malomo alikuwa mchepuko wa Magufuli wala si mfanyakazi wa serikali mwenye stahiki ya kuuziwa nyumba.
Nyumba ipo Bagamoyo Road karibu na Kaunda Drive.
Nyumba hakustahili kuuziwa. Kwa sababu hakuwa mfanyakazi wa serikali mwenye stahiki hiyo Na Magufuli hakutakiwa kuingilia uuzaji wa nyumba maana kulikuwa na wakala wa serikali,Tanzania Buildings Agency, Magufuli akafanya ubabe na kupora ile process.
Tena si huyo tu, Magufuli kawauzia nyumba za serikali mdogo wake Musa Magufuli na ndugu yake James Doto nje ya utaratibu.
Hapo ndipo utajua Magufuli naye ni fisadi tu.
Sent from my typewriter using Tapatalk