Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

Yanga waliwahi kuwa na zee moja likiitwa ibrahimovich lilikuwa mwenyekiti wa wazee, swali la kuuliza, hao wazee wanafanya shughuli gani kwenye klabu ya michezo? Hawa ndio vingunge wa mambo ya kishirikina michezoni. Wazee wote vilabuni fukuzilia mbali hawana shughuli za kufanya! Kwamba wanakuza vipaji vya vijana na kusajili wachezaji? Kama wanaipenda michezo wakaanzishe michezo yao ipo, wakacheze bao na kuanzisha vilabu vya bao na michezo mingine ya kizee. Haipendezi klabu kama yanga kuwa na wazee klabuni kama si kuedekeza kamati zinazoitwa za 'ufundi' kumbe ni za imani za kishirikina/kichawi michezoni
 
Yanga waliwahi kuwa na zee moja likiitwa ibrahimovich lilikuwa mwenyekiti wa wazee, swali la kuuliza, hao wazee wanafanya shughuli gani kwenye klabu ya michezo? Hawa ndio vingunge wa mambo ya kishirikina michezoni. Wazee wote vilabuni fukuzilia mbali hawana shughuli za kufanya! Kwamba wanakuza vipaji vya vijana na kusajili wachezaji? Kama wanaipenda michezo wakaanzishe michezo yao ipo, wakacheze bao na kuanzisha vilabu vya bao na michezo mingine ya kizee. Haipendezi klabu kama yanga kuwa na wazee klabuni kama si kuedekeza kamati zinazoitwa za 'ufundi' kumbe ni za imani za kishirikina/kichawi michezoni
Yaani ndio klabu yenye washabiki mazezeta jana wamepeleka timu uwanjani hakuna uongozi wa tff wa marefa..wamepeleka list ya wachezaji tff wakati wakijua mechi imeaihirishwa bado hawajakoma wamekwenda bunju kuifuata simba baadae wametoa barua wanasema meneja wa uwanja kawazuia simba ina maana wao walikuwepo naungana nawe wazee watimuliwe!
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)

Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)

Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...

Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Ndiyo maana Yanga haifanikiwi kimataifa, wanaweka uchawi mbele sana.
 
Una chuki zako binafsi wewe
Mtizamo wako ila kuleta ufala na uchale kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu sio poa kama wewe unafurahia upuuzi ni poa ila wengine wakikosoa aliyeharibu unaita chuki endelea na yako tafsiri swali Mo arena walifuata nini!
 
Mtizamo wako ila kuleta ufala na uchale kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu sio poa kama wewe unafurahia upuuzi ni poa ila wengine wakikosoa aliyeharibu unaita chuki endelea na yako tafsiri swali Mo arena walifuata nini!
Hauna hoja zaidi ya kubwabwaja hovyo
 
Wakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.

Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.

Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
Sahau ,mtapigwa ninyi waoga wa kuruhusu tupige tiz 😂😂
 
Hiyo pole jipe mwenyewe kwa kukaa miaka 4 bila kombe mwanetu
LIverpool anabeba amemuacha arsenal point 15..coastal union tangu 1988 sio miaka 4 mimi si shabiki wa upuuzi wa kariakoo ni mwanachama hai wa coastal union!
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)

Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)

Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...

Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
hata kuandika hujui,sasa huo ukweli utaujua?
 
hata kuandika hujui,sasa huo ukweli utaujua?
Nisijue kuandika lakini mimi sio zezeta kama mashabiki wa yanga mmepewa taarifa lakini mmejazana uwanja wa mkapa kisa kiongozi kasema nendeni siku ya pili mnakamilisha upuruzai kwenda bunju haji manara ajengewe mnara kweli nyote hamna akili na kocha luc alisema mnapiga kelele kama manyani!
 
Nisijue kuandika lakini mimi sio zezeta kama mashabiki wa yanga mmepewa taarifa lakini mmejazana uwanja wa mkapa kisa kiongozi kasema nendeni siku ya pili mnakamilisha upuruzai kwenda bunju haji manara ajengewe mnara kweli nyote hamna akili na kocha luc alisema mnapiga kelele kama manyani!
wewe subiri utaona faida ya hao wanachama wa yanga kwenda uwanjani
 
Back
Top Bottom