kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #61
usiunge mkono viongozi wa yanga wana utoto unakumbuka suala la feisal lilimalizikaje walipokua wana mkomoa kwa kufumrahisha hajo manara!Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiunge mkono viongozi wa yanga wana utoto unakumbuka suala la feisal lilimalizikaje walipokua wana mkomoa kwa kufumrahisha hajo manara!Naunga mkono hoja
Yaani ndio klabu yenye washabiki mazezeta jana wamepeleka timu uwanjani hakuna uongozi wa tff wa marefa..wamepeleka list ya wachezaji tff wakati wakijua mechi imeaihirishwa bado hawajakoma wamekwenda bunju kuifuata simba baadae wametoa barua wanasema meneja wa uwanja kawazuia simba ina maana wao walikuwepo naungana nawe wazee watimuliwe!Yanga waliwahi kuwa na zee moja likiitwa ibrahimovich lilikuwa mwenyekiti wa wazee, swali la kuuliza, hao wazee wanafanya shughuli gani kwenye klabu ya michezo? Hawa ndio vingunge wa mambo ya kishirikina michezoni. Wazee wote vilabuni fukuzilia mbali hawana shughuli za kufanya! Kwamba wanakuza vipaji vya vijana na kusajili wachezaji? Kama wanaipenda michezo wakaanzishe michezo yao ipo, wakacheze bao na kuanzisha vilabu vya bao na michezo mingine ya kizee. Haipendezi klabu kama yanga kuwa na wazee klabuni kama si kuedekeza kamati zinazoitwa za 'ufundi' kumbe ni za imani za kishirikina/kichawi michezoni
Una chuki zako binafsi weweusiunge mkono viongozi wa yanga wana utoto unakumbuka suala la feisal lilimalizikaje walipokua wana mkomoa kwa kufumrahisha hajo manara!
Ndiyo maana Yanga haifanikiwi kimataifa, wanaweka uchawi mbele sana.Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)
Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)
Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...
Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Mtizamo wako ila kuleta ufala na uchale kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu sio poa kama wewe unafurahia upuuzi ni poa ila wengine wakikosoa aliyeharibu unaita chuki endelea na yako tafsiri swali Mo arena walifuata nini!Una chuki zako binafsi wewe
Wapuuzi sana...Ndiyo maana Yanga haifanikiwi kimataifa, wanaweka uchawi mbele sana.
Hauna hoja zaidi ya kubwabwaja hovyoMtizamo wako ila kuleta ufala na uchale kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu sio poa kama wewe unafurahia upuuzi ni poa ila wengine wakikosoa aliyeharibu unaita chuki endelea na yako tafsiri swali Mo arena walifuata nini!
Sahau ,mtapigwa ninyi waoga wa kuruhusu tupige tiz 😂😂Wakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.
Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.
Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
Pole sana....Hauna hoja zaidi ya kubwabwaja hovyo
Una tatizo pahala mkuuuPole sana....
Pole sana mkuu!Una tatizo pahala mkuuu
Hiyo pole jipe mwenyewe kwa kukaa miaka 4 bila kombe mwanetuPole sana mkuu!
LIverpool anabeba amemuacha arsenal point 15..coastal union tangu 1988 sio miaka 4 mimi si shabiki wa upuuzi wa kariakoo ni mwanachama hai wa coastal union!Hiyo pole jipe mwenyewe kwa kukaa miaka 4 bila kombe mwanetu
Hoja sio liver hapoLIverpool anabeba amemuacha arsenal point 15..coastal union tangu 1988 sio miaka 4 mimi si shabiki wa upuuzi wa kariakoo ni mwanachama hai wa coastal union!
Hoja sio liver ila nimejaribu kukuweka wazi mimi si msukure wala mtumwa wa timu za dar es salaam zenye washabiki wenye kushikiwa akili na viongozi!Hoja sio liver hapo
hata kuandika hujui,sasa huo ukweli utaujua?Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)
Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)
Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...
Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Nisijue kuandika lakini mimi sio zezeta kama mashabiki wa yanga mmepewa taarifa lakini mmejazana uwanja wa mkapa kisa kiongozi kasema nendeni siku ya pili mnakamilisha upuruzai kwenda bunju haji manara ajengewe mnara kweli nyote hamna akili na kocha luc alisema mnapiga kelele kama manyani!hata kuandika hujui,sasa huo ukweli utaujua?
wewe subiri utaona faida ya hao wanachama wa yanga kwenda uwanjaniNisijue kuandika lakini mimi sio zezeta kama mashabiki wa yanga mmepewa taarifa lakini mmejazana uwanja wa mkapa kisa kiongozi kasema nendeni siku ya pili mnakamilisha upuruzai kwenda bunju haji manara ajengewe mnara kweli nyote hamna akili na kocha luc alisema mnapiga kelele kama manyani!
Mmepigwa...wewe subiri utaona faida ya hao wanachama wa yanga kwenda uwanjani