Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ngoja nikujibu kimantiki sasa maana naona kakugongea like kabisa.
Mimi nimesoma DMI pia 90's kwa miaka aliyopita yeye DMI kwa calcution zangu Le Baharia atakuwa ana miaka kati ya 52-55.
Lemutuz buana fa.la sana aisee baada ya mimi kukuchana kwamba ulikua samakisamaki unang'aza sharubu na sio mbez kama ulivyodanganya on that thread now umekuja na cheap argument Lusaka cheap populality eti ulikamata deal ya kuitangazq samakisamaki
Pumbaaf umeondoka sa saba dk27 na kile kidem kina miwigi mibaya kama kondoo muda wote umekaa unashangaashangaa kama unatafuta basha no one anashoboka na ww Leo unamtangazia ngabu ulilamba deal duu nna wasiwasi na ubongo wako kwakweli
Aisee just one comment u had to reply it twice?? Keep on guessin grand pa but that changes nuthin, U celeb?? Give me a break baba, no body knowa u apart from hao few IG users, kwanza fungua hio TV na Radio then I promise u ntakua wa kwanza kukucheka, then naelewa kwa nn wanawekaga umri wa kustaafu, nimekupa mifano ya kina Msando na Bikira but sijakulinganisha nao babu, and kama hapa TZ ndo unaishi stress free life basi huko Ulipokua unaishi kabla ya TZ ulikua hell, and unafikiri wananchi wanashauriwa kuangalia au kusikiliza, kizuri cha jiuza.. labda hio radio ubaki kwenye utawala maana kama nakuona aibu yako.. F.Y.I ule mnazi uliokojolea naskia unakauka.. then kumbe miss TZ ilikua na kundi?? Na imefungiwa miaka miwili?? Baasi subiri siku wakifunguliwa ujipendekeze.,
Wewe ni public figure na ni mwanasiasa huna cha kuficha, how old are u?
Huu ni ujinga kufanywa na babu anaekaribia kufikisha miaka 60, Tafadhali old boy waheshimu hata wanao uliowazaa they don't deserve Father of this category.
Mimi ninachojuwa ni classmate wa Mizengo Pinda sasa kadilia hapo.
Mimi nimesoma DMI pia 90's kwa miaka aliyopita yeye DMI kwa calcution zangu Le Baharia atakuwa ana miaka kati ya 52-55.
Ataje miaka yake azuiliwe kuingia club?? Kuna sehemu vibabu haviruhusiwi,
Hapo unakisia umri wake na kudai anakaribia kufikisha miaka 60!
Hapo unadai unajua yeye ni classmate wa Mizengo Pinda! Ulijuaje ni classmate wa Mizengo Pinda? Pinda mwenyewe ndo alikwambia?
Hapa unadai yupo kati ya miaka 52-55.
Sasa lipi ni lipi bwana Jinga?
Ni anakaribia kufikisha miaka 60 au yupo kati ya miaka 52-55?
Ukweli ni kwamba hujui ila unajishaua shaua tu uonekane unajua.
Kilele cha ujinga.
Shati la Le Mutuz linatosha kufunika vitz
Nataka nipate conformation kutoka kwa wahusika wa WINDHOEK LAGER kama wanahusika na upuuzi huu wa Le Mutuz. Shame.
27 pages and counting about so called upuuzi wa Le Mutuz.
That right there is proof that, hands down, Le Mutuz is king.
Yeye hajaisema hiyo...kasema WINDHOEK LARGER
Huyu jamaa atakuwa alidhurika na ule ugonjwa ZIKA
Huu Uzi ulishajifunga tokea April 2015 unauanzisha tena ili iweje mkuu?- HAHAHAHhahahahahah my niga wasap maan loongtime!!
le Mutuz
Lemutuz! The King Acha Ujinga Wako Ukupe Pesa