Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

- Good na washiriki wote wa page hizi 17 tunafanana si ndio maana yake au? hahahahahahahha

Le Big Show

hapa hufanani akili na mtu we babu... au kuna anayesifia mirengo yako hapa??? Page 17 zote watu wanakushangaa unayoyafanya kwa huo umri wa Pinda.. Miaka 30 ulaya so that is all what you have to do?? Mtu anayejisifia ana Degree 3 anaishia kumiliki blog, huo ni upumbavu uliokithiri. Angalia age mates zako kama wanafanya upumbavu kama unaoufanya wewe..
 
atoto njoo huku tucheke kidogo...
 
Last edited by a moderator:
hapa hufanani akili na mtu we babu... au kuna anayesifia mirengo yako hapa??? Page 17 zote watu wanakushangaa unayoyafanya kwa huo umri wa Pinda.. Miaka 30 ulaya so that is all what you have to do?? Mtu anayejisifia ana Degree 3 anaishia kumiliki blog, huo ni upumbavu uliokithiri. Angalia age mates zako kama wanafanya upumbavu kama unaoufanya wewe..

- Kwa hiyo unasema age mate wangu ndio wamejaza hizi page 17 kwa kunishangaa? hahahahahahah nilidhani age mates wangu wanatafuta pesa kama mimi kumbe wote wana mapesa tayari sasa wamekaa wananiangalia mimi tu? hahahah unasema kumiliki blog ni makosa au kuingiza millions kama ninvyofanya na blog ni makosa? Wewe unaujua maan upumbavu au unasikia tu, mtu mzima mwenye akili timamua anaweza kuja hapa na majina ya bandia na kuanza kutukana watu asiowajua na wasiomuhusu kama wewe huoni kwamba wewe ndio mpumbvu namba moja I mean hahahahahah unnivunja mbavu u know!!

Le Mutuz
 
- Kwa hiyo unasema age mate wangu ndio wamejaza hizi page 17 kwa kunishangaa? hahahahahahah nilidhani age mates wangu wanatafuta pesa kama mimi kumbe wote wana mapesa tayari sasa wamekaa wananiangalia mimi tu? hahahah unasema kumiliki blog ni makosa au kuingiza millions kama ninvyofanya na blog ni makosa? Wewe unaujua maan upumbavu au unasikia tu, mtu mzima mwenye akili timamua anaweza kuja hapa na majina ya bandia na kuanza kutukana watu asiowajua na wasiomuhusu kama wewe huoni kwamba wewe ndio mpumbvu namba moja I mean hahahahahah unnivunja mbavu u know!!

Le Mutuz

Age mate wako wako majukwaa ya kule juu we mpumbavu, huku chini sie wote ni kama watoto na wajukuu zako.. Age mate wako wanakula pension, long vacations na biashara na shughuli zao wamewaachia watoto zao.. Na wewe ile ID yako bandia unayoitumia kujisifia na kutukana wengine tena usivyo na akili mwandiko unautumia uleule iko wapi?? Kwahiyo we watoto wako uliowakimbia kule US wakirudi Bongo utawarithisha blog sio??
 
Age mate wako wako majukwaa ya kule juu we mpumbavu, huku chini sie wote ni kama watoto na wajukuu zako.. Age mate wako wanakula pension, long vacations na biashara na shughuli zao wamewaachia watoto zao.. Na wewe ile ID yako bandia unayoitumia kujisifia na kutukana wengine tena usivyo na akili mwandiko unautumia uleule iko wapi?? Kwahiyo we watoto wako uliowakimbia kule US wakirudi Bongo utawarithisha blog sio??

- Blog yangu ni Media Company registered na Serikali inaingiza Millions na ninaajiri wafanyakazi, Umri nilionao sio wa kustaafu Mwenyekiti wa Chadema ananizidi umri hajastaafu so slow down kwanza on that huna FACTS, watoto wangu USA wanasoma wapo College they have nothing to do na anything here kwa hiyo unasema wazazi wote bongo wenye watoto wao wanaosoma nje wamewakimbia? hahahahah wewe unasema baba yako amestaafu akakuachia hii bishara ya kuja hapa kwa majina ya bandia na kutukana watu? hahahahah unaona uanjivua nguo mwenyewe kuwa ndiye hasa mpumbavu wa kwanza U know, nenda ujipange tena mjinga wewe utabadili majina hapa ila huwezi kucheza na mimi too much for you njoo na jina lako kama mimi ndio angalau kidogo otherwise unakuwa mpumbavu namba moja u know!!

Le Big Show
 
Super sekretari


- Blog yangu ni Media Company registered na Serikali inaingiza Millions na ninaajiri wafanyakazi, Umri nilionao sio wa kustaafu Mwenyekiti wa Chadema ananizidi umri hajastaafu so slow down kwanza on that huna FACTS, watoto wangu USA wanasoma wapo College they have nothing to do na anything here kwa hiyo unasema wazazi wote bongo wenye watoto wao wanaosoma nje wamewakimbia? hahahahah wewe unasema baba yako amestaafu akakuachia hii bishara ya kuja hapa kwa majina ya bandia na kutukana watu? hahahahah unaona uanjivua nguo mwenyewe kuwa ndiye hasa mpumbavu wa kwanza U know, nenda ujipange tena mjinga wewe utabadili majina hapa ila huwezi kucheza na mimi too much for you njoo na jina lako kama mimi ndio angalau kidogo otherwise unakuwa mpumbavu namba moja u know!!

Le Big Show
 

Attachments

  • 1416917125519.jpg
    1416917125519.jpg
    66.9 KB · Views: 291
Mwenye kujua chochote, hawa watoto wa malecela, akina mwele, na yule mdogo wake, yule marehemu aliekuwa uvccm dar, na mwingine yule wa point tatu, ni tumbo mmoja na le mutuz?maana kama hawaendan hivi?
 
Mwenye kujua chochote, hawa watoto wa malecela, akina mwele, na yule mdogo wake, yule marehemu aliekuwa uvccm dar, na mwingine yule wa point tatu, ni tumbo mmoja na le mutuz?maana kama hawaendan hivi?

- hahahahahahahahaha kila mmoja ana maisha yake hakuna anayeishi kwa kumtegemea mwingine we are all edcuated, independent na free people, na this is Le Big Show U know hahahah U know

:Le Mutuz
 
- Blog yangu ni Media Company registered na Serikali inaingiza Millions na ninaajiri wafanyakazi, Umri nilionao sio wa kustaafu Mwenyekiti wa Chadema ananizidi umri hajastaafu so slow down kwanza on that huna FACTS, watoto wangu USA wanasoma wapo College they have nothing to do na anything here kwa hiyo unasema wazazi wote bongo wenye watoto wao wanaosoma nje wamewakimbia? hahahahah wewe unasema baba yako amestaafu akakuachia hii bishara ya kuja hapa kwa majina ya bandia na kutukana watu? hahahahah unaona uanjivua nguo mwenyewe kuwa ndiye hasa mpumbavu wa kwanza U know, nenda ujipange tena mjinga wewe utabadili majina hapa ila huwezi kucheza na mimi too much for you njoo na jina lako kama mimi ndio angalau kidogo otherwise unakuwa mpumbavu namba moja u know!!

Le Big Show

Mbowe kazaliwa 1961, wewe ulishawai kusema humu ulikuwako kabla ya Tanganyika kupata uhuru 1961. Tikiacha hayo, kama unasema una miaka chini ya Mbowe, which means 53< na umerudi Bongo huu ni mwaka wa 4 sasa which means ukijumulisha na ile miaka yako 30 ya kukaa ulaya inakuwa miaka 34, ok well tufanye una miaka 50 then tukitoa na hiyo miaka 34 jibu linakuja ulienda ulaya ukiwa na miaka 16 tu.

Then if we start to generate our theory from there, jibu linakuja hukuweza kumaliza Form Four kwakuwa there is no way ulimaliza Form Four kwa miaka 16 tu. OK, kama ulimaliza, ina maana ulipata sifuri na hukufanikiwa kuendelea na Kidato cha tano hivo ukaamua kukimbilia ulaya. Mmeshazoea kudanganya umri ndio maana hadi yule mtoto wa mbunge wenu alitudanganya kama wewe unavyotaka kutudanganya kwamba una umri mdogo kuliko Mbowe.

Tukiyaacha hayo, wazazi wana jukumu la kusomesha watoto, sasa sijui kwanini wewe ulikimbia child support. Ni aibu kwa umri wako kujisifia unafanya biashara ya blog ukajiita una mafanikio, kwasababu biashara zote za blog ni za kipumbavu kama nyie bloggers pia mlivyo wapumbavu. By Far, Rahatupu Blogspot ya Nancy Mitikisiko ina viewers mara mia ya ki blog chako, blog yako haifikii hata nusu ya blog ya U-TURN. Ila pia huku duniani sijawahi sikia kuna mtu mwenye madegree matatu anaishia kumiliki blog na kutukanana na Teenagers Instagram tena ukizingatia mtu huyo ana miaka 55+
 
Back
Top Bottom