Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

You what what, le mbembez, leo nimeelewa wakat ipyana anazikwa kwann wazee walisema malecela hana mtoto wa kiume mwingine😂😂😂😂
 
We uoni kwamba hao wote unafanana nao akili??? Si unasemaga ndege wanaofanana huruka pamoja
hahahahahaha
Uknw nimekubali kabisa!
Mimi ni mtu mwenye shule hivyo na hao wana shule kichwani sio supergademu madebe matupu
hahahahaha I love it
 

Attachments

  • 1416918647093.jpg
    1416918647093.jpg
    40.8 KB · Views: 304
  • 1416918718312.jpg
    1416918718312.jpg
    41.8 KB · Views: 281
Ila we lijibaba hats sikuelewi ningezaaa litoto kama wewe ningekutupa bahalini wallah tena nipate dhambi kwa alllah kuliko kuwa na jitu zima lenye akili za choon juzi nimekuona milimani city nusu nikimbie mtuumboo huo kah au umelogwa watu twashangaaa ati. Watu wazima kama weed hawawezi Fanya vitu kama vyako wallai we so mzima
 
hahahahahaha
Uknw nimekubali kabisa!
Mimi ni mtu mwenye shule hivyo na hao wana shule kichwani sio supergademu madebe matupu
hahahahaha I love it

hahahaha debe tupu la kwanza ni yeye U know... Bichwa kubwa limejaa funza tu I love It
 
hahahahahaha
Uknw nimekubali kabisa!
Mimi ni mtu mwenye shule hivyo na hao wana shule kichwani sio supergademu madebe matupu
hahahahaha I love it

Anadai watoto wake chuo,kwa umri wa watu ambaye walioko kwa kizazi hiki cha ss,kwa % kubwa wanadili na mambo ya social network,ss km hao watoto wanamuona baba yao vituko anavyovifanya kwenye mitandao ya kijamii,wataanza anza v kumuheshimu baba yao!
 
Ila we lijibaba hats sikuelewi ningezaaa litoto kama wewe ningekutupa bahalini wallah tena nipate dhambi kwa alllah kuliko kuwa na jitu zima lenye akili za choon juzi nimekuona milimani city nusu nikimbie mtuumboo huo kah au umelogwa watu twashangaaa ati. Watu wazima kama weed hawawezi Fanya vitu kama vyako wallai we so mzima

Kuna mkuu hapo juu kasema kwenye msiba wa mtoto wa kiume wa Mzee Melecela kulitangazwa kwamba Mzee hana mtoto mwingine wa kiume. Kwahiyo msimlaumu hahahaha
 
Hapana sio bikira....

Ni le super sekretari

Ingawa inasemekana jamaa kamdhulumu bikira

hahahahaha bikira kazulumiwa??? hahaha le temboz kumbe lijanja eeh.. na hilo lisecretariii linaitwaje nikalichore huko insta
 
Mbowe kazaliwa 1961, wewe ulishawai kusema humu ulikuwako kabla ya Tanganyika kupata uhuru 1961. Tikiacha hayo, kama unasema una miaka chini ya Mbowe, which means 53< na umerudi Bongo huu ni mwaka wa 4 sasa which means ukijumulisha na ile miaka yako 30 ya kukaa ulaya inakuwa miaka 34, ok well tufanye una miaka 50 then tukitoa na hiyo miaka 34 jibu linakuja ulienda ulaya ukiwa na miaka 16 tu.

Then if we start to generate our theory from there, jibu linakuja hukuweza kumaliza Form Four kwakuwa there is no way ulimaliza Form Four kwa miaka 16 tu. OK, kama ulimaliza, ina maana ulipata sifuri na hukufanikiwa kuendelea na Kidato cha tano hivo ukaamua kukimbilia ulaya. Mmeshazoea kudanganya umri ndio maana hadi yule mtoto wa mbunge wenu alitudanganya kama wewe unavyotaka kutudanganya kwamba una umri mdogo kuliko Mbowe.

Tukiyaacha hayo, wazazi wana jukumu la kusomesha watoto, sasa sijui kwanini wewe ulikimbia child support. Ni aibu kwa umri wako kujisifia unafanya biashara ya blog ukajiita una mafanikio, kwasababu biashara zote za blog ni za kipumbavu kama nyie bloggers pia mlivyo wapumbavu. By Far, Rahatupu Blogspot ya Nancy Mitikisiko ina viewers mara mia ya ki blog chako, blog yako haifikii hata nusu ya blog ya U-TURN. Ila pia huku duniani sijawahi sikia kuna mtu mwenye madegree matatu anaishia kumiliki blog na kutukanana na Teenagers Instagram tena ukizingatia mtu huyo ana miaka 55+

- My Show Kabaha Palace imeingiza wananchi 1000, ile Show Mikochen iliingiza wananchi 5,500 na sasa my next stop Mbeya, karibu sana nitakupa complimentary tickets wacha kupoteza muda na usiowajua na wala hawakujui jianglie maisha yako hayawezi kuwa sawa ukaanza kufuatilia umri wa wanaume usiowajua lazima kichwa chako ni kibovu, huwezi kuwa sawa ukaanza kufuatilia maisha ya wanaume wengine pole sana hayo maujinga yako hayanihusu na wala I dont care ninakula maisha yangu kama kawa, kama hupendi kufa U know hahahahahahahah
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]






Le Big Show
 
- My Show Kabaha Palace imeingiza wananchi 1000, ile Show Mikochen iliingiza wananchi 5,500 na sasa my next stop Mbeya, karibu sana nitakupa complimentary tickets wacha kupoteza muda na usiowajua na wala hawakujui jianglie maisha yako hayawezi kuwa sawa ukaanza kufuatilia umri wa wanaume usiowajua lazima kichwa chako ni kibovu, huwezi kuwa sawa ukaanza kufuatilia maisha ya wanaume wengine pole sana hayo maujinga yako hayanihusu na wala I dont care ninakula maisha yangu kama kawa, kama hupendi kufa U know hahahahahahahah

Le Big Show

Mkuu sana napataje hizo complimentary sasa???
 
Back
Top Bottom