Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
Super sekretari
Eeeeh ndo kibarua kishaota nyasi? Ngoja nitume CV.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Super sekretari
Eeeeh ndo kibarua kishaota nyasi? Ngoja nitume CV.....
hahahahahahaWe uoni kwamba hao wote unafanana nao akili??? Si unasemaga ndege wanaofanana huruka pamoja
yamemshinda kabwaga manyanga....
Sasa sijui weye utaweza????
hahahahahaha
Uknw nimekubali kabisa!
Mimi ni mtu mwenye shule hivyo na hao wana shule kichwani sio supergademu madebe matupu
hahahahaha I love it
hahahahahaha
Uknw nimekubali kabisa!
Mimi ni mtu mwenye shule hivyo na hao wana shule kichwani sio supergademu madebe matupu
hahahahaha I love it
Nani kamkimbia?? yule anayejiita bikira ama??
Ila we lijibaba hats sikuelewi ningezaaa litoto kama wewe ningekutupa bahalini wallah tena nipate dhambi kwa alllah kuliko kuwa na jitu zima lenye akili za choon juzi nimekuona milimani city nusu nikimbie mtuumboo huo kah au umelogwa watu twashangaaa ati. Watu wazima kama weed hawawezi Fanya vitu kama vyako wallai we so mzima
Hapana sio bikira....
Ni le super sekretari
Ingawa inasemekana jamaa kamdhulumu bikira
Mbowe kazaliwa 1961, wewe ulishawai kusema humu ulikuwako kabla ya Tanganyika kupata uhuru 1961. Tikiacha hayo, kama unasema una miaka chini ya Mbowe, which means 53< na umerudi Bongo huu ni mwaka wa 4 sasa which means ukijumulisha na ile miaka yako 30 ya kukaa ulaya inakuwa miaka 34, ok well tufanye una miaka 50 then tukitoa na hiyo miaka 34 jibu linakuja ulienda ulaya ukiwa na miaka 16 tu.
Then if we start to generate our theory from there, jibu linakuja hukuweza kumaliza Form Four kwakuwa there is no way ulimaliza Form Four kwa miaka 16 tu. OK, kama ulimaliza, ina maana ulipata sifuri na hukufanikiwa kuendelea na Kidato cha tano hivo ukaamua kukimbilia ulaya. Mmeshazoea kudanganya umri ndio maana hadi yule mtoto wa mbunge wenu alitudanganya kama wewe unavyotaka kutudanganya kwamba una umri mdogo kuliko Mbowe.
Tukiyaacha hayo, wazazi wana jukumu la kusomesha watoto, sasa sijui kwanini wewe ulikimbia child support. Ni aibu kwa umri wako kujisifia unafanya biashara ya blog ukajiita una mafanikio, kwasababu biashara zote za blog ni za kipumbavu kama nyie bloggers pia mlivyo wapumbavu. By Far, Rahatupu Blogspot ya Nancy Mitikisiko ina viewers mara mia ya ki blog chako, blog yako haifikii hata nusu ya blog ya U-TURN. Ila pia huku duniani sijawahi sikia kuna mtu mwenye madegree matatu anaishia kumiliki blog na kutukanana na Teenagers Instagram tena ukizingatia mtu huyo ana miaka 55+
[/TD]- My Show Kabaha Palace imeingiza wananchi 1000, ile Show Mikochen iliingiza wananchi 5,500 na sasa my next stop Mbeya, karibu sana nitakupa complimentary tickets wacha kupoteza muda na usiowajua na wala hawakujui jianglie maisha yako hayawezi kuwa sawa ukaanza kufuatilia umri wa wanaume usiowajua lazima kichwa chako ni kibovu, huwezi kuwa sawa ukaanza kufuatilia maisha ya wanaume wengine pole sana hayo maujinga yako hayanihusu na wala I dont care ninakula maisha yangu kama kawa, kama hupendi kufa U know hahahahahahahah
Le Big Show
Mkuu sana napataje hizo complimentary sasa???
- Kwani wewe ni demu au mamen?
Le Mutuz
Dah kupanga no kuchagua lemutuziii Kwisha kazi limekimbia