Utapata tulizo la akili na moyo hapa kwa mzabzabNakujaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata tulizo la akili na moyo hapa kwa mzabzabNakujaa
U apatikana wapi mremboAsante
Siyo unasema tu 'asante' afu unakausha. Zama pm kwake chapAsante
Siku hizi una busara 🤣100% chanzo ni mahusiano...
Anyways, pole sana....
Anza kujichanganya na watu tofauti na ulio wazoea kila siku.
Anza kujitoa out na kwenda beach ikibidi.
Jiepushe kabisa na unywaji wa pombe katika kipindi hiki.
Jifunze kuanza kuwahi kurudi nyumbani na pika chakula kizuri unacho kipenda.
Pendelea kunywa juice ya machungwa kwa wingi.
Zima sim kabisa inapo fika muda wa kulala.
Pelndela kuangalia movie za simulizi mbalimbali.
Soma vitabu na kadhalika nakadhalika.
Usijaribu kuingia kwenye mahusiano mapya hadi ukae sawa kabisa.
Boraa umesema WA pesaa ,maana Kuna mafisa yameshaanzaa kukuitaa wakukumbateee😋Wa pesaa
Naumwa mkuu, nipo kitandani leo siku ya 19...😥Siku hizi una busara 🤣
unabidii ya ku type siku hiz na sio ku like tena,au cm mna share saiv😌Yani unauliza tena kuna nini ndio maana upo mpweke🤣
Weka namba tukufarijiHEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
Usinizingue sasa mtaalamu kama sku ile 😂😂😂😂😂😂Imeisha iyo😀
Nini shida nikuletee matundaNaumwa mkuu, nipo kitandani leo siku ya 19...😥