Je, unadhani huyo mwanamke atachagua kusimama upande wa nani kati yako (mume) na huyo rafiki yake, ikiwa utaamua kuchukua hatua?
Je, huyo rafiki yake wa kiume ameoa kama wewe au bado ni mzurulaji tu?
Hayo ndio maswali ya msingi ukitaka kutatua huo ujinga.
ILA
Nasikitika kusema kuwa hauna mamlaka juu ya huyo mke wako, ni either wewe ndo unampenda sana na hauwezi kuwa mbogo mbele yake kwa kuhofia atakuacha, kiasi cha kushindwa kusimamia uanaume wako, kama ni hivyo basi hakuna kitu unaweza kufanya zaidi ya kukaza moyo.
Urafiki wa namna hiyo unaweza kuwepo ila kama hauridhishwi nao, kwanini usichukue hatua? Hasa kama huyo jamaa hana mke.