Urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yaani kaka na dada unawezekana?

Urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yaani kaka na dada unawezekana?

Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Urafiki wa hivyo ni kichaka hasa kwa ke, wanapenda sana.
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Hakunaga hio kitu chunga mbuzi na mbwa pamoja halafu mkoseshe mbwa mlo wake ndio utapata jibu
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Hapo unazungukwa na mke wako, jua tu analiwa kisela yaani kishikaji bila kelele.
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
😅😅😅 Ndiyo maana tunatombewer sana yaani, nikiwaza mpaka machozi yanatoka yaani
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Wanakugongea mke wako. Shtuka mkuu
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Mmmh Hapo kula tunda kimasihara kuko njenje!!
 
Back
Top Bottom