Urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yaani kaka na dada unawezekana?

Urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yaani kaka na dada unawezekana?

Ungeweka poll tujue wapi wengi wanasapot au laah...kwa zama hizi ni noma😂😂
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Haupo wanaya ya sirini
 
Ndio inawezekana sana tu, Mimi kuna wadada wengi tu tunaheshimiana sana na huwa tunaogea mengi sana tufauti sana na tugekuwa wapenzi
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
HAKUNAGA URAFIKI WA AINA HIYO..!!
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Urafiki kati ya mke wa mtu na mwanaume asiye mumewe ni njia kuelekea kuchepuka.

Ni uhusiano wa mashaka, ni kama vile leo hii mtu akwambie huko mwituni Simba na Swala na maswahiba sana.
 
Sio tafiki tu ....hata kaka wa damu , au uncle wa damu usiwaamini nyakati hizi

Nina historia na ushuhuda wa hilo yaani nyie acheni tu..
 
Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.

Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?

Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.

Wewe unasemaje?
Mkuu, ukitaka kumla bata, sharti uache kumchunguza. Unachokitafuta utakipata tu. Usisahau kurudi hapa kutuandikia uzi wa mauaji kabla haujasondekwa rumande
 
Back
Top Bottom