Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Haupo wanaya ya siriniKwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.
Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?
Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.
Wewe unasemaje?
HAKUNAGA URAFIKI WA AINA HIYO..!!Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.
Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?
Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.
Wewe unasemaje?
Hivi unadhani ili umnyandue inatakiwa UMDHARAU?Ndio inawezekana sana tu, Mimi kuna wadada wengi tu tunaheshimiana sana na huwa tunaogea mengi sana tufauti sana na tugekuwa wapenzi
Aah wapi nakataa..Inawezekana kabisa.
Urafiki kati ya mke wa mtu na mwanaume asiye mumewe ni njia kuelekea kuchepuka.Kwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.
Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?
Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.
Wewe unasemaje?
comment zako mwamba huo za kibabe sana sijuti kuzisomaUrafiki wa nini sasa, mi ukiwa rafiki angu nakukula
Mkuu, ukitaka kumla bata, sharti uache kumchunguza. Unachokitafuta utakipata tu. Usisahau kurudi hapa kutuandikia uzi wa mauaji kabla haujasondekwa rumandeKwa kuheshimu muda wako, ngoja niandike kwa ufupi sana.
Je, urafiki kati ya mwanaume na mwanamke tena mke wa mtu, unaojionyesha kwa code ya "Kaka" na "Dada" huwa upo kweli au kuna kitu kinafunikwa hapo?
Ndugu yangu, sina sababu ya kuelezea kilichofanya niulize swali hili hapa, lakini bila shaka umenielewa. kila nikilitafakari sana jambo hili, sipati jibu linaoridhisha nafsi yangu.
Wewe unasemaje?