Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Alikuwa rafiki yangu sana mshikaji sana kila siku ilikuwa lazima kujuliana hali mda mwingine kutembeleana kabisa ushauri mwingi kiufupi ushakiji ulipitiliza tukawa kama ndugu
Maisha yaliendelea tu vizuri sasa kuna siku kaniomba nimuazime pesa 30k alijua kabisa nina pesa na lengobla ile pesa kuitynza ilikuwa ni kununua kitu fulani kutoka nje nilikuwa namuagizia mtu akajiliza niazime siku ukitaka kuagiza ikishatimia pesa mm nitakupa nikamwambia usije niangusha nakupa
Nikampa vizuri kwa moyo wote ikapita kama wiki yule jamaa alieopo nje akanicall Mwachiluwi wiki ijayo mimi narudi kesho tuma iyo pesa nikaanze kukutafutia ili na mimi nifanye mambo yangu nimekubali wewe uniagize kwasababu tu tunaheshimiana nikamwambia poa
Sasa na mimi ile pesa nikawa nimeitumia tena kama 50k hivi nikarudi kwa mshikaji nikampanga akasema jioni nikasema poa mm natafuta ile 50k itimie 450k nikijua yeye 30k naipata jioni saa nne naenda sasa kuweka pesa kwa simu nitume pesa nampigia ananijibu nyodo
Eti 30k ndio itamaliza shida zako nikikupa tunavyo sumbuana ivyo ili hali anajua pesa naenda kufanyia nini nikaona huyu anijui hizi dharau nikamuwakia na sana tu baada ya hapo mpaka leo nikituma sms hana view tu hajibu na mimi nimeamua kumpotezea kabisa
Maisha yaliendelea tu vizuri sasa kuna siku kaniomba nimuazime pesa 30k alijua kabisa nina pesa na lengobla ile pesa kuitynza ilikuwa ni kununua kitu fulani kutoka nje nilikuwa namuagizia mtu akajiliza niazime siku ukitaka kuagiza ikishatimia pesa mm nitakupa nikamwambia usije niangusha nakupa
Nikampa vizuri kwa moyo wote ikapita kama wiki yule jamaa alieopo nje akanicall Mwachiluwi wiki ijayo mimi narudi kesho tuma iyo pesa nikaanze kukutafutia ili na mimi nifanye mambo yangu nimekubali wewe uniagize kwasababu tu tunaheshimiana nikamwambia poa
Sasa na mimi ile pesa nikawa nimeitumia tena kama 50k hivi nikarudi kwa mshikaji nikampanga akasema jioni nikasema poa mm natafuta ile 50k itimie 450k nikijua yeye 30k naipata jioni saa nne naenda sasa kuweka pesa kwa simu nitume pesa nampigia ananijibu nyodo
Eti 30k ndio itamaliza shida zako nikikupa tunavyo sumbuana ivyo ili hali anajua pesa naenda kufanyia nini nikaona huyu anijui hizi dharau nikamuwakia na sana tu baada ya hapo mpaka leo nikituma sms hana view tu hajibu na mimi nimeamua kumpotezea kabisa