Urafiki umekufa baada ya kudai pesa yangu

Urafiki umekufa baada ya kudai pesa yangu

Alikuwa rafiki yangu sana mshikaji sana kila siku ilikuwa lazima kujuliana hali mda mwingine kutembeleana kabisa ushauri mwingi kiufupi ushakiji ulipitiliza tukawa kama ndugu

Maisha yaliendelea tu vizuri sasa kuna siku kaniomba nimuazime pesa 30k alijua kabisa nina pesa na lengobla ile pesa kuitynza ilikuwa ni kununua kitu fulani kutoka nje nilikuwa namuagizia mtu akajiliza niazime siku ukitaka kuagiza ikishatimia pesa mm nitakupa nikamwambia usije niangusha nakupa

Nikampa vizuri kwa moyo wote ikapita kama wiki yule jamaa alieopo nje akanicall Mwachiluwi wiki ijayo mimi narudi kesho tuma iyo pesa nikaanze kukutafutia ili na mimi nifanye mambo yangu nimekubali wewe uniagize kwasababu tu tunaheshimiana nikamwambia poa

Sasa na mimi ile pesa nikawa nimeitumia tena kama 50k hivi nikarudi kwa mshikaji nikampanga akasema jioni nikasema poa mm natafuta ile 50k itimie 450k nikijua yeye 30k naipata jioni saa nne naenda sasa kuweka pesa kwa simu nitume pesa nampigia ananijibu nyodo


Eti 30k ndio itamaliza shida zako nikikupa tunavyo sumbuana ivyo ili hali anajua pesa naenda kufanyia nini nikaona huyu anijui hizi dharau nikamuwakia na sana tu baada ya hapo mpaka leo nikituma sms hana view tu hajibu na mimi nimeamua kumpotezea kabisa
brother, sikuizi hela inaweza haribu mahusiano yoyote in two hours.

mimi nilikuwa na rafiki kama ndugu au zaidi., takribani miaka 11 hivi ya urafiki tangu tupo shule mpaka chuo ad kila mtu ana familia yake

siku moja akaniomba 10K tu, nikamwambia nimebanana hapa, ila naeza kupa 8,500 coz nina hela ya mtu hapa ambayo itahitajika anytime from now. akasema fresh, kweli nikatuma 8,500/= but sikupata text ya uthibitisho, jamaa pia hakusema kama hela imefika...so nikaamua kurudia nikidhani pengine nilisahau kuthibitisha, this time text ikaja.

baada ya kama masaa mawili ndo nikatakiwa kumtumia yule mwenye hela, kutuma kumbe hela haitoshi...nikachek na service providers wakanambia kuna mtu nimemtumia hela 2 times., kuchek salio kweli hela haipo Tshs 8,500/=...bhana ikabidi nimuulize mwamba kama nilimzidishia, response ikawa hivi "NDIYO ULINITUMIA MARA MBILI, NILIDHANI UMEAMUA KUNIONGEZEA".

nikamwambia ningekuwa na salio la kukupa 17k ningetuma mara 1 tu, nisingetuma mara mbili...so nikaomba anirudishie Tsh 8,500/=. Hii ndo ilipelekea kutukanwa ad na mke wake et nina roho mbaya....since then hakuwahi ku respond kwa simu yangu na sasa ni miaka 3 taslim...CHEZEA HELA WEWE.!
 
brother, sikuizi hela inaweza haribu mahusiano yoyote in two hours.

mimi nilikuwa na rafiki kama ndugu au zaidi., takribani miaka 11 hivi ya urafiki tangu tupo shule mpaka chuo ad kila mtu ana familia yake

siku moja akaniomba 10K tu, nikamwambia nimebanana hapa, ila naeza kupa 8,500 coz nina hela ya mtu hapa ambayo itahitajika anytime from now. akasema fresh, kweli nikatuma 8,500/= but sikupata text ya uthibitisho, jamaa pia hakusema kama hela imefika...so nikaamua kurudia nikidhani pengine nilisahau kuthibitisha, this time text ikaja.

baada ya kama masaa mawili ndo nikatakiwa kumtumia yule mwenye hela, kutuma kumbe hela haitoshi...nikachek na service providers wakanambia kuna mtu nimemtumia hela 2 times., kuchek salio kweli hela haipo Tshs 8,500/=...bhana ikabidi nimuulize mwamba kama nilimzidishia, response ikawa hivi "NDIYO ULINITUMIA MARA MBILI, NILIDHANI UMEAMUA KUNIONGEZEA".

nikamwambia ningekuwa na salio la kukupa 17k ningetuma mara 1 tu, nisingetuma mara mbili...so nikaomba anirudishie Tsh 8,500/=. Hii ndo ilipelekea kutukanwa ad na mke wake et nina roho mbaya....since then hakuwahi ku respond kwa simu yangu na sasa ni miaka 3 taslim...CHEZEA HELA WEWE.!
Dah pole sana mke nae anaingiliaje hapo yaan naweza mpiga yeye na mke wake
 
Ukitaka kumkopesha rafiki hela mkumbatie mara ya mwisho ndo kwaher urafiki
 
Back
Top Bottom