Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
sasa mke utampatajeAhaha we siku kabisa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mke utampatajeAhaha we siku kabisa kabisa
Yaah mi nipo hvo...Au sio
Tatizo nikisema naomba, hutanipa pia. Utaanza kujieleza 😅Ujue kuna watu wanaishi ivyo ila usisema nikopeshe au niazime
Kwa maguvu na ubabesasa mke utampataje
usipime nguvu ya mama wewe nikimuambia tu chagua kati ya mm na huyo kisebengo wako anakuachia manyoyaKwa maguvu na ubabe
Ahahah inategemeana na urafiki kuna mshikaji wangu mwingine yeye naTatizo nikisema naomba, hutanipa pia. Utaanza kujieleza 😅
Ahahha safari hii ananichagua mimi kisabemgo 😂usipime nguvu ya mama wewe nikimuambia tu chagua kati ya mm na huyo kisebengo wako anakuachia manyoya
ngoja tuoneAhahha safari hii ananichagua mimi kisabemgo 😂
Usijaribu nakwambia 😂ngoja tuone
endelea kujipa matumainiUsijaribu nakwambia 😂
Kabisa uaminifu ziroHalafu hili swala la kukopeshana na uaminifu ndo nimekuja kuona linaleta utata kwa baadhi ya watu!, binafsi nikikopa lazima nirudishe kuna jamaa yangu nilimkopa na siku niliyoahidi nikamrudishia alishangaa akasema mbona nimewahi kurudisha!, kumbe yeye alitegemea labda nitamzungusha mpk nikashangaa nikaanza jiuliza kuna watu itakuwa wakikopeshwa wagumu kulipa!.
chengine usimkopeshe mtu kiasi unachojua atakusumbua kulipa!.
Nishapoa kawaida ila haijanimua nimeshamgaa kutojibu sms za msingiPole Sana mdogo angu, ndio maana Kuna jamaa alipenda kusema job true true.
Mruhusu leo aje kula kitimoto basi 😂endelea kujipa matumaini
Wewe kama mimi. Mimi mtu akiomba nimpe mkope, sikupi nikikupa nakupa ela ambayo usipolipa wala sitokudai. Mikopo inafanya urafiki unapotea kabsa.Kukopesha marafiki ni shida sana, mara nyingi huwa wanazingua.
Mimi rafiki akiniomba nimkopesha nachukulia ni kama ninempa tu. Kama naona simudu kumpa na kuisahau, basi simkopeshi.
mtajuana wenyewe kwan mkikutana kila siku mm ndio nakua mtu kati?Mruhusu leo aje kula kitimoto basi 😂
Leo namuombea ruhusa kwako 😂mtajuana wenyewe kwan mkikutana kila siku mm ndio nakua mtu kati?
Achana nae mtakutana mbele ya safari..Nishapoa kawaida ila haijanimua nimeshamgaa kutojibu sms za msingi
Nishamuona mchawiAchana nae mtakutana mbele ya safari..
Maisha yana episodes nyingi mta meet episodes zijazo...