Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Kwani meneja wake mpya ni wa jinsia pinzani? Jamaa anapenda kusogeza mipira golini😂😂😂
Angalia kazi ya meneja manake huo mswabwanda Kiba sizani kama kamwacha.Yani hapo kazi hamna wakiwa na tour wanachukua room moja.
images (6).jpeg
 
Mmmh wahurumie kwa jirani wanatamani kulia EP imedoda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamchango gani kwenye Hili la Kiba nataka kusikia mchango wako
 
Back
Top Bottom