Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

hii ndio bongo mzee, mnakulana kwa siri masupastaa na kuchukiana mwisho wa siku yanalipuka ndio kama hivi, au yawezekana ni KIKI ya wimbo , hapo kijana nasibu anashikwa na hasira kwamba hata trend kwa wiki kadhaa
Dash! Yan diva alivyo kuwa akiji pendekeza kwa Kiba utafikiri walikuwa awakulan kumbe mchezo ulianza zaman sana, kweli wakati ume ongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooohoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamisa Hana gundu Wala Nini usimsingizie Kiba Ni Malaya Kama mond tu Kama mtu kadate na gigy money unashangaa Nini kudate na Diva ukiacha hivyo ana watoto wanne mama tofauti
 
Uyo ata ningekua mimi umeneja ningeweka pembeni asee
Ni wanaume wachache wanaweza kuuruka huo mzigo, hata kama ni mimi ningetia gambani sema ndo mwanzo wa kuangusha safari yako. Unapoamua kuwa na meneja wa kike jitahidi sana utafute meneja kama yule wa mbosso (japo sina uhakika kama bado ni meneja wake hadisasa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…