BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hii lugha nimeambulia patupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamchango gani kwenye Hili la Kiba nataka kusikia mchango wako
Dash! Yan diva alivyo kuwa akiji pendekeza kwa Kiba utafikiri walikuwa awakulan kumbe mchezo ulianza zaman sana, kweli wakati ume ongea
Kama kweli Kiba alimtongoza Diva basi yule meneja wake wa sasa hivi sizani kama kamuacha manake ana zigo hilo la kuvunja chaga.
Aiseee...kuna kutoboa kimataifa hapo kweli.? Maana baadala ya kuwaza muziki unakuwa unawaza zigo na dada meneja. Jooob true true.Angalia kazi ya meneja manake huo mswabwanda Kiba sizani kama kamwacha.Yani hapo kazi hamna wakiwa na tour wanachukua room moja.
View attachment 1419905
Sijui ni pijini au sijui ni krioli, ukianza kusoma tu mishipa ya kichwa inaanxa kuuma.Hii lugha nimeambulia patupu
Tupe picha ya meneja tuoneKama kweli Kiba alimtongoza Diva basi yule meneja wake wa sasa hivi sizani kama kamuacha manake ana zigo hilo la kuvunja chaga.
Uyo ata ningekua mimi umeneja ningeweka pembeni aseeAiseee...kuna kutoboa kimataifa hapo kweli.? Maana baadala ya kuwaza muziki unakuwa unawaza zigo na dada meneja. Jooob true true.
Hahaaa!Mmmh wahurumie kwa jirani wanatamani kulia EP imedoda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamisa Hana gundu Wala Nini usimsingizie Kiba Ni Malaya Kama mond tu Kama mtu kadate na gigy money unashangaa Nini kudate na Diva ukiacha hivyo ana watoto wanne mama tofautiPeleka kwanza bidhaa za watu,acha umbeaView attachment 1419925
Hunishindi mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijauelewa huo mwandiko wake kama nilivyoshindwa kuielewa sura yake halisi. Yaani huyu dada kila picha ina sura yake ya kipekee, sijui ana sura ngapi..
Hahaaa!
Majirani wamrudishe yule mtoto kwa mama yake akaimbe taarabu ama wanampango wa kuanzisha bendi ya taarabu.
Hamisa Hana gundu Wala Nini usimsingizie Kiba Ni Malaya Kama mond tu Kama mtu kadate na gigy money unashangaa Nini kudate na Diva ukiacha hivyo ana watoto wanne mama tofauti
Ni wanaume wachache wanaweza kuuruka huo mzigo, hata kama ni mimi ningetia gambani sema ndo mwanzo wa kuangusha safari yako. Unapoamua kuwa na meneja wa kike jitahidi sana utafute meneja kama yule wa mbosso (japo sina uhakika kama bado ni meneja wake hadisasa)Uyo ata ningekua mimi umeneja ningeweka pembeni asee
Watanzania rudini shule sasa hicho ulichoandika ndio kimeandikwa kwenye huo ujumbeSo Alikua anatoka kimapenzi na Kiba?is That what he wanted to tell us?