Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Malinzi utamtazama vipi usoni na mbaya zaidi kazi umesimamishwa.Mawazo ya kitoto hayo! Diva has nothing to lose my dear! Kwani huwa hatuwatafuti machangudoa? Je, Kahwa meidi hawajulikani kuwa wanakongoliwa na wanaume wengi? Acheni utoto, mbona akina Wema wanataja wamelalwa na wanaume wengi? Anayepata mtiti ni Kiba kwa mke wake na ukweni. Hivi utaanzaje mwanaume kukashifu mwanamke uliyeweka dushe lako katika K yake na pengine ulilia sana mpaka akakuchunuku Tigo yake? Huu ni uvulana na dawa ya moto ni moto. Jino kwa jino
Kweli kabisa..Mkuu hapa utakua umepanic mnoo hadi unajizalilisha.
Mie siye Diva na hata Diva Simjui ila nimesoma hii sredi na haya ni maono yangu. Mimi ni mwanaume lakini sikubaliani na hoja za kivulana za mwanzisha Sredi. Ukipika uji wa moto ukaupopoa kwa pupa unakuunguza mdomo wako, hakujistahi Diva na mwajiri ana haki ya kumtimua. Lazima apambane na hali yakeMzee Malinzi utamtazama vipi usoni na mabaya zaidi kazi umesimamishwa.
😀😀😀😀Sijauelewa huo mwandiko wake kama nilivyoshindwa kuielewa sura yake halisi. Yaani huyu dada kila picha ina sura yake ya kipekee, sijui ana sura ngapi..
imagine!!!!Anaushiri vp watu kuhusu mapenzi wakati yeye anatembea na mume wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀inasadikika hata seven kamkulaKama kweli Kiba alimtongoza Diva basi yule meneja wake wa sasa hivi sizani kama kamuacha manake ana zigo hilo la kuvunja chaga.
😀😀😀hii ndio bongo mzee, mnakulana kwa siri masupastaa na kuchukiana mwisho wa siku yanalipuka ndio kama hivi, au yawezekana ni KIKI ya wimbo , hapo kijana nasibu anashikwa na hasira kwamba hata trend kwa wiki kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshasema machangudoa, mwanamke wa kawaida mwenye career yake unaanzaje kutangaza umetinduliwa tena na mme wa mtu?Mawazo ya kitoto hayo! Diva has nothing to lose my dear! Kwani huwa hatuwatafuti machangudoa? Je, Kahwa meidi hawajulikani kuwa wanakongoliwa na wanaume wengi? Acheni utoto, mbona akina Wema wanataja wamelalwa na wanaume wengi? Anayepata mtiti ni Kiba kwa mke wake na ukweni. Hivi utaanzaje mwanaume kukashifu mwanamke uliyeweka dushe lako katika K yake na pengine ulilia sana mpaka akakuchunuku Tigo yake? Huu ni uvulana na dawa ya moto ni moto. Jino kwa jino
Sredi - ThreadMie siye Diva na hata Diva Simjui ila nimesoma hii sredi na haya ni maono yangu. Mimi ni mwanaume lakini sikubaliani na hoja za kivulana za mwanzisha Sredi. Ukipika uji wa moto ukaupopoa kwa pupa unakuunguza mdomo wako, hakujistahi Diva na mwajiri ana haki ya kumtimua. Lazima apambane na hali yake
Punguza jazba.Kweli kabisa..
Mm niliwahi kusema kwa umalaya diamond atadubir Sana kwa kiba watu wakabisha sema Alikiba ni msir Sana alafu baadh ya waandish Wana muogopa Ila machafu ya kiba ni mengi Sana mpaka Basi kiba amesha kataa mimba nying Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni haki yake. Kwani wanawake wangapi mchana wapo ofisini na usiku ni machangu. Wanafunzi wetu wa vyuo vipi?Umeshasema machangudoa, mwanamke wa kawaida mwenye career yake unaanzaje kutangaza umetinduliwa tena na mme wa mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajua kiingilishi na mie sikijui ila wengi wanaita humu sredi. BarikiwaSredi - Thread
Nao ni maarufu kama Diva? Na je wameshawahi kuwatangaza waliotembea nao?Hiyo ni haki yake. Kwani wanawake wangapi mchana wapo ofisini na usiku ni machangu. Wanafunzi wetu wa vyuo vipi?
Hao wa humu mi mbona hawanifwati..Au wanakuogopa?Sijasoma hiyo post ya Diva lakini wanawake wanaotembea na waume za watu na wanajisifu wapo wengi tu, hata humu wapo