Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
One time, some years ago nilikuwa nafanya some non-financial projects na some financial planners.
Sasa during the odd downtime, nikapata opportunity kuongea, chit-chat. Napenda ku engage watu kuhusu kazi zao and all, out of courtesy and genuine curiosity.
Sasa nikamuuliza financial planner mmoja, kama mie nina mshiko wangu wa nguvu nataka kuuzungusha ma offshore huko katika ma investment na Mitt Romney type of banking, barely legal obfuscation for tax purposes and all, kama anaweza kufanya. Akasema anaweza kufanya.
Akaniuliza "Are you a citizen?" Nikamwambia si citizen lakini niko legal nina papers kamili gado.
Akaniambia ngoma hiyo itakuwa nguuumu saana tu. Ukiwa citizen mchezo rahisi sana na unaweza kukuokolea mamilioni ya dola kwa mwaka (the whole convo was rather hypothetical).
Sasa some Tanzanians could easily be in a similar position. There are countless anecdotes like that.
And some people wonder out loud about the benefits of dual citizenship!
We are not in an agrarian economy anymore. And the world is interconnected in more tangible ways than just the internet.
Sasa during the odd downtime, nikapata opportunity kuongea, chit-chat. Napenda ku engage watu kuhusu kazi zao and all, out of courtesy and genuine curiosity.
Sasa nikamuuliza financial planner mmoja, kama mie nina mshiko wangu wa nguvu nataka kuuzungusha ma offshore huko katika ma investment na Mitt Romney type of banking, barely legal obfuscation for tax purposes and all, kama anaweza kufanya. Akasema anaweza kufanya.
Akaniuliza "Are you a citizen?" Nikamwambia si citizen lakini niko legal nina papers kamili gado.
Akaniambia ngoma hiyo itakuwa nguuumu saana tu. Ukiwa citizen mchezo rahisi sana na unaweza kukuokolea mamilioni ya dola kwa mwaka (the whole convo was rather hypothetical).
Sasa some Tanzanians could easily be in a similar position. There are countless anecdotes like that.
And some people wonder out loud about the benefits of dual citizenship!
We are not in an agrarian economy anymore. And the world is interconnected in more tangible ways than just the internet.