Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Uraibu ni hali ambayo Ina patikana wakati ambao Roho au mwili, unataka mno kuwa na hisia fulani.
👉Kiasi Cha kuwa na matatizo kutekeleza shughuli fulani, mpaka upate hisia inayo lengwa.

Kwa miaka ya karibuni kumeibuka baadhi ya mifano ya uraibu, ambayo isipokemewa basi itapelekea kupotea kwa kizazi chetu na hata kinacho.
  • Mifano ya uraibu wa hivi karibuni ni
  • Uraibu wa kubeti michezo ya kamari.
  • Uraibu wa unywaji pombe kupita Kiasi,
  • Kujichua kwa Aina yoyote, hii huusisha msuguano wa viungi vya uzazi, iwe kwa ke au me.
  • Uraibu wa ngono iliyo pitiliza.
Kuna maujinga mengi vijana tunafanya, of course hata mimi nafanya lakini huwa siyaruhusu kuwa na addiction sana kwangu. Kila ninachokifanya huwa ninakifanya kwa kiasi, sifanyi kitu kupitiliza.

Uraibu unapoteza ndoto za watu wengi sana. Kuna kundi la vijana wanapotea, wanafilisika na mwisho wa siku kupata msongo wa mawazo unaopelekea vifo vyao.

Ili utimize ndoto zako, kitu cha kwanza kabisa, yale mambo mabaya, ya kumaliza pesa ama nguvu zako, yasiwe addition kwako.
👉 I mean no malice to nobody.

FB_IMG_16969439334189918.jpg
 
I agree kila mmoja a mind yake, ila janga lisipo kemewa ni kilio kwetu sote🤒
Betting sawa it can lead to bankruptcy when not controlled.

What is the disadvantage ya hivyo vingine...cjui kijichua cjui ngono.. ni vitu ambavyo ni personal lyf ya mtu na kila binadamu anafanya according to natural order yake.

So usilazimishe mtu Aishi kama mbu au chura
 
Hapo kwenye betting ni janga la kitaifa.

Nimeshuhudia zaidi ya mara moja watu wazima above 50 nao wakifanya hilo jambo sasa hujiuliza kama mzee zaidi ya 50 anafanya hivi ataweza kweli kumpa kijana wake aliyekosa ajira rasmi ramani ya kutoka kivingine?
 
Betting sawa it can lead to bankruptcy when not controlled
What is the disadvantage ya hivyo vingine...cjui kijichua cjui ngono.. ni vitu ambavyo ni personal lyf ya mtu na kila binadamu anafanya according to natural order yake.. so usilazimishe mtu Aishi kama mbu au chura
Sina force mtu mkuu, ila nakufundisha

👉Ngono iliyo kithiri, Humu Kuna utumiaji was madawa hovyo- mfano mkongo, mkuyati, Viagra🙄🤔.

👉Magonjwa ya ngono- kaswenee, gono, vvu
 
Mie nna uraibu wakupenda ngono, natokaje kwenye hali hii yaani sitosheki kila mda natamani mwanamke na nikimpata nitatafuta na mwengine sitosheki yaani
As long as mambo yako ya msingi ya maisha yanaenda na unajikinga na magonjwa matatizo na mimba za bahati mbaya... endelea na maisha hayo coz it is ur lyf mtu asikupangie
 
Mie nna uraibu wakupenda ngono, natokaje kwenye hali hii yaani sitosheki kila mda natamani mwanamke na nikimpata nitatafuta na mwengine sitosheki yaani
Tiba halisi Ina toka ndani yako mzee, kwa kuwa ume kiri Ina paswa uchukue hatua.
👉Omba Toba ili mkono wa MUNGU ukuone.
👉Tambua hasara ya hicho unacho kifanya, Kuna hasara za kifedha na muda pia
 
Sina force mtu mkuu, ila nakufundisha
👉ngono iliyo kithiri, Humu Kuna utumiaji was madawa hovyo- mfano mkongo, mkuyati, Viagra🙄🤔.
👉Magonjwa ya ngono- kaswenee, gono, vvu
Kutumia madawa sisupport ila how do u measure ngono iliyokithiri..wat is the limit..na hio limit kaweka nani kwa misingi ipi..all in all unachofanya ni kukataza watu vitu ambavyo either we unaogopa, hupati au hupendi.
 
Back
Top Bottom