Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio shekhe ☺️Huu nao ni uraibu ukizidi shekhe, Yajue malengo yako ili usitoke njia kuu.
👉Njia halali iki fatwa, hapa salute
na sio kutafuta binti was kuwa nae kwa ajili ya ngono tu.(la hasha).
👉Lengo ni kuwa na mipango sahihi, ikiwemo kutengeneza familia thabiti.
Kweli, ila wengine hii ni sehemu ya chanzo Cha taarifa mkuu.Umesahau pia kuingia jamii forums nao ni uraibu , tunatumia pesa kwa bando🤣🤣
Matumizi ya simu ni uraibu
Ni mfano wa cheo tu, chenye maana ya kiongoziMimi sio shekhe ☺️
Tena tusipo muwa makini, tuta ishia kubeba nuksi na mikosiKweli kaka kuna uraibu wa kutengenezewa utajiona kawaida kumbe mipepo michafu imenizonga.
OK I have got your point my brotherno intention of harming anyone in any situation. (Physical or mentally)
More love less ego 💪🙏OK I have got your point my brother
Nimekula nimeshiba, nimekunywa kidogo, Nimelipa Kodi, sidaiwi, na akiba kidogo CRDB, team zangu nazoshabikia zinafanya powa kuanzia jangwani hadi Madrid afu nisingonoke 🤔🤔labda sio mimiuraibu wa ngono iliyo pitiliza.
Kaka Kama una mwenzi mmoja (mkeo) hio Safi, ila sio kila sketi una ikimbiza😂😂.Nimekula nimeshiba, nimekunywa kidogo, Nimelipa Kodi, sidaiwi, na akiba kidogo CRDB, team zangu nazoshabikia zinafanya powa kuanzia jangwani hadi Madrid afu nisingonoke 🤔🤔labda sio mimi
Naunga mkono hoja 👍👏Uraibu ni hali ambayo Ina patikana wakati ambao Roho au mwili, una taka mno kuwa na hisia fulani.
👉Kiasi Cha kuwa na matatizo kutekeleza shughuli fulani, mpaka upate hisia inayo lengwa.
Kwa miaka ya karibuni kume ibuka baadhi ya mifano ya uraibu, ambayo isipo kemewa basi ita pelekea kupotea kwa kizazi chetu na hata kinacho.
- Mifano ya uraibu wa hivi karibuni ni
- Uraibu wa kubeti michezo ya kamari.
- uraibu wa unywaji pombe kupita Kiasi,
Kuna maujinga mengi vijana tuna fanya, of course hata mimi nafanya lakini huwa siya ruhusu kuwa na addiction sana kwangu. Kila ninachokifanya huwa ninakifanya kwa kiasi, sifanyi kitu kupitiliza.
- kujichua kwa Aina yoyote, hii huusisha msuguano wa viungi vya uzazi, iwe kwa ke au me.
- uraibu wa ngono iliyo pitiliza.
Uraibu una poteza ndoto za watu wengi sana. Kuna kundi la vijana wanapotea, wanafilisika na mwisho wa siku kupata msongo wa mawazo unaopelekea vifo vyao.
Ili utimize ndoto zako, kitu cha kwanza kabisa, yale mambo mabaya, ya kumaliza pesa ama nguvu zako, yasiwe addition kwako.
👉 I mean no malice to nobody.
View attachment 2815716
Nikukumbushe tu mm ni pro wa KATAA NDOA,Kaka Kama una mwenzi mmoja (mkeo) hio Safi, ila sio kila sketi una ikimbiza😂😂.
👉Kuna upotevu was pesa, muda na hata afya
Shida Ume kalia ujuaji, ulicho kiona ni Aina ya simu🤔. Au una taka tuli amshe vagii🤒Sawa tunashukuru kwa picha ila kwan ungepungukiwa nini kama ungekafanya kapicha kawe kadogo tu namna hii??👇👇👇👇View attachment 2815746
NB:
Tecno na infinix ndio huwa na screen ndefu sana.
Ahsante
Hata mi mwenyewe sijui ka nita oa 😂😂😂Nikukumbushe tu mm ni pro wa KATAA NDOA,
Ume rejea kigambo??Naunga mkono hoja 👍👏
Hapana ..kwa leo no way niko tired sana sikukua kama kuongea kingereza masaa 3 mfululizo kuna maliza nguvu za mwil na kusababisha kichwa kuumaShida Ume kalia ujuaji, ulicho kiona ni Aina ya simu🤔. Au una taka tuli amshe vagii🤒
Una tamba au sio🤔🤔🤒, Sasa una mtangazia nani Ume ongea masaa 3Hapana ..kwa leo no way niko tired sana sikukua kama kuongea kingereza masaa 3 mfululizo kuna maliza nguvu za mwil na kusababisha kichwa kuuma