Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #161
Haujui una madhara kwa vijana??, Tuta ji boost mpaka lini??Sasa MKONGO umekufanyia nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujui una madhara kwa vijana??, Tuta ji boost mpaka lini??Sasa MKONGO umekufanyia nini ?
Kama ni wife hapo baridi, ila Kama ni mbuzi ya kupita, better wake up pappi🤣😆Ile kitu anayonipea shemeji yako niko na uraibu nayo,wife atanipotezea ndoto? Apunguze ?🤣
Unataka kusema hata wengine wasinionjeshe?Kama ni wife hapo baridi, ila Kama ni mbuzi ya kupita, better wake up pappi🤣😆
una poteza nguvu, pesa, muda na hata kubeba mikosi na nuksiUnataka kusema hata wengine wasinionjeshe?
Wife hakupi mikosi na nuksi ?🤣una poteza nguvu, pesa, muda na hata kubeba mikosi na nuksi
Ndoa ime Barikiwa Kaka, Japo Kuna suala la nyota Tena🤒.Wife hakupi mikosi na nuksi ?🤣
Au yeye mikosi yake ni yako na yako ni yake hadi kifo kitakapowatenganisha?
Naelewa ,itabidi ufuate nyayo za kaka yako hapa.Ndoa ime Barikiwa Kaka, Japo Kuna suala la nyota Tena🤒.
Ila ndoa ni muunganiko wa kiroho ma mwili, so hiyo si sawa na kuvaa pulizio ili ungije
Serikali ndo chanzo cha haya yoteHapo kwenye betting ni janga la kitaifa.
Nimeshuhudia zaidi ya mara moja watu wazima above 50 nao wakifanya hilo jambo sasa hujiuliza kama mzee zaidi ya 50 anafanya hivi ataweza kweli kumpa kijana wake aliyekosa ajira rasmi ramani ya kutoka kivingine?
Awap kuna watu wamezid unakut mtu kila siku anagonoka mwil utaishaKutumia madawa sisupport ila how do u measure ngono iliyokithiri..wat is the limit..na hio limit kaweka nani kwa misingi ipi..all in all unachofanya ni kukataza watu vitu ambavyo either we unaogopa, hupati au hupendi.
Hamna biology ya hivyoAwap kuna watu wamezid unakut mtu kila siku anagonoka mwil utaisha