Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

FB_IMG_16969641309786109.jpg
 
Hii imeendaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah
Daah yaan najiona napoteza hela tu kwa kutafuta madada poa ambao hata shukran hawana wao hela mbele tu.

Nitajikagua kaka hii hali si ya kawaida
Watu hawajui kama wanakusanya mikosi na laana kwa kulala na madada poa..unakusanya souls za kila aina na nying zinakuwa mbaya..utashuka kibiashara hata kiuchumi kwasababu mna exchange damu baina ya watu 2..
 
Back
Top Bottom