Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

As long as mambo yako ya msingi ya maisha yanaenda na unajikinga na magonjwa matatizo na mimba za bahati mbaya... endelea na maisha hayo coz it is ur lyf mtu asikupangie
Thubutu.....mtu anayeshindwa kujizuia ni mtu hatari sana kwa kusambaza mimba kama.maharage na kutelekeza hovyo.

Mtu wa namna hiyo ni mtu asiyejali sana sana ana chanzo cha pesa( most likely sio kwa nguvu yake) na ndio inampa kibri cha kutomb* wanawake kila kona.
Mtu aisiyejizuia kwenye ngono hawezi kufanikiwa kwa mambo mengine kwa jitihada zake binafsi.

Never on Earth
 
Thubutu.....mtu anayeshindwa kujizuia ni mtu hatari sana kwa kusambaza mimba kama.maharage na kutelekeza hovyo.

Mtu wa namna hiyo ni mtu asiyejali sana sana ana chanzo cha pesa( most likely sio kwa nguvu yake) na ndio inampa kibri cha kutomb* wanawake kila kona.
Mtu aisiyejizuia kwenye ngono hawezi kufanikiwa kwa mambo mengine kwa jitihada zake binafsi.

Never on Earth
Kaka huyo Jamaa ni mbishi na mjuaji, so una jicchosha tu.
👉Kasahai Kuna upotevu was muda
👉Pesa, na hata Magonjwa
 
Thubutu.....mtu anayeshindwa kujizuia ni mtu hatari sana kwa kusambaza mimba kama.maharage na kutelekeza hovyo.

Mtu wa namna hiyo ni mtu asiyejali sana sana ana chanzo cha pesa( most likely sio kwa nguvu yake) na ndio inampa kibri cha kutomb* wanawake kila kona.
Mtu aisiyejizuia kwenye ngono hawezi kufanikiwa kwa mambo mengine kwa jitihada zake binafsi.

Never on Earth
😴 Fallacious..ila sawa Baki na Imani yako mkuu...ila ngono ni kitu natural sio kitu Cha kuwa shamed off
 
Hapo kwenye betting ni janga la kitaifa.

Nimeshuhudia zaidi ya mara moja watu wazima above 50 nao wakifanya hilo jambo sasa hujiuliza kama mzee zaidi ya 50 anafanya hivi ataweza kweli kumpa kijana wake aliyekosa ajira rasmi ramani ya kutoka kivingine?
Nadhani sisi binadamu linapokuja suala la fedha kila mtu kuna sehemu uwa anaitapanya anapoipata. Suala la kujiuliza ni inayotapanywa ni ile inayobaki baada ya matumizi ya msingi kama chakula, ada, makazi? Kama ndiyo tusihukumu kama siyo tuendelee kukumbushana.

Asipobeti atahonga asipohonga atalewa asipolewa atahangaika na vitu visivyo na maana kama kukimbizana na fashion.
 
Nadhani sisi binadamu linapokuja suala la fedha kila mtu kuna sehemu uwa anaitapanya anapoipata. Suala la kujiuliza ni inayotapanywa ni ile inayobaki baada ya matumizi ya msingi kama chakula, ada, makazi? Kama ndiyo tusihukumu kama siyo tuendelee kukumbushana.

Asipobeti atahonga asipohonga atalewa asipolewa atahangaika na vitu visivyo na maana kama kukimbizana na fashion.
Ila tufanye kwa Kiasi sasa
 
Back
Top Bottom