Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #121
Ina ezekana, una maokoto ya kutosha. Umesha staafu🤔😂Hii yangu ya kuamka saa 4 sijui nitaiacha vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina ezekana, una maokoto ya kutosha. Umesha staafu🤔😂Hii yangu ya kuamka saa 4 sijui nitaiacha vipi
Thubutu.....mtu anayeshindwa kujizuia ni mtu hatari sana kwa kusambaza mimba kama.maharage na kutelekeza hovyo.As long as mambo yako ya msingi ya maisha yanaenda na unajikinga na magonjwa matatizo na mimba za bahati mbaya... endelea na maisha hayo coz it is ur lyf mtu asikupangie
Kaka huyo Jamaa ni mbishi na mjuaji, so una jicchosha tu.Thubutu.....mtu anayeshindwa kujizuia ni mtu hatari sana kwa kusambaza mimba kama.maharage na kutelekeza hovyo.
Mtu wa namna hiyo ni mtu asiyejali sana sana ana chanzo cha pesa( most likely sio kwa nguvu yake) na ndio inampa kibri cha kutomb* wanawake kila kona.
Mtu aisiyejizuia kwenye ngono hawezi kufanikiwa kwa mambo mengine kwa jitihada zake binafsi.
Never on Earth
Ile kitu inakuwaga na addiction fulani hivi kuihacha mzozo. Nakumbuka nilitumia mwanya wa mwezi mtukufu zile siku 30, hatimae nimefanikiwa asa hivi nafikiri naenda mwaka wa pili. Nampongeza kwa maamuzi 👍💯Aisee mwamba kaacha😂😂
Bangi mbaya sanaMtu gani nusu albino😂😂
Haswaaa.......mimi na utu uzima wangu nimejifuza mengi kwenye maisha.Kaka huyo Jamaa ni mbishi na mjuaji, so una jicchosha tu.
👉Kasahai Kuna upotevu was muda
👉Pesa, na hata Magonjwa
Kumbe una vutaga mabangi😂🤔Bangi mbaya sana
Yeah, ba huko ni kukosa mwelekeoHaswaaa.......mimi na utu uzima wangu nimejifuza mengi kwenye maisha.
Watu wa aina hiyo hata ukimuona ana pesa usimuige maana hujui anazipataje.
Otherwise ni watu wenye mashaka sana
Sana mkuu apa yenyewe jicho jekunduKumbe una vutaga mabangi😂🤔
😴 Fallacious..ila sawa Baki na Imani yako mkuu...ila ngono ni kitu natural sio kitu Cha kuwa shamed offThubutu.....mtu anayeshindwa kujizuia ni mtu hatari sana kwa kusambaza mimba kama.maharage na kutelekeza hovyo.
Mtu wa namna hiyo ni mtu asiyejali sana sana ana chanzo cha pesa( most likely sio kwa nguvu yake) na ndio inampa kibri cha kutomb* wanawake kila kona.
Mtu aisiyejizuia kwenye ngono hawezi kufanikiwa kwa mambo mengine kwa jitihada zake binafsi.
Never on Earth
Ndo maana nimesema Kama haukuaffect activities zako...asa unataka akae Kama zuzu au...Kaka huyo Jamaa ni mbishi na mjuaji, so una jicchosha tu.
👉Kasahai Kuna upotevu was muda
👉Pesa, na hata Magonjwa
😴Sawa mganga wanguAkili yako bado Sana🤒🤔
Ungeelewa kauli niliyoandika hapo juu hili swali lisingefuataNa kubeti je ??
Haina shida,😴Sawa mganga wangu
Nadhani sisi binadamu linapokuja suala la fedha kila mtu kuna sehemu uwa anaitapanya anapoipata. Suala la kujiuliza ni inayotapanywa ni ile inayobaki baada ya matumizi ya msingi kama chakula, ada, makazi? Kama ndiyo tusihukumu kama siyo tuendelee kukumbushana.Hapo kwenye betting ni janga la kitaifa.
Nimeshuhudia zaidi ya mara moja watu wazima above 50 nao wakifanya hilo jambo sasa hujiuliza kama mzee zaidi ya 50 anafanya hivi ataweza kweli kumpa kijana wake aliyekosa ajira rasmi ramani ya kutoka kivingine?
Ila tufanye kwa Kiasi sasaNadhani sisi binadamu linapokuja suala la fedha kila mtu kuna sehemu uwa anaitapanya anapoipata. Suala la kujiuliza ni inayotapanywa ni ile inayobaki baada ya matumizi ya msingi kama chakula, ada, makazi? Kama ndiyo tusihukumu kama siyo tuendelee kukumbushana.
Asipobeti atahonga asipohonga atalewa asipolewa atahangaika na vitu visivyo na maana kama kukimbizana na fashion.